Elections 2010 Waraka wa Waislam Kuhusu Uchaguzi Wakamilika

Elections 2010 Waraka wa Waislam Kuhusu Uchaguzi Wakamilika

Kwa hiyo Serikali inatakiwa ifuate MWONGOZO la sivyo hawatapewa kura au namna gani? Au tuseme kama atatokea mwanasiasa mwenye kuukubali MWONGOZO ndiye atakayepewa kura? Tunamsubiri mzee 'no comment' kikongwe wa kikomunisti Kingunge, mzee wa 'hapa patamu' Makwaia wa Kuhenga na 'bwana madevu' maalim Seif kuupinga waraka huo kama walivyoupinga ule wa Kanisa Katoliki otherwise tutakuwa tumewajua janja yao ililenga kwenye nini!

Hebu tueleze katika waraka huo cha kupingika ni nini? tuanze kukipinga.
 
Waraka wenyewe wameuficha, nadhani umejaa shari na ubaguzi, hivyo basi watagawana wao kwa wao huko misikitini.
Huenda kuna hints za kuchagua waislamu tuu, ili issue zao za kidini zipate support.
JK na wenzake aibu tupu, sijui atakimbilia wapi mwaka huu.
 
Ushauri wangu kwa maaskofu na wakristu ni kufanya kampeni za waziwazi makanisani kwamba tuchague wakristu wenzetu tuu.
Tueneze kampeni zaidi na kwa wapagani, hindu,n.k(exclude wajahidina).
Hii move ita work sana tuu.
Liwalo na liwe, kama ni noma na iwe noma.
 
Ushauri wangu kwa maaskofu na wakristu ni kufanya kampeni za waziwazi makanisani kwamba tuchague wakristu wenzetu tuu.
Tueneze kampeni zaidi na kwa wapagani, hindu,n.k(exclude wajahidina).
Hii move ita work sana tuu.
Liwalo na liwe, kama ni noma na iwe noma.

wewe bana,
jina lako tu linabeba matakataka halisi yaliyopo kichwani mwako
 
Enyi waislamu ni nani aliyewaroga kuwa ninyi peke yenu mlipigania uhuru wa Tanzania?Tanzania ilitawalia na nani? Mwalimu Nyerere nini?

Ukishakuwa taharia utaongea hovyo sana.

Kama ni uhuru wa Tanganyika aliyepigania tena mstari ni mkatoliki Julius Kambarage Nyerere, narudia tena nyie mlikuwa fuata upepo, kwani muda mwingi wa kampeni mlikuwa hamna kazi ya kufanya zaidi ya kucheza bao, hivyo ilikuwa rahisi kwenu kufuata mikutano ya Nyerere.

Mfano mzuri ni zile movement za Martin Luther, waislamu na vikofia vyao walikuwa nyuma nyuma kama walinzi vile.
Kwahiyo mwataka kusema nanyi(waislamu) mlipigania uhuru wa watu weusi Marekani.

Acheni ulimbukeni na mizuka ya kipepo pepo hiyo, uhuru wa Nchi hii alipigania Nyerere.

Ninyi hamna historia ya kupigania uhuru zaidi ya kujilipua na mabomu.

Karume alishindwa kumtoa mwarabu zenj, ikabidi Nyerere kwa kushirikiana Okello ndiyo zoezi likafanikiwa.
Angalia cha kusema maneno yako mazito..! jua kuwa hakuna muislamu aliye kamili akashindwa kutetea haki yake hata kama itaghalimu maisha yake.! huwa tunafanya subira kisha baadae ndio maamuzi yanakuja. Au kwa kuwa Julius alipanda ndege kwenda kwa malikia ndio akaonekan kwamba ye ndio mambo yote.? Chukulia mfano w dereva wa dala dala anavyokuwa akiendesha abiria.
 
Angalia cha kusema maneno yako mazito..! jua kuwa hakuna muislamu aliye kamili akashindwa kutetea haki yake hata kama itaghalimu maisha yake.! huwa tunafanya subira kisha baadae ndio maamuzi yanakuja. Au kwa kuwa Julius alipanda ndege kwenda kwa malikia ndio akaonekan kwamba ye ndio mambo yote.? Chukulia mfano w dereva wa dala dala anavyokuwa akiendesha abiria.

Kwanini hamkupanda hiyo ndege ninyi, au ngeli ilikuwa F?
 
I say jamani, naona wengi mnafanya masikhara. Hili sio jambo la kutaniana. This is the beginning of the end of Tanzania!!!! Nauza nyumba yangu iliopo DSM ili nihame mapema. Najua damu itamwagika tu nchini kama kufa. It's too late for JK. Yote kwasababu kawakumbatia mafisadi. Uganda yanaendelea, Kenya yashatokea, Unguja ndio yamebakia mpaka leo. Sasa ni zamu yetu wadanganyika nasi kuchinjana!!!
Mwenye akili ahame kama mimi ninavyohama nchi hii hii leo!!!
 
[QUOTE]I say jamani, naona wengi mnafanya masikhara. Hili sio jambo la kutaniana. This is the beginning of the end of Tanzania!!!! Nauza nyumba yangu iliopo DSM ili nihame mapema. Najua damu itamwagika tu nchini kama kufa. It's too late for JK. Yote kwasababu kawakumbatia mafisadi. Uganda yanaendelea, Kenya yashatokea, Unguja ndio yamebakia mpaka leo. Sasa ni zamu yetu wadanganyika nasi kuchinjana!!!
Mwenye akili ahame kama mimi ninavyohama nchi hii hii leo!!![/QUOTE]


Unaogopa nini sasa? ni afadhali kufa kuliko kuishi kwa kutishiana tishiana kusiko na mwisho.

Kama ni vita na ije tuu, ili nidhamu iwepo.

Kuhusu hiyo nyumba tuongee bei basi
 
waraka wenyewe uko wapi jamani?
1251533506_5.jpg
 
Au kwa kuwa Julius alipanda ndege kwenda kwa malikia ndio akaonekan kwamba ye ndio mambo yote.?


Mlishindwa nini ninyi waislamu kupanda hiyo ndege?
 
Huo ni waraka au Mwongozo au fatwa? Hao akina Ponda, Kundecha et al kwa upande mmoja wanaamua kulumbana na Wakatoliki halafu upande mwingine BAKWATA haikubaliani na akina Ponda na wenzie. Halafu Wakatoliki wanalumbana na Kingunge ambaye kwa nia ya hoja tuseme anaiwakilisha NEC ya CCM. Hii equation imekaa vipi?

P vis a vis K vis a vis CCM + K vis a vis CCM+B vis a vis P= Political environment in Tanzania. Where as P=Ponda at al; K=Katoliki;CCM=Kinguge and NEC;B=BAKWATA.

Niambieni hii imekaeje? Nani atakaekuwa mshindi au kubakia na nani atakuwa cancelled out. Mimi naona hii ni kama sinema ya Ze Komedi. Mnasemaje wachambuzi?
 
<Kama ni vita na ije tuu, ili nidhamu iwepo>.
Mdini naona bado unatania tu. Hili silo suala la utani. Tanzania tushafika pabaya. Unadhani hio vita italeta nidhamu? Nidhamu tunaweza kuileta bila ya vita. Much can be done without a war but with unlimited imaginations! Kenya wamekufa zaidi ya 5,000 na badala ya nidhamu kuja Odinga anasema choo chake kapewa kidogo kuliko cha Rais. Hivyo tunasema vita ije kwa kungojea nidhamu kama hii - ya kudai choo afisini kiwe kikubwa? Is this worth of the 5,000 lives lost? Is this what these people died for? Anyway, kwa advice yako siiuzi tena nyumba yangu na wacha tuishangilie hio vita ije ili baadae nasi tudai vyoo vikubwa afisini kuliko vya Waislamu!!!
 
Niambieni hii imekaeje? Nani atakaekuwa mshindi au kubakia na nani atakuwa cancelled out. Mimi naona hii ni kama sinema ya Ze Komedi. Mnasemaje wachambuzi?

Simoni hujui nani atashinda?
CCM itashinda, cha kushangaza zaidi watarudi mafisadi walewale.
Pia utakuwa mwisho wa CUF Tanganyika.
 
Mdini naona bado unatania tu. Hili silo suala la utani. Tanzania tushafika pabaya. Unadhani hio vita italeta nidhamu? Nidhamu tunaweza kuileta bila ya vita. Much can be done without a war but with unlimited imaginations! Kenya wamekufa zaidi ya 5,000 na badala ya nidhamu kuja Odinga anasema choo chake kapewa kidogo kuliko cha Rais. Hivyo tunasema vita ije kwa kungojea nidhamu kama hii - ya kudai choo afisini kiwe kikubwa? Is this worth of the 5,000 lives lost? Is this what these people died for? Anyway, kwa advice yako siiuzi tena nyumba yangu na wacha tuishangilie hio vita ije ili baadae nasi tudai vyoo vikubwa afisini kuliko vya Waislamu!!!

Nimekusoma, lakini kubali usikubali huo ndio msimamo wangu, naomba hiyo vita ije tufundishane adabu.
 
<Pia utakuwa mwisho wa CUF Tanganyika>
CUF Tanganyika ndio tunaipalilia wenyewe. Usitegemee kama itakufa bali itaengezeka nguvu, kwani it will be the only opposing force to Wakatoliki!!!
Else, Tanganyika kutakuwa na vacuum!!
 


Mlishindwa nini ninyi waislamu kupanda hiyo ndege?
Mdini!

Wacha jazba huo waraka umeusoma au unataka kubisha tu! Kama kuna mtu anayo soft copy aweke hapa jamiiforums tuuchambue msiwe kama komredi Kingunge kwanza tuusome halafu tuchambue walisema wahenga jambo usilolijua ni usiku wa kiza!

Kabla haujaitwa majina kwanza tuusome kama unachochea ubaguzi au fujo si akina ustadhi Said Mwema na Kova wapo? Tutaona kama watachukua hatua au mapaka watu wapigane majambia ndipo wakurupuke! Je mnakumbuka DECI na siku za nyuma ile Big Harvest kanisa la jamaa wa Nigeria ambaye mwisho wake aliiba mabilioni ya NBC kule Moshi na polisi na usalama wa taifa wakitia usingizi pesa zikayeya leo mahakimu wanakula night wakijua fika hakuna kesi kwani bulungutu la dola za kimarekani ziliishia gizani na mjamaa kayeyuka!!!
 
< lakini kubali usikubali>
Hii ndio shida yetu sis Wadanganyika!
Kubali usikubali ndio unasema nini????
Usingeliweza kusema "hivyo ndivyo ninavyoona mimi?" Watu kama nyinyi mkipata madaraka ndio mnakuwa hamtaki kuambilika hata kidogo. Mlionalo nyinyi ndio hilo hilo. Kwa kweli hatutofika. Bora ije hio vita unayoishangilia ili tupunguwe kidogo!!!
40 million people are too many especially during this time of economic hardships!!!
 
Back
Top Bottom