Mkuu kama umesoma walichosema hotel owner, kuna sehemu walimshauri huyo binti akaishitaki kampuni ya huyo mlinzi au hotel, binti kagoma.Upuuzi tu, tuhuma za uhalifu wa ngono sio mpya Zanzibar.
Hao wenye hotel wanaona ni sawa wafanyakazi wao kufanya ngono na wageni?? Hakuna work ethics huko visiwani?
Matapeli sana wanaijeriaNi rahisi tu....huyu Danga....
Ajali ilimtokea kazini.
They are taking advantage of Tanzanians who are inferior.
I guarantee you... if she was a Tanzanian complaining on any Kenyan or South African hotel. w
We wouldn't have all this drama.....
Fellow Tanzanians would be the once insulting and naming her....
😂😂😂utamu haujawahi kumuacha mla kimasihara salama
Alikuwa anatafuta pesa za kwenda kupaua nyumba yao uko kwao Nigeria!Hapo sawa. Nilitaka hilo.
Alivyokomaa tu utajua anatumiwa na wabaya wa hiyo hoteli au wabaya wa Zanzibar
Tamko hayo unayosema wewe huna uhakika nayo Serikali imetoa tamko kaa kimya subiria uchunguzi usibaki unahisi hisi kitu wakati hakuna hata mmoja humu alikuwa kwenye tukioKwa ufupi ni kuwa yule dada wa kinigeria alimpenda mlinzi wa kimakua na akaona haiwezekani kulala mwenyewe ila baadae akamgeuka, na walifikishana mpaka kwa mkuu wa wilaya ili kusuluhisha.
Lakini yuke binti wa kiniger akagoma mpaka alipwe kitita cha US dollar 10,000 takribani 23.5mil ili kulimaliza.
But Warere Owner walipokataa kumpa kiasi hicho akaondoka kwa jazba na kuhaidi ataichafua na kuiharibia hoteli kupitia mitandaoni na waniger wenzake.
Kama kinapanda soma hapo chini[emoji1484];
View attachment 2190611
CCTV camera footage pls,hao wanaija ni matapeli tu,alitaka kutengeneza pesa kirahisi,amekutana na bongo landers,Kwa ufupi ni kuwa yule dada wa kinigeria alimpenda mlinzi wa kimakua na akaona haiwezekani kulala mwenyewe ila baadae akamgeuka, na walifikishana mpaka kwa mkuu wa wilaya ili kusuluhisha.
Lakini yuke binti wa kiniger akagoma mpaka alipwe kitita cha US dollar 10,000 takribani 23.5mil ili kulimaliza.
But Warere Owner walipokataa kumpa kiasi hicho akaondoka kwa jazba na kuhaidi ataichafua na kuiharibia hoteli kupitia mitandaoni na waniger wenzake.
Kama kinapanda soma hapo chini👇🏾;
View attachment 2190611
Ni rahisi tu....huyu Danga....
Ajali ilimtokea kazini.
They are taking advantage of Tanzanians who are inferior.
I guarantee you... if she was a Tanzanian complaining on any Kenyan or South African hotel. w
We wouldn't have all this drama.....
Fellow Tanzanians would be the once insulting and naming her....
Na hapa ndipo ile script ya huyu tapeli ilipoingia mchangaKwanini mhudumu alifuata Condom na wote wanakubaliana katika hili?.
Na mbakwaji akapata muda wa kupiga picha na kuangalia nani yupo reception na nextdoor...huku akimsubiria mbakaji aliyemshauri akachukue Condom.Eti mbakaji akatoka kwenda nje kutafuta condom. This stupid lady ana PhD ya uongo
Kuto kuruhusu haimaanishi haiwezi kufanyika. By the way huyo sio mwajiriwa wa Hotel ni mwajiriwa wa Security company ambayo imepewa tenda na hyo hotel.Kama mahala pa kazi kuna sera ya maadili ya kazi basi jambo hilo linapaswa kuwa mwiko. Kuruhusu tabia za hovyohivyo pahala pa kazi basi matokeo yake ndio hayo sasa, ujinga wa mfanyakazi wako mmoja unaichafua biashara yako yote.