Warumi (RIP) nimekumiss mwenzio

Warumi (RIP) nimekumiss mwenzio

Kabla ya kuishia hapo sio mbaya kama ungesema ni wanaume wepi waliokubali kuingizana. Vinginevyo niseme tuu comment yako inakosa maana kwenye huu uzi
Upo sahihi kijinsi maana kwa upande wenu hili suala hamlioni kama jinsi isiyoyako inavyoliona. Niishie hapo maana huu uzi ni wa kusifia tu.
 
Kila mtu unique na Warumi alikua wa aina yake.
1.Uwezo mkubwa wa kuchambua mambo
2.Msimamo katika alichokiamini
3.Alikua na uwezo mkubwa wa kuona ubora kwenye watu/vitu bora
4.Pia alikua na uwezo wa kuona ubora kwenye watu/vitu visivyo bora
5.Alikua na uwezo mkubwa wa ushawishi
6.Alikua msema ukweli, hata ule ukweli unaouma
7.Alikua hodari wa kulumbana kwa hoja zenye mashiko
8.Kila neno aliloliongea hata liwe na ukakasi lilikua na thamani kwenye content yake
9.Alikua mtu wa watu, nna uhakika sio hapa jukwaani tuu ila hata nje ya jukwaa
10.Naweza kusema alikua na akili nyingi sana, akili za kizaliwa

Warumi alikua mmoja kati ya members mahiri sana kwangu hapa jf
ina maana warumi amefariki ? heeeee lini tena jamani mbona hawakuweka tanzia hapa? au mm sikuwepo
 
Sikatai kufa mkuu maana hakuna namna , ila pia sioni mantiki ya kuzaliwa na kupambana na tabu za dunia,

Kwa hiyo ulitaka uendelee kuwa 'bao' uwe unapiga tu mbizi kwenye korodani? 😄
 
Tanzia ilikuwepo ya muda tu, na kuna watu hadi nadhani walienda kuzika Mbeya ,
aiseee yaani kaniliza huyu warumi maana ametangulia mapema hivyo daaa ila duniani tu wasafiri
 
Mi celebrities siku hizi napaskia kuumia sana.
Last two days kidogo niandike hivi hivi.

We miss you warumi
Na ulisema "hapatatokea mwingine wa aina yangu hili jukwaa"
Kweli aiseeeh.
Tumesalimu amri.
Umetuweza mb....a wewe.
Mxxxiiew( hii fyonza yako kila nikiiandika popote siachi kukumiss)
Pumzika salama rafiki.
Ahsante kwa wakati mzuri ulioshare nasi.

Sema nini, itakuwa una maumbea kibao ya huko ya kina Ngwea sijui Masongange ila tu ndo huwezi kutumegea.
Until we meet again Lil bro!!
Forever in my heart we nyau!!
 
Mi celebrities siku hizi napaskia kuumia sana.
Last two days kidogo niandike hivi hivi.

We miss you warumi
Na ulisema "hapatatokea mwingine wa aina yangu hili jukwaa"
Kweli aiseeeh.
Tumesalimu amri.
Umetuweza mb....a wewe.
Mxxxiiew( hii fyonza yako kila nikiiandika popote siachi kukumiss)
Pumzika salama rafiki.
Ahsante kwa wakati mzuri ulioshare nasi.

Sema nini, itakuwa una maumbea kibao ya huko ya kina Ngwea sijui Masongange ila tu ndo huwezi kutumegea.
Until we meet again Lil bro!!
Forever in my heart we nyau!!
bestito ssasa mbona mwishoni unamaliza na neno hilo jamani "WE NYAU" tena
 
Mi celebrities siku hizi napaskia kuumia sana.
Last two days kidogo niandike hivi hivi.

We miss you warumi
Na ulisema "hapatatokea mwingine wa aina yangu hili jukwaa"
Kweli aiseeeh.
Tumesalimu amri.
Umetuweza mb....a wewe.
Mxxxiiew( hii fyonza yako kila nikiiandika popote siachi kukumiss)
Pumzika salama rafiki.
Ahsante kwa wakati mzuri ulioshare nasi.

Sema nini, itakuwa una maumbea kibao ya huko ya kina Ngwea sijui Masongange ila tu ndo huwezi kutumegea.
Until we meet again Lil bro!!
Forever in my heart we nyau!!
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] kwa kweli.
 
Nime mmic binamu warumi had nachizika, alikua kila kitu kwangu, nikiitazama no yake nataman kupiga labda atapokea, picha zake nikitazana nahis ndoto, nalia ev time, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Jamaa kumbe Alishafariki!!

Aisee!!,

Hakuna haijuaye kesho yake.

R.i.P warumi.
 
Back
Top Bottom