🤣🤣🤣🤣 hivi yake ma SU 3000 mara S4000 yako wapi yameshindwa kudungua hata kinguruWe siku ukirudi funguka tu uwaambie kwamba yule jamaa tuliyemdhania na kumwona kama ndo super pawa kumbe sio. Kawa mdebwedo kabisa. Usiogope kuwaambia hilo.
Achana ni jinga hilo... hata shuleni tulikuwa na watu wa aina yake wao wao tu mwingine hajui au hafai...Pengine tukuulize,wewe unapotoa maoni yako hapa huwa unalazimisha watu wafuate mkondo?
Kwamba hayo majimbo sio , America ?Mbona hamsemi Merikani kutema: Texas, jimbo la Calfornia, Lousiana,Hawaii, Diego Garcia,Guam na Pourto Rico!!!!
Kuna wakati unakuwa illogical sana, kwa hiyo kama USA alifanya uhalifu wa namna hiyo kwa sasa ni zamu ya Mrusi naye kufanya ujinga vile? Urusi hana uhalali wa kukemea vitendo vya USA kwa kuzingatia anayoyafanya kwa jirani zake na aliyofanya Afghanistan na Syria.
We haumjui Mrussi kwa mikwara?🤣🤣🤣🤣 hivi yake ma SU 3000 mara S4000 yako wapi yameshindwa kudungua hata kinguru
Kwamba hayo majimbo sio , America ?
Unakuaje supapower humiliki angaVita vya chini ni vigumu mno hata marekani mwenyewe huwa anapata shida Sana na huku Ndiko kwenye mziki mkubwa
Sitaki kushabikia vita, maana najua na nafahamu vizuri maimivu ya vita mliokuwa kwenye vikosi m23 na ila PK kagombana na BT nahisi mnaelewa vizuri nasema nini, ila ni kwamba Ukraine 🇺🇦 hata kama ikatokea akashindwa hii vita bado Urusi inatakiwa ijiulize kama bado ana ubavu wa kuivimbia Marekani hata sasa
Shida ni Ukraine kuwa jiran uku Vietnam ni maelf ya miles kutoka MarekanMkuu hata vita ya VietNam US ilishindwa kutokana na msaada wa silaha zilizo kuwa zinatolewa na Urusi - je, Merikani iliwahi kuivimbia Urusi hata siku moja kutoka na msaada wao wa silaha kwa VietCong? Hakuna.
Sasa mkuu; hayo unayosema si yalifanyika zamani kama sikosei ilikuwa ni ww11 na mataifa wakaona sio vema na hivyo wakakaa na kukubaliana mipaka ya mataifa mbalimbali itakuwa vipi na ramani zikachorwa na kila nchi ikakubaliana nayo ili amani iwepo. Hoja ya makundi ya kikabila (Ethnic groups) ikakomeshwa na ndo maana yapo baadhi ya makabila yanapatikana ndani na nje ya mipaka ya baadhi ya nchi nyingi duniani.Swali ni: yalipatikana kwa njia zipi, kihalali au kwa kulazimishwa kwa mtutu wa bunduki,kuna evidece gani ya kuthibitisha kwamba majimbo tajwa hapo juu Serikali ya Merikani iliwahi kupisha walao referundum, si walipora kinguvu tu bila ya kuwashirikisha wenyeji - leo hii Merikani na mataifa mengine mazaba zabina wanajaribu kumkalia kooni Putin as if kafanya makosa makubwa sana - wanajifanya kusahau ukatiri na mauuaji NATO/US walio wahi kuyatenda hapa Duniani.
Fuatilia ukweli wewe acha kupayuka!Too much stories while The Putin is in your country enjoying
Ni kweli mkuu ila kwa mwendo huu tukiwa tujadali pasipo mihemko yetu, mkuu bado una imani kuwa Urusi anaweza weka battle na Marekani?Mkuu hata vita ya VietNam US ilishindwa kutokana na msaada wa silaha zilizo kuwa zinatolewa na Urusi - je, Merikani iliwahi kuivimbia Urusi hata siku moja kutoka na msaada wao wa silaha kwa VietCong? Hakuna.
Sasa mkuu; hayo unayosema si yalifanyika zamani kama sikosei ilikuwa ni ww11 na mataifa wakaona sio vema na hivyo wakakaa na kukubaliana mipaka ya mataifa mbalimbali itakuwa vipi na ramani zikachorwa na kila nchi ikakubaliana nayo ili amani iwepo. Hoja ya makundi ya kikabila (Ethnic groups) ikakomeshwa na ndo maana yapo baadhi ya makabila yanapatikana ndani na nje ya mipaka ya baadhi ya nchi nyingi duniani.
Kwa mantiki hiyo inakuwa ni kioja na ni kuanzisha vurugu isiyo na tija kwa taifa moja e.g.. Russia kukiuka taratibu za UN kwamba mipaka iliyowekwa iheshimike na kuanza kuchukua maeneo ya nchi jirani ya Ukraine kwa madai kwamba maeneo hayo 4 yanaongea lugha ya Kirusi. Ni sawa na Kenya waanze kudai maeneo ya Longido,Monduli, Namanga au Loliondo kwa madai wapo watu wanaongea Kimaasai huko Kajiado Kenya. Maendeleo yamefikia hatua ya kuachana na Ukabila na kwa sasa ni Utaifa ndo umeshika hatamu.
Kwa ufupi hakurudisha kifaru hata kimoja, na pale ndo alipoteza elites wengi maana lengo la ule msafara ulikuwa kumtoa Zelensky Kyiv, hivyo hawakwenda watu waliotoka mafunzoni jana, alipelekea wataalamu haswaaSuper power with Soviet era tactics,
Vifaru msafara kilometer 74 unaviswaga kwenda kyiv....mwenzako anakausha tu msafara usonge..hivi niwaulize nyie Mbagala Russians ule msafara na Askari wake mbona mpaka Leo haujarudi Wala kufika kyiv?
Urusi hakumuachia ukraine. USSR ilipovunjika na kusababisha nchi 15 kujitangazia uhuru.Mnacho sahau ni kwamba Ukraine ilikuwa ni sehemu ya Soviet Union - Russia ilikubali wa hiari yake kuiachilia Ukraine iwe huru, hakuna aliye walazimisha Warusi kuipatia uhuru Ukraine, hakuna.
Tatizo la Ukraine linasabishwa kwa kiasi kikubwa na hulka za Zelensky na wafadhili wake wakubwa - mfano kwa nini Zelensky anawatisha tisha ethnic Ruasians kwamba wasizungumze lugha ya kirusi hata wakiwa wanazungumza na
familia zao,je,sisi hapa Tanzania tumewahi kuweka sheria ya raia kukatazwa kuzungumza lugha zao za asili wanapokuwa majimboni mwao ya asili?? Serikali ya Zelensky ilifikia hatua mpaka ya kufunga raia wanao zungumza Kirusi,wakafungia TV ,radio na magezi yaliyo kuwa yanatumia lugha ya Kirusi, sasa mlitegemea raia wa kusini mashariki mwa Ukraine wangefanya nini ili kuepusha unyanyasaji wa Serikali ya Zelensky husio na kifani dhidi yao - ndio maana majimbo hayo ya kusini mashariki yaliomba msaada kutoka kwa jeshi la Putin ili kukomesha udhalimu walio kuwa wanatendewa na Zelensky na gege lake ovu la Azov neo NAZI, hizo ndizo sababu za msingi zilizo ilazimu Russian kuingilia kati, lakini nchi za magharibi zinajifanya kulifumbia macho suala hilo - badala yake kumulaahumu na kumshutumu Putin 24X7. kujifanya wao ni malaika.
.Duh mbwembe zote za referendum kwisha [emoji16][emoji2][emoji12]
Ila Putin anazidi kujitia aibu Kwa hii Tabia ya mikwara yake..,ni Bora awe anakaa kimya,kutoa mikwara kunadhihirisha alivyo wa hovyo,
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hata watu wake wanamshangaa, maana kwa sasa hasongi mbeleDuh mbwembe zote za referendum kwisha [emoji16][emoji2][emoji12]
Ila Putin anazidi kujitia aibu Kwa hii Tabia ya mikwara yake..,ni Bora awe anakaa kimya,kutoa mikwara kunadhihirisha alivyo wa hovyo,
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kwa ufupi kamzawadia Ukraine vifaa vingi sanaPutin ni dhaifu ndio maana anatumia nguvu kubwa sana kujimwambafai resources anazotumia kwenye vita hii ni kubwa mno kuilinganisha na Ukraine
Hadi Lithuainia inamvimbia maana washajua hana jeshi kwa sasa, jeshi kamili ni lile lililoanza uvamiziDuh! Hatari sana,lait hasingejiingiza kwenye hii vita ya kipuuzi ulimwengu usingejua madhaifu yake ., Hii vita imemvua nguo sana
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app