Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Kwa hivyo hapo kwenye hoja ya usawa katika kugawana nyadhifa na mengineyo inahusu raia walio muhimu au bora kuliko wengine?Titi...
Huwezi kufananisha historia ya Waislam na kundi lolote labda ikiwa unataka kuchekesha watu.
Unaweza kuanza kujifunza kwa kusoma kitabu cha Abdul Sykes (1998).
Mimi niliwaelewa vibaya nilidhani wanataka usawa kwa raia wote toka kila kundi la kiimani.
NB: Kutoamini kuhusu dini na Mungu/Miungu nayo ni imani pia. Kuamini katika miungu au mungu zaidi ya mmoja nayo ni imani pia.