Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Jamani na nyie wanaume mna mioyo ya ajabu, Sasa warumi mie na umbea wote huu kutwa kusutana kucha humu , bado mtu anakuja inbox ananiambia ananizimikiaš¤£š¤£, nyie ndo mnawabaka hadi vichaa mnawapa mimbaš¤£š¤£.
Haya mwanazengo ahsante kwa kunipenda, Ila najua tu we unapenda umbea wangu wala hunipendi mimi š¤£View attachment 1085676
We acha tu ndio Mana sijawahi kutongoza humu. Kwanza namtongozaje mtu ambae sijawahi kumuona. Yaani unaimgine mtu alivo kuptia avatar[emoji39]
Wasukuma wajanja huon wanavyo watesaHuyo atakuwa msukuma.
Na rules za humu haziruhus kuexpose pm na mtuPm's ziwakuwaje exposed?..kila aliyetongozwa humu JF akiweka screenshot patatosha kweli humu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huyo atakuwa msukuma.
Nadhani servers zita stuck ..mwezi mzimaPm's ziwakuwaje exposed?..kila aliyetongozwa humu JF akiweka screenshot patatosha kweli humu
Ni kosa la jinai mambo ya PM kuyaweka public, hii ni moja ya kanuni za jamii forum, ndugu unakwama wapi lkn?Jamani na nyie wanaume mna mioyo ya ajabu, Sasa warumi mie na umbea wote huu kutwa kusutana kucha humu , bado mtu anakuja inbox ananiambia ananizimikia[emoji1787][emoji1787], nyie ndo mnawabaka hadi vichaa mnawapa mimba[emoji1787][emoji1787].
Haya mwanazengo ahsante kwa kunipenda, Ila najua tu we unapenda umbea wangu wala hunipendi mimi [emoji1787]View attachment 1085676