Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN
Kuna watu wengine akili zao zinawatosha kuvuka barabara tu. Hivi hawa waarabu wakikubaliwa kuna kwá huu mkataba mbovu kabisa waislam watafaidika na nini? Au kuna mambo yako nyuma ya pazia ambayo hatuyajui?
Wanawaonaga waarabu ni ndugu zao kuliko hata mkristo mweusi kwa hiyo furaha yao ni mwarabu kuchukua bandari
 
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Wao waendelee kufuga majini wawaachie TEC wajadili mambo ya mkataba. Kazi yao ni kufuga majini na kuwasomea watu alubadiri....hawana tofauti na wachawi au washirikina. Wawaache watu wa Mungu (TEC) wajadili mkataba kwa manufaa ya taifa. Wasiwavuruge wana wa Mungu bila sababu za msingi.
 
Hawana uwezo wa kujadili vipengele sababu kwanza hata hawavielewi. Juzi kati nilimsikia shehe mmoja anasema "kwani kuna shida gani kama DPW wakimiliki all port teritorries and corridors kama mkataba unavyosema"!?.  Nikaona hapa kuna shida, hata kama ni haki kwa kila mtu kusema, ila dah KUNA SHIDA YA KUJITAMBUA hapo.
Wewe ni Christian Fundamentalism ,umekukia kanisani na kufundishwa chuki dhidi ya dini nyingine,unafikiri unaweza kutumia akili zako kufikiri?
 
Sheikh Mussa Juma amesema Wapinzani na Maaskofu wanaomsaka Rais Samia Suluhu Hassan hawana shukrani wanaendekeza Udini na maslahi yao binafsi nakusahau hisani waliyowafanyia kipindi walipokuwa hawana kitu.

Akizungumza huko visiwani Zanzibar katika mawaidha Sheikh Mussa Juma amesema Rais Samia ni kiongozi wenye huruma na uadilifu ndani yake hivyo wanaomsakama wanafanya hivyo kwa maslahi yao binafsi.

"Hapa kwetu ndio kabisa madudu haya ya kisiasa sijui wakina Mbowe kina Lissu waliyoyaficha ndani ya mioyo yao yalikuwa ni makubwa zaidi kuliko wanayoyadhihirisha, angalia sasa hivi wanavyotapika maneno yale angalia ni udini tu ule, kama huyo Dkt. Slaa yeye ndio kamaliza mchezo mmemsikia mwenyewe Udini tu ule hakuna kitu kingine Udini tu..sasa yale ndio yaliyokuwa yamejificha hawana shukrani hata kidogo" alisema

Sheikh Mussa Juma amesema Rais Samia ni mtu mwenye imani wanaomuanda wanapaswa kumshukuru na kumheshimu kutokana nakuwafanyia hisani kwa kuwarejeshea vitu vyao walivyopoteza kipindi cha awamu ya Tano.

"Alikuwepo Magufuli kawanyongesha watu, kawaadhibu watu, kawatesa watu hawana hatia wamenyamaza kimya, Mwenyezi Mungu kafanya Rehema zake katuletea mtu ana imani watu wanaishi kwa raha , watu wanapendana, wanasaidiana, mnyonge anasaidiwa leo hawa wakina Mbowe, Lissu hawana Shukrani mtu kama huyo alowafanyia hisani kama huyu Lissu alipofanyiwa mambo mazito mtu wa kwanza kwenda kumtizama ni Rais Samia wale waliobakia wote maaskofu ambao sasa hivi ndio wanamtukana Samia kwa sababu ya uislamu hakuna kingine na maslahi yao waliyokuwa wanaipata kwenye ile bandari wanamsaka hawana shukrani wote hao maaskofu walikuwa wameufyata wanamuogopa Magufuli , lakini tazama alichomfanya Rais Samia kamlipa kila kitu chake kamrejeshea ambavyo alikuwa kanyang'anywa na huyo Mbowe hivyo hivyo kila kitu chake karejeshewa kalipwa pesa chungu mzima ambazo zingewasaidia wananchi , Rais Samia anaonyesha huruma kwa rai wake alafu hawa wanakuja juu wanamtukana na kumkashifu kwa maslahi yetu wenyewe sisi wananchi lakini kwa sababu wao kuna maslahi yao ya dini pale wanahisi atakuja kuondoka , pamoja na maslahi yao walikuwa wanapitisha vitu pale...." alisema Sheikh huyo

Pamoja na yote Sheikh Mussa dunia ilipofikia sasa mambo mema yanaonekana mabaya huku mabaya yakionekana mema hata hivyo amemuomba Rais Samia aendelee kuishi maisha marefu kutokana na uadilifu na huruma alionao katika uongozi wake.

"Mbona mambo sasa hivi yanaanza kuchimbuka yaliyokuwa yamejificha na sisi ndio tunayasubiri kwa hamu kwa sababu tulipokuwa tunasema nyinyi mlituona sisi wabaya lakini sasa hivi Mwenyezi Mungu anayachimbua, mmemsikia Slaa alivyosema nyie waislamu mmekaa tu mmemsikia na uislamu wenu mnasikia wanavyomfanyia muislamu mwenzenu wanavyomwandama, wanaranda kwenye mikoa kwa kutumia pesa hizi hizi wanazopewa zetu wenyewe kama rai wanamsakama Mhe. Rais Samia lakini Mwenyezi Mungu atamuhifadhi, atamlinda na shari zao ataendeleza uadilifu, ni Rais pekee aliyekuwa hana mfano na waliyokuwa wamepita mwenye huruma mpaka na vilema tunamuombea dua na tutazidi kumuombea sasa kama wewe unanuna nuna"_ Sheikh Mussa Juma akizungumza msikitini Zanzibar
Hapa na mimi naanza kuwa na mashaka na nia ovu iliyo ktk mkataba wa DPW. Maana yeyote anayepinga wanaopinga mkataba haongelei yaliyo ktk mkataba badala yake ni kushambulia watu.

Hapa suala ni Je mkataba una kasoro au hauna kasoro hii Ndiyo iwe hoja.

Lakini hadi sasa kwa maelezo ya wataalamu wa sheria TLS, wasomi wa sheria (Shivji na wengine wengi), Kamati ya sheria ya bunge, na Mahakama wote hao ambao wanaaminika ktk jamii wameona kuwa mkataba una kasoro.

Hivyo wanaotetea mkataba tusijadili watu bali tujadili kasoro au ubora.
 
Waarabu vs Wazungu...

Tukumbuke tu kwamba wote ni wakoloni waliowahi kutawala milki zetu
 
Leo Jumapili tarehe 20 Agosti 2023, Dominika ya 20 ya Mwaka A wa Kanisa Waraka wa Maaskofu wa Katoliki Tanzania umesomwa katika makanisa mengi nchini, lakini kinachoniogopesha ni "clip" hii ya Sheikh Mussa Juma akitoa mawaidha ameeleza waziwazi kuwa Wapinzani na Maaskofu wanaomsakama Rais Samia Suluhu Hassan hawana shukrani na wanaendekeza Udini na maslahi yao binafsi

Sheikh Juma anaeleza kushangazwa na ukimya uliokuwepo wakati wa mateso wa Rais Magufuli


WITO WANGU SISI KAMA TAIFA TUNAPASWA KUTENGANISHA SIASA NA DINI, MAJUKWAA YA KISIASA YABAKI KUWA YA KISIASA NA NYUMBA ZA IBADA ZIBAKI KUWA NYUMBA ZA IBADA

Tazama video hapa chini

 
Anatetea bila kujibu hoja za msingi...,

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Tatizo la watanzania ni kudhani marekani, israeli, vatcan na uarabuni ni malango ya mbinguni. Kila jambo likitokea linaloanzia nje baadhi ya watanzania wajinga hulitazama katika mktadha huo wa kidini pasipo kuangalia muktadha halisi tulionao, na kujua kuwa kila mila na desturi zimeumbwa na Mungu.

Ndiyo maana ninawaheshimu wanaomwabudu Mungu kupitia mizimu ya baba na mababu zao, wana mapenzi na nchi kuliko wanaoabudu Mungu kupitia mizimu ya kiitaliano, kiyahudi na kiarabu.
 
Udini huwa unatoka Kanisani.yaani akanisa halikujiamdaa kutawaliwa na Mwislaam,mission ilikuwa hijawa Accomplished
Mbona unaonekana umesoma lakini bado hauna akili?

Mfano mimi hapa ni Mkristo,niambie nina hatari gani nchi yangu raisi akiwa Muislam?hanipi yeye kula,nyumba yangu nimeijenga mwenyewe nalindwa na sheria hakuna siku atakuja anifukuze kwamba sistahili kumiliki nyumba,wewe raisi akiwa Muislam mwenzako niambie umepata favour gani mpaka sasa?

Waislam gani au Wakristo gani walishaletewa hela kwamba hii ni kutoka kwa rais wao sababu wanafanana dini?mnakaa ku-type ujinga as if hamkusoma hata darasa moja kwanini mnashindwa kutoka nje ya box la dini nyie?
 
Leo Jumapili tarehe 20 Agosti 2023, Dominika ya 20 ya Mwaka A wa Kanisa Waraka wa Maaskofu wa Katoliki Tanzania umesomwa katika makanisa mengi nchini, lakini kinachoniogopesha ni "clip" hii ya Sheikh Mussa Juma akitoa mawaidha ameeleza waziwazi kuwa Wapinzani na Maaskofu wanaomsakama Rais Samia Suluhu Hassan hawana shukrani na wanaendekeza Udini na maslahi yao binafsi

Sheikh Juma anaeleza kushangazwa na ukimya uliokuwepo wakati wa mateso wa Rais Magufuli


WITO WANGU SISI KAMA TAIFA TUNAPASWA KUTENGANISHA SIASA NA DINI, MAJUKWAA YA KISIASA YABAKI KUWA YA KISIASA NA NYUMBA ZA IBADA ZIBAKI KUWA NYUMBA ZA IBADA

Tazama video hapa chini

View attachment 2722654
Umesha leta tayari hapo hamna jingine.
 
Leo Jumapili tarehe 20 Agosti 2023, Dominika ya 20 ya Mwaka A wa Kanisa Waraka wa Maaskofu wa Katoliki Tanzania umesomwa katika makanisa mengi nchini, lakini kinachoniogopesha ni "clip" hii ya Sheikh Mussa Juma akitoa mawaidha ameeleza waziwazi kuwa Wapinzani na Maaskofu wanaomsakama Rais Samia Suluhu Hassan hawana shukrani na wanaendekeza Udini na maslahi yao binafsi

Sheikh Juma anaeleza kushangazwa na ukimya uliokuwepo wakati wa mateso wa Rais Magufuli


WITO WANGU SISI KAMA TAIFA TUNAPASWA KUTENGANISHA SIASA NA DINI, MAJUKWAA YA KISIASA YABAKI KUWA YA KISIASA NA NYUMBA ZA IBADA ZIBAKI KUWA NYUMBA ZA IBADA

Tazama video hapa chini

View attachment 2722654
Kuna wenzako tayari wameshaileta hii taarifa humu jukwaani. Hivyo unachokifanya wewe ni marudio tu.

Na ukumbuke kinacholalamikiwa hapa ni udhaifu wa huo mkataba, na wale wote walioshiriki kuusaini. Na si vinginevyo.
 
Cha msingi hapa ni hoja, mambo ya dini ni kisingizio, kwani wakatokiki sio Raia? Maaskofu sio wananchi? Acheni kulia lia, jibuni hoja...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom