Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Hivi unamjua shamim vizuri kweli?Hapo lily ommy kaboronga Bora angeoa kifaa hicho Cha kwanza ndio ingekuwa poa.
shenzWeka Na Warembo Kama Anna Mwasyoke Na Jen John
No.Oookay, i admit my mistakes
kuna watu wanaianza pepo hapa hapa duniani😀😀Mguu wake sasa [emoji39][emoji39]
Hahahahah. Atulize Kinyeo au sio mkuu?Yeye mwenyewe kaweka halafu isitoshe ni celeb hebu tuliza kinyeo
Anaitwa Catherine MagigeNi mrembo aisee kuna moja pia nimesahau jina ana vipindi vyake kuhoji watu maarufu ila si wasanii hasa hasa wanasiasa( ila siyo mboni )
Alitoka Mlimani Tv akaenda TV 1 akaanzisha kipindi cha Mkabesa.Mramba katoka mlimani TV?
Hivi mlimani TV bado ipo?
Wivu!Kawaida sana mbona. Sema editing za picha zimewabeba
Shamim Mlacha ni mke wa Lil OmyNi bahati nzuri kwamba niliwahi kufanya kazi na hawa watoto wote wawili watoto watulivu sana hao na wote ni wake za watu na wana watoto kadhaa...Eliza ni mdada mpole msomi wa masters na Shamimu nae ni msomi wote wawili wamefanya kazi Mlimani Media wakati huo,Eliza alikuwa akifanya kipindi cha Afya,Shamimu alikuwa Mlimani Redio na akina Gervas et al ni watulivu sana hawa wadada na they're beautiful pia kichwani zimo. Safi sana wadada wa nguvu. Huyo Eliza ni mwandishi wa vitabu pia. Mnunue sio kumsifu tu.
Hawa hapa mkuu Nyakyusa brandWeka Na Warembo Kama Anna Mwasyoke Na Jen John
Embu tutue wasukuma huko, we own this nchi.Hivi unamjua shamim vizuri kweli?
Tatizo lenu wasukuma mkion rangi nyeupe mnachanganyikiwa
MwakalukwaJane John huyu hapa mkuu nimekuleteaView attachment 1464137
Huyo wa kwanza alikuwa Mlimani tv. Kifaa kweli kweli halafu kidogo kapanda hewani.
Mungu 👷 kwa weli
Weweeee Eliza hana mtumbo mtoto yuko slim.Sasa huyo wa kwanza hapo juu na mkitambi wote huo eti mrembo. Mfyuuuuuuuuu
Elizabeth mramba