Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kwa hiyo dini ndio imekuwa kigezo cha uteuzi siku hizi? Au unataka wateuliwe kwa kuonewa huruma kutokana na dini zao? Huo ndio tunaita udini. Hivi kama waislamu wakiwa wengi halafu wakristo wakawa wachache kwenye hizo teuzi na wakristo wakailalamikia serikali kuhusu hilo jambo na waislamu hawatawaita wakristo wadini?
Aysee kuna watu wanajua kutiririka bhana...daah hongereni sana kwa kutuzibua masikio 👏👏👏MUONGOZO WA SHURA YA MAIMAMU TANZANIA UCHAGUZI MKUU WA TAIFA OKTOBA 2020
Shura ya Maimamu wa Tanzania imetoa waraka unaohusu Uchaguzi Mkuu.
Katika waraka huu au muongozo huu kuna mengi ya kufikirisha sana kiasi mtu atajiuliza haya yanawezekana vipi kutendeka katika nchi inayojinadi kuwa inazingatia haki na usawa kwa wananchi wake wote na inapiga vita ubaguzi wa aina yoyote.
Katika mengi niliyosoma hili hapo chini nikilijua siku nyingi na limekuwa likinisikitisha sana.
Kwa kuwa waraka wamelieieza naona itakuwa vyema nikaliweka hapa kwa faida ya wasomaji:
Uadilifu I
''Januari 11, 2019, serikali ilifanya uhamisho mkubwa wa kushitukiza kwa wahadhiri na watumishi wandamizi katika Chuo Kikuu cha Serikali cha Dodoma-UDOM.
Waliohamishwa walikuwa 11, lakini wote walikuwa Waislamu:
Dk. Maryam Khamis (Director of Graduate Studies), Dk. Ibun Kombo (Political Science), Dk. Mwinyikombo Amir (Mwalimu wa Udaktari wa Binadamu), Dk. Yusuf Kambuga (College of Education), Dk. Masoud Masoud (Informatics) , Bw. Subira Sawasawa (Mkurugenzi Mkuu Rasilimali Watu), Bw. Mohamed Mwandege (Bursar/Mhasibu Mkuu), Bi. Aziza Gendo (Seniour Estate Oficer), Bw. Simba Omary (Senior Supplies Oficer), Bw. Wema Mbegu (Legal Oficer), Bw. Khamis Mkanachi (Mwalimu wa Idara ya Historia).
Barua zao za uhamisho hazikuonesha makosa katika utendaji wao wa kazi au uongozi. Pamoja na kutokuwa wakosaji, uhamisho wao uliambatana na udhalilishaji mkubwa, kunyimwa haki stahiki za uhamisho, kuhamishiwa katika nafasi za chini kinyume na hadhi zao.
Baada ya uhamisho huo, Serikali ilifanya uteuzi mwingine katika chuo hicho hicho cha Serikali.
Katika uteuzi huo walioteuliwa walikuwa 11, wote Wakristo: Prof. Leonard James Mselle, Prof. Adam B. Swebe Mwakalobo, Prof. Julius William Nyahongo, Prof. Justin Ntalikwa, Prof. Frowing Paul Nyoni, Prof. Odass Bilame, Prof. Ainory Piter Gasese, Dkt. Victor George Mareale, Dkt. Alex Shayo, Dkt. Calvin Swai, Dkt. Augustine Mwakipesile.
Kuhamisha wahadhiri 11, katika Chuo Kikuu si jambo dogo.
Vilevile kuhamisha Wahadhiri 11, wa dini moja (Waislamu) katika Chuo Kikuu ukaingiza wahadhiri 11 wa dini moja (Wakristo), na hao Waislamu 11, baadhi yao ukawatoa kabisa katika mfumo wa elimu kwa kuwapeleka sekta nyingine na zisizo lingana na hadhi zao si jambo dogo. Wala si hatua ya kitaalamu ya kuboresha mfumo wa Elimu wa Taifa.
Na wala si hatua ya kijinga bali ya werevu uliofurutu ada dhidi ya maslahi ya Taifa.
Hatuwa hiyo ni salamu nzito kwa jamii yao na Taifa kwa ujumla. (Ndio maana katika maoni yetu ya Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tulipendekeza Katiba Mpya imtambuwe Mwenyezi Mungu na Dini liwe suala rasmi na la wazi katika uendeshaji wa nchi).''
Mkuu,Kama Tanganyika ina waislamu 55% je unafikiri hicho ni kigezo cha kutaka waislamu wapewe teuzi 50%kwamba sasa tuwa na sera ya USAWA wa kidini?
Mkuu naimani kabisa uislam ni dini mzuri ila sidhani kama kua sababu ya kulilia teuzi hata kama watu hawana vigezo vya kiuongozi.
Hapo sasa ndo watanzania wajue kwamba waislamu wana hiden ajenda na hizo teuzi
Bara bara, miradi ya maji, zahanati, vituo vya afya vinajengwa na kutumiwa na kila mtu
Katika matatizo yote ya watanzania nyie mmeona Uchaguzi tu. Wasakatonge wakubwa nyie.
MUONGOZO WA SHURA YA MAIMAMU TANZANIA UCHAGUZI MKUU WA TAIFA OKTOBA 2020
Shura ya Maimamu wa Tanzania imetoa waraka unaohusu Uchaguzi Mkuu.
Katika waraka huu au muongozo huu kuna mengi ya kufikirisha sana kiasi mtu atajiuliza haya yanawezekana vipi kutendeka katika nchi inayojinadi kuwa inazingatia haki na usawa kwa wananchi wake wote na inapiga vita ubaguzi wa aina yoyote.
Katika mengi niliyosoma hili hapo chini nikilijua siku nyingi na limekuwa likinisikitisha sana.
Kwa kuwa waraka wamelieieza naona itakuwa vyema nikaliweka hapa kwa faida ya wasomaji:
Uadilifu I
''Januari 11, 2019, serikali ilifanya uhamisho mkubwa wa kushitukiza kwa wahadhiri na watumishi wandamizi katika Chuo Kikuu cha Serikali cha Dodoma-UDOM.
Waliohamishwa walikuwa 11, lakini wote walikuwa Waislamu:
Dk. Maryam Khamis (Director of Graduate Studies), Dk. Ibun Kombo (Political Science), Dk. Mwinyikombo Amir (Mwalimu wa Udaktari wa Binadamu), Dk. Yusuf Kambuga (College of Education), Dk. Masoud Masoud (Informatics) , Bw. Subira Sawasawa (Mkurugenzi Mkuu Rasilimali Watu), Bw. Mohamed Mwandege (Bursar/Mhasibu Mkuu), Bi. Aziza Gendo (Seniour Estate Oficer), Bw. Simba Omary (Senior Supplies Oficer), Bw. Wema Mbegu (Legal Oficer), Bw. Khamis Mkanachi (Mwalimu wa Idara ya Historia).
Barua zao za uhamisho hazikuonesha makosa katika utendaji wao wa kazi au uongozi. Pamoja na kutokuwa wakosaji, uhamisho wao uliambatana na udhalilishaji mkubwa, kunyimwa haki stahiki za uhamisho, kuhamishiwa katika nafasi za chini kinyume na hadhi zao.
Baada ya uhamisho huo, Serikali ilifanya uteuzi mwingine katika chuo hicho hicho cha Serikali.
Katika uteuzi huo walioteuliwa walikuwa 11, wote Wakristo: Prof. Leonard James Mselle, Prof. Adam B. Swebe Mwakalobo, Prof. Julius William Nyahongo, Prof. Justin Ntalikwa, Prof. Frowing Paul Nyoni, Prof. Odass Bilame, Prof. Ainory Piter Gasese, Dkt. Victor George Mareale, Dkt. Alex Shayo, Dkt. Calvin Swai, Dkt. Augustine Mwakipesile.
Kuhamisha wahadhiri 11, katika Chuo Kikuu si jambo dogo.
Vilevile kuhamisha Wahadhiri 11, wa dini moja (Waislamu) katika Chuo Kikuu ukaingiza wahadhiri 11 wa dini moja (Wakristo), na hao Waislamu 11, baadhi yao ukawatoa kabisa katika mfumo wa elimu kwa kuwapeleka sekta nyingine na zisizo lingana na hadhi zao si jambo dogo. Wala si hatua ya kitaalamu ya kuboresha mfumo wa Elimu wa Taifa.
Na wala si hatua ya kijinga bali ya werevu uliofurutu ada dhidi ya maslahi ya Taifa.
Hatuwa hiyo ni salamu nzito kwa jamii yao na Taifa kwa ujumla. (Ndio maana katika maoni yetu ya Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tulipendekeza Katiba Mpya imtambuwe Mwenyezi Mungu na Dini liwe suala rasmi na la wazi katika uendeshaji wa nchi).''
Yawezekana kuna majina mengi sana hapo ya kiislam lakini Wahusika ni Wakristo, Pia yapo ya Kikristo lakini dini ni Waislam
Huyu Mzee ndio Mdini namba moja, hawezi kupata uongozi labda misikitini tu.Mkuu Mzee Said wakati wako ndio huu gombea Ubunge uwakilishe kilio chako
Hao uliowaandikia siku hizi wanaogopa umma kuliko JF
Yawezekana kuna majina mengi sana hapo ya kiislam lakini Wahusika ni Wakristo, Pia yapo ya Kikristo lakini dini ni Waislam
Rais wa JMT au Kiongozi yeyote anayejielewa hawezi kuwa na muda wa kijinga kujadili udini badala ya kuangalia uwezo.
Haya Mnayoandika ndio UDINI wenyewe sasa.
Awamu iliyopita:-Wamesahau tano bora
Rais
Makamu wa rais
Waziri Mkuu
Maji mkuu
Speaker
Asimilia hapa zikoje??
Kwanini asiweze kuchangia? Mbona anachangia? Huwa unajikuta kwamba wewe ndio unajua kila kitu MzeeTiti...
Tanzania dini kuu ni mbili na unazijua.
Ili ufahamu imekuwaje leo dini imekuwa ni mada ya kujadiliwa inakubidi uisome historia kudai uhuru wa Tanganyika.
Bila ya kufanya hivyo hutoweza kuchangia vyema mjadala huu.
Huenda sikujieleza vizuri.Nakuheshimu mkuu Kalamu Wala hatubishani AKHI.....
Mkuu wangu haya Mambo yanahitaji tafakuri Pana........
Watu huwa ngumu kukubali kutokubaliana kwa sababu yanagusa HISIA za kiimani na km ujuavyo MITIZAMO ya kiimani na makundi ya kiimani yanagusa MIOYO YA WATU ambao wamekuwa wakiyasikia hayo kila uchao.......
Tuendelee kukubali kutokubaliana Kaka.
Thanks Indeed
Nafanya kazi na Sheikh KipozeoKumbe unafanya kazi na jiwe au Roho Mtakatifu wako ndiyo alivyokufunulia??
Stick kwenye mada usianze kumuharibia Mtawadhaji mwenzio mada yake.Kumbe unafanya kazi na jiwe au Roho Mtakatifu wako ndiyo alivyokufunulia??
Azarel,Kwanini asiweze kuchangia? Mbona anachangia? Huwa unajikuta kwamba wewe ndio unajua kila kitu Mzee
Historia ya Tanganyika, TANU n.k wanaoifahamu ni wengi tu humu.
Tena wanaijua historia halisi sio hiyo yako ya Udini unaotuletea humu kila Mara, ambayo umejaza Uzushi.
So what?Azarel,
Mimi naijua historia ya Nyerere.
New video by Mohamed SaidAzarel,
Mimi naijua historia ya Nyerere.
wewe wasiwasi wako ni nini kwani wanaongoza kwa kutumia biblia au kurani?Titi...
Tutafanyaje inapokuwa waumini wa dini moja tu ndiyo wanakuwa na sifa za elimu, uxoefu, uadilifu, uchapakazi nk. kwa hiyo ndiyo wanaoongoza serikali na wengine wako nje?
Katika hali kama hii tunafanyaje?
Uko sahihi sana mkuu hawa jamaa hawaelewi kwamba ina maana taifa hili ni la Waislam na wakristo tuNdo ukweli huo
Waislamu wana njama zao juu ya taifa hili....kama ni shughuli za kufanya zipo kibao
Wao ni teuzi tuu....
1960s wao ni teuzi, 1970s wao ni teuzi, 1980s wao ni teuzi, 1990s wao ni teuzi, 2000 hadi leo 2020 wao ni teuzi