Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wengi wa wanawake wa huko wana ngozi laini na nyororo mkuu!Ukija Bukoba utajionea live
Huko kwenu ndio ninoma na ndio mlisababisha tusilane kwa amani saizi tungekuwa tunakulana kwa raha sanaHapana ukutokea huko sema mgonjwa wa kwanza kupimwa alitoka huko hila mikoa ya kusini ndio hatari hii inatokana na nchi za kusini mwa Afrika kuongoza kwa ukimwi Zambia Malawi south Africa eswatin Lesotho
Nyinyi wenyewe hamuwezi kujiona wachafu sababu uchafu ndo jadi yenu...basi sisi wageni tuliozoea usafi ndo tumewaona kuwa ni wachafuWahaya hawana sifa ya uchafu
Una maana gani punguza utoto aliye kuambia ulianzia kwetu nani?ngoja nikupe Elimu huu ugonjwa uliingia kupitia sehemu mbali mbali kwa mikoa ya kusini waliuopata kwa nchi jirani yaani Zambia Malawi na Mozambique na mpaka leo nchi za kusini zinaongoza kwa ukimwi ambao ni hatari kuliko sehemu nyingine kwa Kagera kuna dk alikuja kufanya kazi baada ya kuona watu wanaugua ugonjwa asio uelewa alimpigia rafiki yake ambaye ni dk huko ufaransa ambako nao waliathilika pakubwa alipomtajia dalili akamuomba na vipimo amtumie ndio ikatangazwa ni ukimwi umeeingia nchini lakini wagonjwa walikuwepo karibu Tanzania nzima asa mikoa ya mipakani na kusini wali athilika zaidi Mbeya Iringa na bado huko kuna sumbua mpaka leoHuko kwenu ndio ninoma na ndio mlisababisha tusilane kwa amani saizi tungekuwa tunakulana kwa raha sana
Hawajawafikia wahaya kwa ukabilaUnasahau wachaga katika mwavuli wa wakaskazini.
Lazima utetee kabila lako...alafu ni wabishi hao+ujuaji mwingi 😂 😂 😂Wahaya wasafi sana punguza chuki
Binamu na wewe unapenda kuosha macho?Ewaaa wewe ndio umeutendea haki uzi
Hiyo Bunena Beach unapitia njia gani, next month naexpect kwenda huko kikaziMji umesimama hakuna jipya miaka nenda rudi,nimeishi bukoba naijua kona zote,kuna beach moja inaitwa Bunena Beach inamilikiwa na Kanisa katoliki nzuri ajabu,wanawake wakijua wew mgeni wanakufundisha kuwamwaga maji bila tatizo
Bukoba kuna warembo wazuri sana wenye misambwanda miguu ya bia na figa namba 8. Wamegawanyika Watusi kwa hapa wanaitwa wanyarwanda pia wapo walio mix Wahaya na Watusi nakutoa watoto wakali. Pia wapo Wanyakore ambao ni wazuri sana wengi wao ni weusi kwa mbali ni maji ya kunde. Wahaya pia ni wazuri sana..Bukoba unakuta binti ni beki tatu lakini ni mzuri sana unakuta wengi wanao kuja huku UPENDA kufukuzia beki tatu kuepuka gharama. Warembo wa hapa wengi wanapenda kuishi maisha ya kujitegemea hii inatokana wengi wameenda shule ASA hawa ambao ni wahaya asilimia mia. Wengi wanapenda kuolewa na wahaya wenzao hawapendi shida. Wana akili za maisha ni watafutaji wazuri wa hela ukifika Bukoba utakuta biashara kubwa wanamiliki wao. Wanapenda kuzungumza kihaya hata HAWE amesoma vipi au HAWE mrembo kiasi gani hii inatokana na wahaya kukipenda kihaya sana. Wengi wanapenda sana Kampala na shopping nyingi wanapenda kufanyia huko..Kama una swali uliza.SINA SWALI ILA NIMEPENDA UANDISHI WAKO,(UPENDA,ASA,HAWE)...
Ubishi si mnaongoza nyinyi Moro..pili ukisoma lazima ujue mengi ndio ujuajiLazima utetee kabila lako...alafu ni wabishi hao+ujuaji mwingi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unajua watanzania bado sijui tatizo letu ni nini,hivi vitu kama hiyo Bunenena Beach,mahoteli au lodges za mikoa au wilaya,mbuga n.k kwanini wamiliki au mamlaka zinazohusika zisifungulie website ili iwe rahisi kuzipata hata kwenye mitandao kabla hata ya kufika eneo husika?unakuta mtu anataka kwenda Lindi inabidi aingie JF kuanza kuulizia hotel au vivutio vya huko! sijui hata tunakwamia wapi...?Hiyo Bunena Beach unapitia njia gani, next month naexpect kwenda huko kikazi
Ukifika bukoba, fanya kama unaenda custom au ulizia Kigango cha BunenaHiyo Bunena Beach unapitia njia gani, next month naexpect kwenda huko kikazi
Maajabu haya. Yaan mtu wa morogoro anaongelea watu WA Bukoba?Nyinyi wenyewe hamuwezi kujiona wachafu sababu uchafu ndo jadi yenu...basi sisi wageni tuliozoea usafi ndo tumewaona kuwa ni wachafu
Kuna kiloyera beach mbele ya gymkhana ni nzuri sana pia nzuri na kwa watoto kuna michezo mbali mbali pia kuna maruku beach nayo nzuri sanaHiyo Bunena Beach unapitia njia gani, next month naexpect kwenda huko kikazi
Humu kuna watu wa kila aina ni vizuri kuuliza unapata majibu mazuri zaidiUnajua watanzania bado sijui tatizo letu ni nini,hivi vitu kama hiyo Bunenena Beach,mahoteli au lodges za mikoa au wilaya,mbuga n.k kwanini hatuna utamadun wakuzufungulia website ili iwe rahisi kuzipata hata kwenye mitandao kabla hata ya kufia eneo husika?unakuta mtu anataka kwenda Lindi inabidi aingie JF kuanza kuulizia hotel au vivutio vy huko! sijui hata tunakwama wapi...?
We ni wa kupuuzwa Tu .huna utafiti wowote na uhakika na unayoyaongea.bora ukaa kimyaNdilo kabila wanaoongoza kwa kuuza zao la "Mbunye" afrika mashariki na kati
Acha majunguNdilo kabila wanaoongoza kwa kuuza zao la "Mbunye" afrika mashariki na kati
Ana wivu na chukiMaajabu haya. Yaan mtu wa morogoro anaongelea watu WA Bukoba?
Kuna kitu gan kizuri kutoka morogoro? Ushirikina na uchawi tu