Uchaguzi 2020 Waraka wa Uchaguzi wa Shura ya Maimamu Tanzania

Status
Not open for further replies.
Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi imekuwa mwiba mkali kwa watawala. Vile visheria vya kujiwekea kinga ndo vinapelekwa kwa hati ya dharura.
 
Kwani CCM na watu wake wanaogopa tume huru,kuna nini ndani yake?
 
Muislam Brown....utakuwa muislam wa kianglicana wewe siyo bure
 
Lugha ya kikoloni
 
Wewe ni muislam wa Tanzania?

Kama sivyo.

Unatapikaje maneno ya kuambiwa kuhusu taasisi ya kiimani ISIYOKUHUSU?!!

Hawa ndio waisilamu wa kweli, hawako tayari kufumbia macho tume inayooagizwa na rais kunajisi uchaguzi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…