Tetesi: Warumi nafukutwa na umbea leo

Sigara kali umerudi na kali ya kumalizia mwezi wa pili......
Funk kaenda tia mimba malaya yule duuh
 
Hatari sana, yani imekuwa je hawa msstar walioshindikana kitabia kuzaa au mimba ziligoma kutoka?
Hafu huyo tunda si alikuwa anatoka na Whozu na Whozu si rafiki na vunjabei?
Hakuna urafiki kati ya tajiri na mpambanaji whozu atakua ana play role ya chawa kwa huo urafiki 😁
 
Uchawi pesa
 
Very senior jf member anapochangia nyuzi za Malaya kina warumi inaumiza Sana.
 
Huwez ukalalamika huna boyfrien bila kudondosha nambar yako ya simu.
 

Binamu nimeku PM, unaweza jongea upande wa pili tafadhali.
 
Wadada wa mjini wameamua kuzaa labda watatulia kidogo! Ila ile baby shower ya Amberlulu mbona amechangamka sana anakata mauno hadi watu wanasema hivo viuno mwishowe mtoto achomoke atoke huko tumboni kabla[emoji3][emoji3]
Huyu akienda labour atafyatua chap chap, ila I think atachagua operation tu huyo maana huko kwa mpalange loh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…