YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Kaangalie pesa zinazotumwa na wakenya walioko mataifa mbali mbali Kenya linganisha na za watanzaniaUnaumwa wewe kenya kuna matajiri kuliko bongo? Taarifa zako haziko sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaangalie pesa zinazotumwa na wakenya walioko mataifa mbali mbali Kenya linganisha na za watanzaniaUnaumwa wewe kenya kuna matajiri kuliko bongo? Taarifa zako haziko sawa
Wapumbavu ni sisi.Unadhani Dunia nzima ni wapumbavu?
Its sad hii comment inatoka kwa mdada.Mlinzi Ni victim wa kukosa ethics!lakini hii kitu ulikuwa planed na am sure mlinzi hakumtongoza huyo dada,akipata wapi guts za kutuingiza binti Kama huyo?huyo dada kajilengesha then kageuza kibao.... Nigerians wametuzidi speed wabongo,kaeni hapo kumtetea huyo dada!Hamna mbakwaji pale slay queen mzima akipata wapi muda wa kutongozana na mlinzi
Kaangalie ni nchi gan kwa africa inaongoza kutuma ela kenya?Kaangalie pesa zinazotumwa na wakenya walioko mataifa mbali mbali Kenya linganisha na za watanzania
Kuna mawili unatafuta attention ya watu.Wapumbavu ni sisi.
Yaani wenye mamlaka ya kulisafisha hili likakaa sawa wamekaa wametulia as if nothing happen.
Halafu wapuuzi wanapita mtandaoni wanaandika Zanzibar is safe.
Hivi unadhani kuna mtu mwenye akili timamu atakuja Zanzibar kwa jinsi hiyo ishu ilivyokuwa handled?
Ni mpumbavu tu ndo ataona hiyo ishu haina impact.
Mbona Joanah yuko sahihi kabisa.Its sad hii comment inatoka kwa mdada.
Nimchukie mwenye hotel ili nipate nini?Kuna mawili unatafuta attention ya watu.
Au unachuki na wamiliki wa hotel, maana tangia jana watu wanakupa hoja, hutaki kuzipokea.
Wanigeria walioko nje ya Nigeria 2021 walipeleka hela nigeria kwao dola bilioni 14
Wakenya walioko nje ya kenya 2021 walipeleka hela kenya kwao dola milioni 3,718
Watanzania walioko nje ya Tanzania 2021 walipeleka hela Tanzania kwao dola milioni 500
Unaona mziki wa wa Nigeria hapo?
watu waliotakiwa kulijenga taifa lao wamekimbia nje ya nchi does sound good to you? remittance sio fid !! (Sio mitaji inayoingia kujenga nchi ni pesa ya mbogamboga myb ada ila sio mitajiKaangalie pesa zinazotumwa na wakenya walioko mataifa mbali mbali Kenya linganisha na za watanzania
watu waliotakiwa kulijenga taifa lao wamekimbia nje ya nchi does sound good to you? remittance sio fid !!
Watakuja wageni wengine wataricomend na itapandaNimchukie mwenye hotel ili nipate nini?
Mwenye hotel mwenyewe alitoa taarifa zake na kufuta mara ngapi?
Ukiacha hilo alikuwa amefunga watu wasicomment. Hili hamkuliona kama ni redflag?
Haya akaja na utetezi kwamba mlinzi hakuwa wa ile hotel. Utetezi wa kipumbavu kuwahi kuuona.
Mnaona holes tu kwa huyo dada ila holes kwa mwenye hotel hamzioni.
Haya hotel yake ina Singe star now. Nadhani atakuwa amefurahi huko aliko.
bila shaka wewe ni mlaji wa tunda kimasikhara yakhe... au sio ami?Kapicha ka Zainabu basi
Wako lakini Nigeria inafaidi kwa kuwapo kwao raia wao Diaspora nje ya nchiwatu waliotakiwa kulijenga taifa lao wamekimbia nje ya nchi does sound good to you? remittance sio fid !! (Sio mitaji inayoingia kujenga nchi ni pesa ya mbogamboga myb ada ila sio mitaji
Hawa waliopo ndani wamejenga nchi gani ? Mbona Tanzania hadi leo iko kundi la nchi maskini?watu waliotakiwa kulijenga taifa lao wamekimbia nje ya nchi does sound good to you? remittance sio fid !! (Sio mitaji inayoingia kujenga nchi ni pesa ya mbogamboga myb ada ila sio mitaji
Haka Ni katapeli tu...katoto la miaka 23 kanazuruzura peke yake kanatafuta Nini?wanaigeria wanajulikana kwa mbinu zao
NEVER TRUST NIGERIANS AND FUCKING RUSSIANS
Hivi watu 10 wakirecommend 1 star unajua unahitaji watu wangapi ili tu hata isogee 3 star.Watakuja wageni wengine wataricomend na itapanda
Umegoma😂23 nakataa labda 32 sio kwa sura ile kakomaa kichiz