Uchaguzi 2020 Waraka wa Uchaguzi wa Shura ya Maimamu Tanzania

Uchaguzi 2020 Waraka wa Uchaguzi wa Shura ya Maimamu Tanzania

Status
Not open for further replies.
WARAKA wenye kurasa 18 kuhusu uchaguzi mkuu, umetolewa na Jumuiya na Taasisi za Kiislam ukisisitiza mambo muhimu ikiwemo Tume Huru ya Uchaguzi.

“Kwa hakika maelezo yetu ya nini tunataka kwa taifa letu katika uchaguzi huu, yangekuwa na maana sana kama Taifa lingekuwa na Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Tume Huru ya Uchaguzi, vinavyotokana na Wananchi wenyewe,” amesema Sheikh Ponda.

Hata hivyo, Sheikh Ponda amesema kama Tume Huru ya Uchaguzi haitapatikana na kwa kuwa, serikali imeahidi kuhakikisha uchaguzi huo unakuwa huru na wa haki, inatakiwa ifanyie maboresho kanuni za uchaguzi na za uendeshaji zoezi la uchaguzi.


Amesema, ni matamano ya Waislamu kuona Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), zitunge kanuni zitakazoendana na wakati uliopo...
Uchaguzi huu nawaambia utakuwa historia ya Tanzania utauzidi wa Serikali za Mitaa ulivyokuwa
 
WARAKA wenye kurasa 18 kuhusu uchaguzi mkuu, umetolewa na Jumuiya na Taasisi za Kiislam ukisisitiza mambo muhimu ikiwemo Tume Huru ya Uchaguzi.

“Kwa hakika maelezo yetu ya nini tunataka kwa taifa letu katika uchaguzi huu, yangekuwa na maana sana kama Taifa lingekuwa na Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Tume Huru ya Uchaguzi, vinavyotokana na Wananchi wenyewe,” amesema Sheikh Ponda...
Safi sana
 
Safi sana
Mbona ustadhi Ponda anajulikana kuwa ni MWANAHARAKATI wa kiislam. HAKUNA anayepinga Hilo.

Ila tunapinga TU pale wanapomuita Sheikh wa ilimu ya Fatawa ya Uislam. Hapa Mara moja tutayatoa macho kwa kumshangaa ALIYESEMA HIVYO.

ELIMU ni bahari.
 
Waraka mbona umeyeyuka na ulikuwa unaeleza kwa kina. Mods mmekuwaje
 
Ponda again
Sheikh tafathali pumzika tuu misukosuko uliyopitia ni mingi lea wajukuu
 
Waisilamu wa kweli hukemea dhuluma.

Huo ni mstari katika kitabu chetu kitakatifu?!!!

Km ndivyo Basi tungeanza kujua kuwa dhuluma kiarabu ni GIZA.

Ndo mana Kuna aya inasema "dhulmatul wannuur" yaani kutoka gizani kupelekwa kwenye MWANGA......

Ukiwa Sober😂😂 nitakuelekeza tu,Mimi mbona najulikana kwa ushababi wa hoja juu ya majukwaa sembuse humu...humu Tena na BAVICHA?!!!! Muulizeni kiongozi wenu Ally aliyehama na lowassa kuja CDM,babake karudi nyumbani yeye kang,'ang'ania UFIPANI.....
Muulizeni Said Sambala,muulizeni mh.Salum Hapi et Al

Ukimaliza FARU john nishtue Leo nakesha humuhumu inshaalahu aaaamin.
 
WARAKA wenye kurasa 18 kuhusu uchaguzi mkuu, umetolewa na Jumuiya na Taasisi za Kiislam ukisisitiza mambo muhimu ikiwemo Tume Huru ya Uchaguzi.

“Kwa hakika maelezo yetu ya nini tunataka kwa taifa letu katika uchaguzi huu, yangekuwa na maana sana kama Taifa lingekuwa na Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Tume Huru ya Uchaguzi, vinavyotokana na Wananchi wenyewe,” amesema Sheikh Ponda...
Safi sana Mjahidina Ponda... Hatutaki Unafiki wa kina Pengo na Gwajima.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom