Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

Eti alisikia anashikwa shikwa maziwa akidhani anaota. Au alikuwa kalewa chakali pombe zimemjaa anaota.

Mazingira ya hitel ni ngumu sana ku attemp rape.
Highly secured environment.
Surely.
Pamoja na wamiliki kutotoa evidence ila nahisi wanasubiri wana jambo lao ambo siyo lazima waweke mtandaoni.

But i believe this script was arranged in the high carefully.
 
Matapeli hao wanaishi kwa kujiuza na kupora wanaume. Amekwama kwa mumakua🤣🤣🤣
Kama warere hatakua na evidence za maana even footage basi wanapigwa very soon.

Waniger wana ushirikiano siyo kama wabongo, binti karudi kwao kakaa nadau wenzake wametengeneza kila kila mpaka mtu aliyemfanyia cancelling, na wamechagua muda mzuri, yaani mnazindua sinema yenu na wao wakapiga.

Ahahahaaa...
 
Wenye hotel hawawezi kuwa na Utetezi wa msingi.....
Usitarajie hilo sababu hawakuwepo wakati wa makubaliano.
Na inawezekana huyo mlinzi hayupo tena eneo la tukio.
Holes tunazoziona sisi ni kuwa binti ni kama alimuita mlinzi, hatuhitaji utetezi wa Hotel wala hatuna shida nao.
Hahah sasa tunajadili nini hapa kama tunahukumu kwa one side story?
 
Wenye Hotel hawana akaunti twitter, umelishwa matangopori.
Yes hawajawahi kuwa na akaunti twitter.

Wameliclarify kwamba wameopen kwa ajili ya hii ishu. Ndo maana account imekuwa opened mwezi huu huu nadhani ni jana au leo.,
 
Ukisoma allegations za Zainabu unaona kabisa ni za Mchongo.

Eti alisikia Mtu anampapasa maziwa akidhani ni ndoto[emoji1787][emoji1787]
Hivi kuna mwanaume anaweza kufanya hivyo kwenye hotel? Au nyie mnazungumzia hotel kama hivyo vichochoro vyenu vya kwenye Short Time vy elfu tano huko Madongo kuporomoka.

Hotel industry ni Mahali palipostaarabika sana.
Ila utetezi wa Hotel wanaomkataa mlinzi wao ndio uko sawa/?
 
Na kwa kuwa wanajua Hotel ingeogopa kuchafuliwa so walidhani ni rahisi watalipwa.

Kwa uchumi huu amekwama na hotel itaendelea na kazi zake.
Kwa akili mgando kama hizi ndio mnaamini hotel itaendelea na shighuli zake kama kawaida.

Mtalii gani anakuja kwenye Hotel ya Single Star?

Kufanya nini?
 
Kiingereza ni kigumu kidogo. Mlinzi alifikishwa polisi. Baada ya yeye kusema kuwa alikaribishwa na Zainabu, Zainabu alishauriwa amshitaki yeye, kampuni iliyomwajiri na hata hoteli yenyewe. Zainabu alikataa kufanya hivyo kutokana na ushauri wa mawakili wake. Yeye akasema alipwe fidia ya dola 10000, lakini hoteli ikamwambia kuwa hawawezi kumlipa bila Mahakama kumkuta mlinzi ana hatia. Hoteli isingeweza kumshitaki mlinzi kwa sababu wao sio injured party. Na wangemshitaki halafu akathibitisha kuwa kweli Zainabu alimkaribisha, angeweza kuishtaki hoteli kwa kumharibia jina. Kitu kingine ni hofu ya kuset precedence. Watu wakijua kuwa hoteli iko tayari kutoa pesa ili kuepuka kuchafuliwa wengine wangemuiga Zainabu. Na itathibitisha kuwa huo ndio mchezo wa hiyo hoteli.

Inawezekana kuwa yalimpata kweli Zainabu lakini kukataa kwake kwenda mahakamani kumemharibia. Na hata kama ni PTSD, kukaa mwaka mzima kabla ya kuweka wazi yaliyomkuta yanafanya asionekane mwaminifu. Kingine ni simulizi zake kuhusu kunuka kwa jamaa, kumuita "baby", kukubali kwenda kuchukua kondom, kota kunanukia kutia chumvi.

Zainabu hapo mwanzo hakuzungumzia msaada na ushirikiano alioupata kutoka kwa wanasheria wa kizanzibari bali alikazania kuwa si hoteli wala polisi walimsaidia! Hii ni kujenga hoja kuwa wazanzibari ni watu ovyo sana.

Zainabu angeaminiwa zaidi kama angetumia huo mwaka aliokaa kimya kukusanya ushahidi kuwa kile kitendo hakikuwa isolated na kuna wengine yaliwakuta hayo hayo. Wengi wetu hatuna imani na polisi wetu na tunajua kuna watu waovu ambao wako tayari kuwatenda vibaya wanawake waliokuwa peke yao. Ila kwenye hili, Zainabu kawaangusha wenzake. Bahati mbaya kwake tunajua pia kuwa kuna wanawake ambao wanatembea na wafanyakazi wa hotelini, beach boys n.k. Kuna wanaume pia wanaofanya hivyo hivyo.

Amandla...
Mbona mnarahisisha sana mambo.

Hizo cost za yeye Zainab kukaa Zanzibar wakati kesi inaendelea angezilipa nani?

Waliosuggest hiyo ishu ya hela ni wale Lawyers ambao ni Wazanzibari ni kwanini msiwafate mkawauliza?
 
Eti alisikia anashikwa shikwa maziwa akidhani anaota. Au alikuwa kalewa chakali pombe zimemjaa anaota.

Mazingira ya hitel ni ngumu sana ku attemp rape.

Highly secured environment.
Highly secured Hotel ya 4 star haina hata CCTV?

Upumbavu huu.
 
Surely.
Pamoja na wamiliki kutotoa evidence ila nahisi wanasubiri wana jambo lao ambo siyo lazima waweke mtandaoni.

But i believe this script was arranged in the high carefully.
Wamiliki wameshatoa evidence zao nazo zimejaa Holes kibao.

Uko nyuma sana.,
 
Mbona mnarahisisha sana mambo.

Hizo cost za yeye Zainab kukaa Zanzibar wakati kesi inaendelea angezilipa nani?

Waliosuggest hiyo ishu ya hela ni wale Lawyers ambao ni Wazanzibari ni kwanini msiwafate mkawauliza?
Tangu umejiunga JF umewafuata wangapi?

Kwani ilikuwa ni lazima akae Zanzibar wakati wote ambapo kesi yake inasikilizwa?
Mawakili siku zote wanatakiwa kuangalia maslahi ya mteja wao ambae ni kweli ingekuwa rahisi kwake kuchukua pesa na kuondoka na wao kupata kifuta jasho. Lakini bila shaka hata wenye hoteli walifuata ushauri wa wanasheria wao ambao waliangalia ushahidi na kuwashauri wakatae kulipa. Wazungu wanaita "ku call the bluff".

Mimi sielewi kwa nini Zainabu aliachana na kesi alipokataliwa mshiko? Si angeacha polisi waendelee bila yeye kuwepo? Kwa nini alisusa? Kuendelea na kesi kusingekuwa na gharama yeyote kwake zaidi ya kuja kutoa ushahidi. Hata huo angeweza kuomba kuutoa akiwa kwao!

Zainabu amejiharibia.

Amandla...
 
Wewe unataka justice, yeye anataka hela.. Sasa tumsikilize nani?


Na
Hata kama angepewa hela bado angeendelea kuwa blackmail, Nina Shaka huenda ni extortionists. Huyo Alex ni nani kuna watu wamemfuatilia closely!?

Zanzibar Kwa ajabu mbongo uwe na cheti cha ndoa kulala hotel na mwanamke, mzungu akhaa hawadai cheti cha ndoa.
 
Kwa maoni yangu mimi mpaka sasa huyo zainab ndio many makosa mengi sana sababu alitakiwa kusmamia haki yake mpk itakapopatikana na sio kususa na kuondoka hlf ipite kipindi aanze kuchafua biashara ya mtu kwa kosa lake mwenyewe angekua alismamiaw haki yake mpk mwisho hlf haikupatikana na ushahidi upo angeeleweka na hii inapelekea yy na nchi yao ikiwezekana wapigwe ban au walipe kwa kuchafua biashara ya mtu kwa upumbavu wake mwnyw.

Tukija kwny sakata lake mlinzi ana kosa lake lakini pia mlinzi vile vile ni mwanadamu na anamatamanio na wote tu naelewa unaposhawishiwa na kiumbe cha kike ni wachache wanao faulu wengi tunafeli... Na kwa ubinadamu wake wa tamaa na kushawishika ndo akageuziwa kibao na kuonekana amekosea na mpaka bibie kudemand alipwe na kesi isisikilizwe alijua atafeli na mlinzi atashinda sababu ushahidi wake pia wakuunga unga haueleweki... Akidai mlinzi hakuelewa kizungu na yy haelewi kiswahili lkn alipoambiwa na mlinzi kuwa natoka nitarudi ajabu alimuelewa!
Kingine nani alimpa mlinzi funguo au card ya kuingilia room? Tunajua hotel kubwa kuwa ukishafunga mlango hamna anaeweza kuingia unless awe na master key! Mbakaji alipata wapi funguo? Au alivunja mlango au dirisha? Ni maswali ya kujiuliza.
 
Kwa akili mgando kama hizi ndio mnaamini hotel itaendelea na shighuli zake kama kawaida.

Mtalii gani anakuja kwenye Hotel ya Single Star?

Kufanya nini?
Kwani hao waliokuja ilikuwa ni five star?
 
Back
Top Bottom