WARAKA WA WAZI KWA LADY JAY DEE kUHUSU WIMBO YAHAYA

Sawa sawa nimekusouma, mmarekani mweusi wa Tandale

wewe unaish wapi?
Acha kashfa unaonekana mbaguzi sana wewe sasa tandale kuna tatzo gani hebu toa uharo wako hko
 
Under the same sun? Let us LOVE each, God is LOVE, and we are all created bse of God's Love.
 
yani unaongea pumba mpka naona aibu kusoma!
aaaaaarhg!
 
Acha kuchochea udini wewe kwani ni Jide tu ndio wa kwanza kutaja majina ya watu kwenye nyimbo, mbona majina kibao tu ya kiislam na kikristo yametajwa kwenye nyimbo mbalimbali na wasanii mbalimbali

mfano Juma nature aliimba Athumani akishalewa anashindwa kujielewa!!!!!!

Matonya nae na wimbo wake wa latifa

hiyo ni mifano tu miwili lakini wapo wasanii wengi ambao hutumia kutaja majina mbalimbali kwenye nyimbo zao so lawama zako hazina msingi hata kidogo.
 
LIKUD..!!! Imani ikizidi Utashi??? Hatuendi hivyo bwana..!!!!
 
mjadala ulishafungwa

We njegele kweli, kwa akili yako unadhani mjinga gani atakusapoti, mbona zilishatolewa nyimbo kama "MASOUD JAMBAZI" na zimekuwa zikipendwa na WATANZANIA Wengi tu. Usilete akili yako ndogo mbele ya watu wenye upeo mkubwa, umeandika thread ndeeefu lakini pumba tupu. LIKUD mkubwa we
 
Last edited by a moderator:
Sasa angeimba Mohamed si ndio ungemtafuta na kumuua wacha uchochezi kijana huu sio wakati wake alafu unaanza na maneno ya vitisho hiyo siyo akili timamu ya kukaa na kuandika Eti waraka wa wazi kuna vitu vya kuandika na siyo vyote

Nahisi kabisa unataka kuvumbua mambo mengine ili yaanze makelele mengine tena mbona mnakuwa na vijimaneno maneno ambavyo havina msingi mnakela kama unaona hilo jina limekugusa saana basi tabia zile zilizo imbwa humo kwenye huo wimbo zinakugusa kwa haina moja ama nyingine

Huu ni ushamba na kama ungekuwa unajua gharama za kurecord nyimbo ungekwenda taratibu mpaka Nyumbani Lounge na ukamuuliza ni kiasi gani alichotumia kurecord huo wimbo wa YAHAYA ukazitoa hizo pesa na ukaanza kumuelezea haya na kumwambia afanye remix ya jina lingine.
 
acheni mambo ya kibwegebwege,na udini wenu,mnaanza taratibu,mtajibagua hadi ndani ya dini,zamani akina juma nature walitoa nyimbo mjomba iddi n.k hakukua na thread km izi,umetumwa na ru gay????
 
Likud, mimi sijaona tatizo. Whether ni mkristo au muislamu binadamu yeyote ana uwezo wa kufanya matendo mema na mabaya. Tuache kuendekeza siasa za udini zinazotumiwa na wachache kutuvuruga kwa maslahi yao. Watanzania hatuna matatizo baina yetu sisi wenyewe wa dini tofauti bali tunapandikizwa virusi vya udini ili tuanze kuchukiana kwa misingi ya imani zetu.
 
wewe unaish wapi?
Acha kashfa unaonekana mbaguzi sana wewe sasa tandale kuna tatzo gani hebu toa uharo wako hko



bUNK pITCH!!!!!.....by ol minz d title n main character'f d song shud b remixed as “lee-kurd" insted'f “yahh-haya"........aint u wet yet,i wonda!
 

Mtoto Iddy Kazua balaa by Juma Nature. tafakari.
 
Kichwa kinapokosa mawasiliano na ubongo mambo huwa ovyo sana
 
Hata hapa bongo kuna MIBOKO HARAMU...
Nenda nigeria au somly sh..ytpe
 

Ndugu yangu nianze kwa kukufundisha kitu. Majukwaa kama haya, mara nyingi hukutanisha watu wengi wenye ufahamu tofauti wa mambo, hivyo kabla hujaleta kitu ni vema ukafanya utafiti wa kutosha.
Kwani kwa hili uliloleta inaonesha hukufanya utafiti wa kina. Nianze kwa kukujulisha kwamba, katika Uislam hakuna jina la YAHAYA ambalo lina maana kubwa kama unavyodai.
Katika Uislam kuna nabii YAHYA ibn Zakariah mbaye ndiye YOHANA Mbatizaji (Kwa Wakristo). Kwa kifupi katika hii post yako nadhani wewe ndiye utakayeingia kwenye matatizo kwa kuharibu jina la nabii au kulihusisha jina la mtaani na majina ya manabii.

USHAURI!
Omba radhi kwa uchochezi wa makusudi au kutojua kwa kulihusisha kwa makusudi au bahati mbaya jina la YAHAYA na Uislam, kwa kulazimisha kwa makusudi au bahati mbaya lionekane kama YAHYA!
 


umeniona nna kuni hadi uniite mchochezi? anyways mjadala ushafungwa
 
We mtoa mada hushangai hakuna mtu anayekusapoti???.. Siku nyingine usilete mawazo yako ya kishirikina hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…