Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

Muandishi maoni yako yanajichanganya kama anavyo jichanganya Zainab na wanavyo jichanganya wenye Hotel.
Unapinga maoni ya kwamba suala la uhalifu lipo, kwa sababu bado uchunguzi hauja toa taarifa. Lakini kabla ya uchunguzi unatuaminisha kwamba Zainab ni tapeli? Hv Royal tour ndio kigezo muhimu cha majumuisho ya tuhuma za Zainab? HAPANA!

Tuhuma za Zainab zina uzito mkubwa, uzalendo pekee hapa ni kuihamasisha serikali kuzifanyia uchunguzi wa kina tuhuma hizi na kuja najibu lenye ukweli, kuliko sisi kupiga ramli kwa kigezo cha Royal tour.

Kwa upande mwingine tuhuma za uhalifu zipo katika nchi zote duniani, hasa kwa wageni (watalii) wanakuwa waathirika wakubwa. Mfano ni mimi mwenyewe, mwaka 2018 niliibiwa vitu vyangu hotelini znz. Na mazingira ya wizi yanaonyesha wazi wenye hoteli ndio walihusika na wizi huo. Wakati wakuandikisha maelezo kituo cha polisi palikuwa na wageni wengine wenye malalamiko sawa na ya kwangu. Lakini nilichogundua ni kwamba waharibifu wa kwanza wa uzalendo ni wenye dhamana (polisi) wanachojali ni maslahi binafsi kuliko athari zinazoipata nchi kwa matendo yao. Ni stori ndefu, lakini kwa ufupi ni kwamba sikuwa na jinsi zaidi ya kushirikisha ubalozi wa nchi ninayoishi baada ya kukosa hata barua ya polisi ili bima iweze kunirudishia vile nilivyo poteza kwa kuibiwa. Na hapa ndio nilipo ona uzalendo wa kweli kwa wenzetu kwa maslahi ya nchi zao.

Sina lengo la kumtetea Zainab, polisi ama wenye hoteli. Jibu sahihi litatokana na uchunguzi wa kina kama serikali ilivyo ahidi. Kwa sababu matukio ya uhalifu yapo znz kama ilivyo kwa nchi nyingi duniani. Uzalendo nikuhamasisha serikali ifanye uchunguzi wa haki, na kila mwenye haki apewe haki yake. Kuhusisha Royal tour na tuhuma za Zainab kwa maoni binafsi bila ya uchunguzi wa vyombo husika sio uzalendo.
Mkuu, You are so Bright. I appreciate.

You are so Honest.

Mungu akubariki.
 
Kwa ufupi ni kuwa yule dada wa kinigeria alimpenda mlinzi wa kimakua na akaona haiwezekani kulala mwenyewe ila baadae akamgeuka, na walifikishana mpaka kwa mkuu wa wilaya ili kusuluhisha.

Lakini yuke binti wa kiniger akagoma mpaka alipwe kitita cha US dollar 10,000 takribani 23.5mil ili kulimaliza.

But Warere Owner walipokataa kumpa kiasi hicho akaondoka kwa jazba na kuahidi ataichafua na kuiharibia hoteli kupitia mitandaoni na waniger wenzake.

Kama kinapanda soma hapo chini👇🏾;
View attachment 2190611
Matapeli hao wanaishi kwa kujiuza na kupora wanaume. Amekwama kwa mumakua🤣🤣🤣
 
Mwisho utokwe misuli ya shingo!!unadhani na wao wanavyosema Tanzania men are stupid ndio wataua utalii Zanzibar?aache ubabaifu wake...#Nigeriansarescammers
Nimekaa zanzibar tena kwenye industry ya Hospitality. Zanzibar wana madhambi mengine ila si hayo ya kuvamia wanawake hotelini.

Kwa mujibu wa story hiyo it is certain Huyo Zainab ni Tapeli sex worker wa huko nigeria aliyekuja kujaribu bahati yake Bongo🤣🤣
 
Mkuu nchi yetu ina matatizo mengi sana, NA Polisi kwa kweli wanachangia sana hayo matatizo, Binafsi nimeshuhudia mengi Zanzibar kwenye maeneo ya utalii yanayowakuta watalii kama Ukabaji, uchomoaji, utapeli.

Lakini huyu dada anatia shaka sana, Wa Nigeria ni watu wa matukio, Kesi kama hizo wameshafanya maeneo mengi sana.
Ubakaji? Mkuu acha uongo. Wizi wa hapa na pale wakudokoa upo kama ulivyo maeneo.mengine lakini sio ubakaji.
 
Upuuzi tu, tuhuma za uhalifu wa ngono sio mpya Zanzibar.

Hao wenye hotel wanaona ni sawa wafanyakazi wao kufanya ngono na wageni?? Hakuna work ethics huko visiwani?
Ngoni haina mipaka na huwezi kumpangia mtu nani amle dyudyu.

Wageni wengi wanatoka huko kwao na stress wanataka kupoza moyo afrika kwa wanyamwezi wasio na stress wala future.🤣🤣
 
Nimekaa zanzibar tena kwenye industry ya Hospitality. Zanzibar wana madhambi mengine ila si hayo ya kuvamia wanawake hotelini.

Kwa mujibu wa story hiyo it is certain Huyo Zainab ni Tapeli sex worker wa huko nigeria aliyekuja kujaribu bahati yake Bongo🤣🤣
Analeta ukakasi Sana!
 
Watu kuonyesha matobo kwenye story yake sio kumuattack,wanaomoinga wanawasilisha maoni yao tu kama wanaomsapoti. Ni vigumu kuujua ukweli halisi wa hii saga bila uchunguzi wa kipolisi na hata kesi kuamuliwa mahakamani.
Kumuattack victim wont solve the problem.

Hii imekuwa tabia yetu wabongo wala siyo jambo la kwanza.,
 
Watu kuonyesha matobo kwenye story yake sio kumuattack,wanaomoinga wanawasilisha maoni yao tu kama wanaomsapoti. Ni vigumu kuujua ukweli halisi wa hii saga bila uchunguzi wa kipolisi na hata kesi kuamuliwa mahakamani.
Hilo suala la uchunguzi na kesi kuamuliwa mahakamani ndio kitu tunataka kusikia.
 
Haya wenye hotel wanazidi kupuyanga tu.

Wao wanadai hii picha ilipigwa before hiyo incident kutokea hotelini.

Na kwa madai yao eti huyo masai ndio huyo mwanaume waliyekuwa wamekubaliana. Kwa maana hiyo wanamaanisha huyo ndio alikuwa mlinzi kwenye hiyo hotel.

Na hapo wanasema huyo dame na huyo mlinzi walikuwa spotted early as kama wanavyoonekana pichani.

Tukija upande wa yule dada kwenye zile picha za polisi huyo masai hayupo.... Anaonekana mtu mwingine yule mwenye tishet ya blue ambaye inasemekana ndio mlinzi, kwa maelezo ya Zainab.

20220418_195007.jpg


Bad enough baada ya hiyo hotel kuona wamepuyanga hiyo tweet wakaamua kuifuta.

Tena uzuri Zainab aliitolea hiyo picha maelezo asubuhi.

Hahah watu hawaoni kabisa hizi holes za wenye hotel.
 
Back
Top Bottom