Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

Mkuu, You are so Bright. I appreciate.

You are so Honest.

Mungu akubariki.
 
Matapeli hao wanaishi kwa kujiuza na kupora wanaume. Amekwama kwa mumakua🤣🤣🤣
 
Mwisho utokwe misuli ya shingo!!unadhani na wao wanavyosema Tanzania men are stupid ndio wataua utalii Zanzibar?aache ubabaifu wake...#Nigeriansarescammers
Nimekaa zanzibar tena kwenye industry ya Hospitality. Zanzibar wana madhambi mengine ila si hayo ya kuvamia wanawake hotelini.

Kwa mujibu wa story hiyo it is certain Huyo Zainab ni Tapeli sex worker wa huko nigeria aliyekuja kujaribu bahati yake Bongo🤣🤣
 
Ubakaji? Mkuu acha uongo. Wizi wa hapa na pale wakudokoa upo kama ulivyo maeneo.mengine lakini sio ubakaji.
 
Mkuu umemsoma vibaya kasema "ukabaji"not "ubakaji"
Hapo sawa. Ukabaji mbona hata hapo Dar na maeneo upo kwa vijana wahuni wa mitaani. Sio swala la kuichafua nchi kimataifa. Amefeli huyo Zainab wao.
 
Upuuzi tu, tuhuma za uhalifu wa ngono sio mpya Zanzibar.

Hao wenye hotel wanaona ni sawa wafanyakazi wao kufanya ngono na wageni?? Hakuna work ethics huko visiwani?
Ngoni haina mipaka na huwezi kumpangia mtu nani amle dyudyu.

Wageni wengi wanatoka huko kwao na stress wanataka kupoza moyo afrika kwa wanyamwezi wasio na stress wala future.🤣🤣
 
Analeta ukakasi Sana!
 
Watu kuonyesha matobo kwenye story yake sio kumuattack,wanaomoinga wanawasilisha maoni yao tu kama wanaomsapoti. Ni vigumu kuujua ukweli halisi wa hii saga bila uchunguzi wa kipolisi na hata kesi kuamuliwa mahakamani.
Kumuattack victim wont solve the problem.

Hii imekuwa tabia yetu wabongo wala siyo jambo la kwanza.,
 
Watu kuonyesha matobo kwenye story yake sio kumuattack,wanaomoinga wanawasilisha maoni yao tu kama wanaomsapoti. Ni vigumu kuujua ukweli halisi wa hii saga bila uchunguzi wa kipolisi na hata kesi kuamuliwa mahakamani.
Hilo suala la uchunguzi na kesi kuamuliwa mahakamani ndio kitu tunataka kusikia.
 
Haya wenye hotel wanazidi kupuyanga tu.

Wao wanadai hii picha ilipigwa before hiyo incident kutokea hotelini.

Na kwa madai yao eti huyo masai ndio huyo mwanaume waliyekuwa wamekubaliana. Kwa maana hiyo wanamaanisha huyo ndio alikuwa mlinzi kwenye hiyo hotel.

Na hapo wanasema huyo dame na huyo mlinzi walikuwa spotted early as kama wanavyoonekana pichani.

Tukija upande wa yule dada kwenye zile picha za polisi huyo masai hayupo.... Anaonekana mtu mwingine yule mwenye tishet ya blue ambaye inasemekana ndio mlinzi, kwa maelezo ya Zainab.



Bad enough baada ya hiyo hotel kuona wamepuyanga hiyo tweet wakaamua kuifuta.

Tena uzuri Zainab aliitolea hiyo picha maelezo asubuhi.

Hahah watu hawaoni kabisa hizi holes za wenye hotel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…