Uchaguzi 2020 Waraka wa Uchaguzi wa Shura ya Maimamu Tanzania

Status
Not open for further replies.

Zanzibar asilimia 98 ni waislamu wakati Tanganyika Waislamu ni around 40% hadi 55%
Haiwezekani katika jamii yenye composition ya watu namna hiyo kila teuzi wao hawajawahi fika hata 30%, Yaani kila teuzi inayoinvolve watu zaidi ya watatu basi wao ni kiduchu tu siku zote.

Hapa lazima kuna namna, kuna mfumo in place katika awamu hii wa kuhakikisga Waislamu ni wachache katika teuzi
 
Hongera zao wateuliwa, tuchape kazi tujenge nchi yetu!


 
Mkuu,Kama Tanganyika ina waislamu 55% je unafikiri hicho ni kigezo cha kutaka waislamu wapewe teuzi 50%kwamba sasa tuwa na sera ya USAWA wa kidini?
Mkuu naimani kabisa uislam ni dini mzuri ila sidhani kama kua sababu ya kulilia teuzi hata kama watu hawana vigezo vya kiuongozi.
 
Wakati wenzenu walivyokuwa wanawapeleka watoto wao shule, nyie mlikua mnawapeleka madrasa halafu mnaanza kulalamika hapa!


Pelekeni watoto wenu shule wapate elimu dunia pia ili waweze kushindana katika ajira.
 
Wale wahadhiri 11 walio fukuzwa UDOM nao walikuwa wanafunzi wa madsara? Simama kwenye kweli, ubaguzi unauwa taifa hili
Wakati wenzenu walivyokuwa wanawapeleka watoto wao shule, nyie mlikua mnawapeleka madrasa halafu mnaanza kulalamika hapa!


Pelekeni watoto wenu shule wapate elimu dunia pia ili waweze kushindana katika ajira.
 
Wakati wenzenu walivyokuwa wanawapeleka watoto wao shule, nyie mlikua mnawapeleka madrasa halafu mnaanza kulalamika hapa!


Pelekeni watoto wenu shule wapate elimu dunia pia ili waweze kushindana katika ajira.
Wale wahadhiri 11 walio fukuzwa UDOM nao walikuwa wanafunzi wa madsara? Simama kwenye kweli, ubaguzi unauwa taifa
 
Wakati wenzenu walivyokuwa wanawapeleka watoto wao shule, nyie mlikua mnawapeleka madrasa halafu mnaanza kulalamika hapa!


Pelekeni watoto wenu shule wapate elimu dunia pia ili waweze kushindana katika ajira.

Hii propaganda imeshapitwa na wakati, Waislamu waliosoma ni wengi kuliko uwiano wa wanaoteuliwa au kupewa ajira
 
Ndo ukweli huo

Waislamu wana njama zao juu ya taifa hili....kama ni shughuli za kufanya zipo kibao

Wao ni teuzi tuu....

1960s wao ni teuzi, 1970s wao ni teuzi, 1980s wao ni teuzi, 1990s wao ni teuzi, 2000 hadi leo 2020 wao ni teuzi
Mzee umesoma bandiko kweli?
 
Historia huwa haizeeki hata hicho unachokisema pia kinaweza kuja kuwa sehemu ya historia!
Luriga,
Maana yangu ni kuwa inastaajabisha kuwa wewe hukijui kitabu hiki kwani kimebadili si historia ya Julius Nyerere kama ilivyokuwa inaelezwa bali imewaleta wazalendo wengi waliopigania uhuru wa Tanganyika na wengi wao ni Waislam.

Hii ndiyo iliyovutia wasomi wengi kuvutiwa na kitabu hiki.

Hapa nyumbani kitabu kimeleta mwamko mpya kabisa.

Nilitegemea ungekuwa unayajua haya.
 
Naona ndugu zetu waislamu mmejivua joho la unafiki labda na wenzetu wakristo watazinduka kwenye kifungo Cha utumwa wa watawala.

Mzee Saidi Mungu awabariki kwa maono haya
Mliberali,
Amin
 
Kwa hiyo unamaanisha kuwa waislam wapewe vyeo vya uteuzi na nafasi serikalini kwa sababu walipigania uhuru, ila hao wasio na dini iwe vyovyote iwavyo kwa sababu hawakupigania uhuru?
 
Kwa hiyo unamaanisha kuwa waislam wapewe vyeo vya uteuzi na nafasi serikalini kwa sababu walipigania uhuru, ila hao wasio na dini iwe vyovyote iwavyo kwa sababu hawakupigania uhuru?
Hiyo mbona ni sehemu mdogo tu ya waraka umeishupalia. Kuna mambo mengi ya msingi kwenye waraka huu
 
Wale wahadhiri 11 walio fukuzwa UDOM nao walikuwa wanafunzi wa madsara? Simama kwenye kweli, ubaguzi unauwa taifa hili

Weka uthibitisho hapa (barua) wakufukuzwa kwao, tofautisha kufukuzwa na kubadilishiwa kitengo cha kazi.

Wakristo wangapi wanatumbuliwa kila wakati je ushawahi sikia wanalalamika?

Halafu tatizolenu huwa hamfuati sheria na taratibu za kazi katk taasisi husika kila kitu mnakua mnaongozwa na udini.

Acha udini nduguyangu, changamkieni fursa mbalimbali.
 
Mkuu hawa kulalamika na kutaka kuingiza udini kwenye kila jambo ndio jadi yao. Ilimu Ahera imeharibu sana midset zao. Hvi na dini nyingine hapa tz na zenyewe zikiamua zianze kudai mambo yao serikalini nchi hii itatawalika kweli?

Marehemu makamu wa rais Dr. Omary Ali Juma aliwaambia ukweli waislamu wakati wa serikali ya awamu ya tatu ya Benjamin Mkapa lakini mpaka leo wanalalamika tu.
 
Kwa hiyo dini ndio imekuwa kigezo cha uteuzi siku hizi? Au unataka wateuliwe kwa kuonewa huruma kutokana na dini zao? Huo ndio tunaita udini. Hivi kama waislamu wakiwa wengi halafu wakristo wakawa wachache kwenye hizo teuzi na wakristo wakailalamikia serikali kuhusu hilo jambo na waislamu hawatawaita wakristo wadini?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…