Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo hapa mjiniUko wapi nikuelekeze pa kuwapata
Za baridiAisee!? Kwaiyo nyeusi umezichoka?
Nyeupe ndio za baridi kama hamjui hilo,weupe wanavutia kwa muonekano wa nje tu ila ndani wamepoa mno.Za baridi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama hauna pesa endelea na wabuza wenzio waarabu hawatumii Tecno pop1
We jamaa hebu muache kijana ajipatie mwarabu wake safi 😂😂😂Wale waarabu koko, wanaongea kinyamwezi kinoma !! kwenye misiba ndiyo watangazaji na wasimamizi wa shuuli nzima. 😀 😀
wee nan nakudanganya?Za baridi
me nmepiga wote kasoro mzungu naona sawa tuInasemekana wanajoto sana
Hamia Nzega, kuna waarabu kibao wanaongea Kisukuma na Kinyamwezi ila wasipoongea wakiwa kimya hawana tofauti na wa DubaiHuko sijafika, nataka waliopo ukanda wa kwetu
Yaani nimecheka, kumbe machimbo ya waarabu wasiokuwa na zengwe mnayajua maana mie nilijibu aende Nzega kabla ya kusoma comments...nilichokutana nacho ni maelekezo yale yale ya kuelekea ukanda wa TaboraWale waarabu koko, wanaongea kinyamwezi kinoma !! kwenye misiba ndiyo watangazaji na wasimamizi wa shuuli nzima. 😀 😀
Kuwa wasipoongea hawana tofauti wa Dubai.Hamia Nzega, kuna waarabu kibao wanaongea Kisukuma na Kinyamwezi ila wasipoongea wakiwa kimya hawana tofauti na wa Dubai
Ukiingia Katavi watakuona matawi ya juu mkuu kama vile Wanyarwanda wanavyobabaikiwa na wabongo huku ukienda maeneo ya Karagwe na Ngara wanawanyanyapaa wanawake wa KinyarwandaKuwa wasipoongea hawana tofauti wa Dubai.
Mkuu nipo katavi ngoja nitafute mwenyeji wa sikonge nikatalii nislimu nijichukulie Arab lady mmoja
Nitawatembelea j3 jioniIlala Islamic nenda utachagua mpaka utadata pale
Bajeti yake ikoje?Una sh ngapi mzee, nikupe namba ya goma langu la Kariakoo, toto la kiarabu limenoga kinyaama.
Ukibahatika kanyooshe goti, ukishindwa pole.
Bajeti zake kutegemea NTU na NTU, sio kila NTUBajeti yake ikoje?