Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN
Naona hapa CCM na DPW wanatetewa Kwa nguvu zote bahati mbaya saaana hawataji Mapungufu yaliyomo kwenye mkataba ambayo yametajwa na Mahakama na Sekretarieti ya BUNGE pia, achana na individuals kama Professor Shivji.

Wanadai hizi ni propaganda! Duh
Hapo tunapata picha jinsi gani shetani na hiyo Imani Yao ni kitu kimoja.
Badala ya kijadili mkataba wanajadili dini yao
 
Tukumbuke katika sakataa ESCROW bank ya Mkombozi ilitumika kupitisha pesa za ufisadi na maaskofu walipewa mgao.

Watu hata hawafanyi mapenzi na familia hawana lakini wanapenda sana hela sijui wanaenda kuhonga mabasha zao wanaowatindua.
Umesahau wameshinda kesi na wanatakiwa kulipwa sheikh.
 
Maaskofu hawakukaa kimya wakati wa Magufuli. Walitoa waraka na ulisomwa makanisani baada ya uchaguzi na wakati wa Corona.

Nafikiri masheikh ubwabwa wanachokosa ni shule. Huwezi chambua mkataba kwa elimu ya madrasa.
Wawekeze kwenye elimu dunia walau wasome hata diploma waache umwamba wa kuturushia majini. Kianawasumbua mashek ni kutojiamini.
 
1. Uislamu una mapungufu kwenye mafundisho yao.
Uislamu hauna mafundisho ya kweli na haujitoshelezi. Ukianza kuelezea uislamu utajikuta umeingia kwenye ukristo kwasababu uislamu ni dini ambayo inaenezwa kwa chuki na lengo lake ni kuua ukristo.
Tembelea hata website zao lazima ukutane na mafundisho yanayoukashifu ukristo.
2. Waumini wao ni weupe sana vichwani kwasababu ya lugha na upungufu wa mafundisho.
Huwezi kukuta muislam anahubiri uislam bila kuukashifu ukristo.
Ukitaka kujua hawa watu wamemezeshwa chuki, nena kwa muislamu mwambie mm ni mkristo nishawishi ili niwe muislamu. Utajua hawa ni weupe, ataanza kuukashifu ukristo, hautasikia vifungu vya Quran vimefunguliwa bali vifungu vya Biblia mwisho atakuambia karibu kwenye dini ya haki.
Ukitaka kujua mafundisho ya wakristo yamejitosheleza na yanajitegemea na waumini wake wanajua. Mwambie mm ni muislamu, nishawishi ili niwe mkristo. Utapigiwa injili

Uislamu ni changamoto sana.
 
Usiwalishe maneno tls wao wanasema mkataba uko ok hauna shida
Acha kupotosha taarifa iliyotolewa na kusiniwa na Rais wa TLS ndugu Sungusia imeweka bayana kasoro za mkataba na kuainisha vifungu vyenye utata ambayo (baadhi) kifungu cha 20, 21, na 23. Kasoro ya ushirikishwaji wa Wananchi ktk maamuzi ya rasilimali, ardhi, ulinzi na usalama vilitajwa. Labda kama una TLS ya kwako.
 
Sheikh Mussa Juma amesema Wapinzani na Maaskofu wanaomsaka Rais Samia Suluhu Hassan hawana shukrani wanaendekeza Udini na maslahi yao binafsi nakusahau hisani waliyowafanyia kipindi walipokuwa hawana kitu.

Akizungumza huko visiwani Zanzibar katika mawaidha Sheikh Mussa Juma amesema Rais Samia ni kiongozi wenye huruma na uadilifu ndani yake hivyo wanaomsakama wanafanya hivyo kwa maslahi yao binafsi.

"Hapa kwetu ndio kabisa madudu haya ya kisiasa sijui wakina Mbowe kina Lissu waliyoyaficha ndani ya mioyo yao yalikuwa ni makubwa zaidi kuliko wanayoyadhihirisha, angalia sasa hivi wanavyotapika maneno yale angalia ni udini tu ule, kama huyo Dkt. Slaa yeye ndio kamaliza mchezo mmemsikia mwenyewe Udini tu ule hakuna kitu kingine Udini tu..sasa yale ndio yaliyokuwa yamejificha hawana shukrani hata kidogo" alisema

Sheikh Mussa Juma amesema Rais Samia ni mtu mwenye imani wanaomuanda wanapaswa kumshukuru na kumheshimu kutokana nakuwafanyia hisani kwa kuwarejeshea vitu vyao walivyopoteza kipindi cha awamu ya Tano.

"Alikuwepo Magufuli kawanyongesha watu, kawaadhibu watu, kawatesa watu hawana hatia wamenyamaza kimya, Mwenyezi Mungu kafanya Rehema zake katuletea mtu ana imani watu wanaishi kwa raha , watu wanapendana, wanasaidiana, mnyonge anasaidiwa leo hawa wakina Mbowe, Lissu hawana Shukrani mtu kama huyo alowafanyia hisani kama huyu Lissu alipofanyiwa mambo mazito mtu wa kwanza kwenda kumtizama ni Rais Samia wale waliobakia wote maaskofu ambao sasa hivi ndio wanamtukana Samia kwa sababu ya uislamu hakuna kingine na maslahi yao waliyokuwa wanaipata kwenye ile bandari wanamsaka hawana shukrani wote hao maaskofu walikuwa wameufyata wanamuogopa Magufuli , lakini tazama alichomfanya Rais Samia kamlipa kila kitu chake kamrejeshea ambavyo alikuwa kanyang'anywa na huyo Mbowe hivyo hivyo kila kitu chake karejeshewa kalipwa pesa chungu mzima ambazo zingewasaidia wananchi , Rais Samia anaonyesha huruma kwa rai wake alafu hawa wanakuja juu wanamtukana na kumkashifu kwa maslahi yetu wenyewe sisi wananchi lakini kwa sababu wao kuna maslahi yao ya dini pale wanahisi atakuja kuondoka , pamoja na maslahi yao walikuwa wanapitisha vitu pale...." alisema Sheikh huyo

Pamoja na yote Sheikh Mussa dunia ilipofikia sasa mambo mema yanaonekana mabaya huku mabaya yakionekana mema hata hivyo amemuomba Rais Samia aendelee kuishi maisha marefu kutokana na uadilifu na huruma alionao katika uongozi wake.

"Mbona mambo sasa hivi yanaanza kuchimbuka yaliyokuwa yamejificha na sisi ndio tunayasubiri kwa hamu kwa sababu tulipokuwa tunasema nyinyi mlituona sisi wabaya lakini sasa hivi Mwenyezi Mungu anayachimbua, mmemsikia Slaa alivyosema nyie waislamu mmekaa tu mmemsikia na uislamu wenu mnasikia wanavyomfanyia muislamu mwenzenu wanavyomwandama, wanaranda kwenye mikoa kwa kutumia pesa hizi hizi wanazopewa zetu wenyewe kama rai wanamsakama Mhe. Rais Samia lakini Mwenyezi Mungu atamuhifadhi, atamlinda na shari zao ataendeleza uadilifu, ni Rais pekee aliyekuwa hana mfano na waliyokuwa wamepita mwenye huruma mpaka na vilema tunamuombea dua na tutazidi kumuombea sasa kama wewe unanuna nuna"_ Sheikh Mussa Juma akizungumza msikitini Zanzibar
Huyo sheikh atulie tu maana watu hawautaki huo mkataba wa wizi. Akina Lisu, Mbowe nk hawataki hisani bali wanataka sheria zifuatwe. Hakuna popote hao wapinzani walimsifia Magufuli wala kumuogopa japo aliwafanyia unyama. Hao akina Lisu, Mbowe nk walijitokeza hadharani kusema Magufuli ni dictator na hawakujali kuwa ni mkristo mwenzao.

Huyo sheikh anasema kuwa Magufuli alifanya mambo mabaya, je ni lini alithubutu kujitokeza hadharani kusema Magufuli anafanya mambo mabaya, au wakati Magufuli anafanya unyama yeye alikuwa mkristo? Isitoshe Magufuli sio kipimo cha wema au ubora wa rais, sasa huo ulinganifu wa Samia kwa Magufuli unatokea wapi wakati tunajua Magufuli hakustahili kuwa rais?
 
DP wangekuwa na hofu ya alllah wangesitisha na kuungana na maskini, lakini wapo kimaslahi, hawajali, waliolambishwa nai hawajali, Maulid, Mwijaku, na chawa wengine.
Hivi mnauhakika huu mkataba ni wa UAE au wale wale kina Ramazan Watanzania walioutunga??Na walivyo wajinga wamechanganya vifungu vya mikataba yote ya kimataifa IGA,HGA na BIT bila kujua muhimu wa kila mkataba unavyofanywa na matumizi yake
 
Muislam ndugu yake ni muislam. Hata mama akituuza kwa waarabu ni Sawa tu,
Kwanza hao waarabu ni wajukuu wa mtume.
Wamebarikiwa.
Hewala. Takbiiiirrrr
Huko kwao hakuna magereza? Hakuna mahakama? Hawauani au kuoneana wivu? Inaonekana wanaroho nzuri sana.
Mbona wale wakimbizi kule Tunisia walifukuzwa kama mbwa na mwingine alichomwa kisu na muislam?
 
Hawa Msheikh ubwabwa wana elimu ahera tu lakini elimu dunia hawana ndiyo maana uwezo wa kuchambua mambo kimantiki hawawezi.
Ukisha ona mtu anaitwa sheikh basi jua kichwan ni mtupu na mweupe peee kwa mambo ya kisomi na kitaalamu ila yupo vizuri kwa maswala yanayo husu Qur'an takatifu , sasa hivyo ni vitu viwili tofauti kabisa
 
Back
Top Bottom