othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Mabomba yaliunganishwa kipindi cha mwenda kuzimu huku makonda akisimamia miradi hiyo, usijitoe ufahamuBora hata yule!
Siku hizi unaona hata watu wanajiunganishia tu mabomba ya mafuta na wanaachwa wanapeta tu
Ujinga unaweza kuwa nao wewe mzee,,, unaona kiongozi kuhusika direct kwenye data collection ni batili?!!!Acha ujinga na ungwini! Kiongozi hawezi kudodosa maana huo muda hana. Au unataka akae pahala ili aanze kusample scientifically wananchi etc kwa vyoyote vile hiyo itakuwa ni biased study. Hukunielewa kijana
Alipenda sana siasa za hila na ulaghai.Sehemu ya andiko lako siyo sahihi.
Alipenda sana kusikiliza maswali ya bandia yaliyopandikizwa ili ayajibu na kujizolea sifa za kuwa kiongozi wa wanyonge.
Wakati wake walitekeleza sana hiyo dhana. Rais alitenga siku 1 kwa kila mwezi ya kusikiliza matatizo ya wananchi.KA muuulizeni, yeye alipokiwa wazirii mkuu alikuwa anatekereza hicho anachokiongea???
Na kichwani bado yuko sharp sana huwezi amini.Huyu babu ni hazina kubwa sn ya taifa anaongea point tupu haangalii chama tawala wala upinzani yeye ananyoosha katikati
Anatema madini sn hadi raha, sema kipindi hakina mtangazaji mzuri wa kuuliza maswali kama Aloyce NyandaNa kichwani bado yuko sharp sana huwezi amini.
Mzee anajua Hadi anapitilizaaaNa kichwani bado yuko sharp sana huwezi amini.
Na kusifiwaTulishawahi kuwa na kiongozi asiyependa kusikiliza,alipenda kusikilizwa tu na maswali kwake yalikua ni mwiko.
Mikutano ya viongozi wanatambulishana mpaka muda wa kuongelea kero za wananchi unaisha.Mshua kasema kweli.
Nasubiri kusikia ccm wakitoa tamko na kumuita mzee mwizi au apeleke malalamiko yake kwenye vikaoMzee Warioba.
Sema baba, hata kama watajitokeza akina Bashite wengine watakaopandia ngazi kwa kukunyanyasa wewe, sauti ya wananchi iliyobaki sasa.
Huyo aliyeandika kuuliza utendaji wa Warioba labda kazaliwa 2000!Namtetea huyu Mzee, hicho alichosema ndicho alikuwa anafanya akiwa PM, na wengi walimpenda sana kwa approach yake hiyo, narudiakusema hapa
Namkumbuka Warioba, alifanya hivyo mwaka 1988 majira ya joto na mvua alipotembelea wilaya ya Njombe, alikaa jukwaani akawaita wananchi wote wenye kero wajitokeze awasikilize, asilimia kubwa ya kero alizimalizia hapohapo, chache aliondoka nazo kwenda kwa Rais Mwinyi Senio
Unaonekana mkongwe ila all in all huyu mzee na butiku ndio wazee waliobakiNamtetea huyu Mzee, hicho alichosema ndicho alikuwa anafanya akiwa PM, na wengi walimpenda sana kwa approach yake hiyo, narudiakusema hapa
Namkumbuka Warioba, alifanya hivyo mwaka 1988 majira ya joto na mvua alipotembelea wilaya ya Njombe, alikaa jukwaani akawaita wananchi wote wenye kero wajitokeze awasikilize, asilimia kubwa ya kero alizimalizia hapohapo, chache aliondoka nazo kwenda kwa Rais Mwinyi Senio
Ujinga unaweza kuwa nao wewe mzee,,, unaona kiongozi kuhusika direct kwenye data collection ni batili?!!!
Akilishwa matango pori itakuwaje?
Kwanza toa hiyo lugha yako ya ulikolelewa ndio uje tujadili hapa!Mabomba yaliunganishwa kipindi cha mwenda kuzimu huku makonda akisimamia miradi hiyo, usijitoe ufahamu
Nachukia sana hicho kitu, sana tu. Hata Bungeni huu ugonjwa umeshatamalaki.Mikutano ya viongozi wanatambulishana mpaka muda wa kuongelea kero za wananchi unaisha.
Na kila anayesimama kutambulishwa anapewa Maiki kusifia
Unabisha nini wewe leo hii unataka kijifanya ukumbuki matusi ya KICHAA kwa wananchi.Acha ujinga na ungwini! Kiongozi hawezi kudodosa maana huo muda hana. Au unataka akae pahala ili aanze kusample scientifically wananchi etc kwa vyoyote vile hiyo itakuwa ni biased study. Hukunielewa kijana