Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
ViolenceVideo inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.
Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa.
View attachment 3110354
Hapo kwenye onyesho ni Uzanzibar na Utanganyika!Ye kawaita wahuni nao wamemuonyesha uhuni,
Eti wangemuacha afanye kazi then badae wangeonyesha hisia zao braza hizo hisia baki nazo wewe,
😅😅😅nimetamani nikurushie chupa ili kuthibitisha kauli yako
Hapa watu wa Mbeya tutalaumiwa bure, show yenyewe ilikua ya bure hadi vitoto vidogo vinavyojifunza kuvuta ngwai vimeenda. Pale wameenda watu wa ajabu ajabu kinoma, mtu mwenye heshima zako huendi show za bure. Nilipita pembeni pale nilikua nmetoka kiwanja kingine, njiani nakutana na watu wamelewa kinoma wengine wameshika 'master', nyagi n.k we unategemea utapata nini?
🤣🤣ChoiceVariable atanuna sana
Watu wa pwani wamekukosea nini?Nasikia aliwaambia mitano tena wakamuonyesha kwa vitendo, kuna watu hawapendi kujikomba komba wanadhani watz wote ni machawa kama wale watu wa pwani full kujinengulisha ili apate hela ya kula
Kula urojo na kulegea miili kama wanawake🙊Watu wa pwani wamekukosea nini?
Nani kawalipia hiyo show?Hapa watu wa Mbeya tutalaumiwa bure, show yenyewe ilikua ya bure hadi vitoto vidogo vinavyojifunza kuvuta ngwai vimeenda. Pale wameenda watu wa ajabu ajabu kinoma, mtu mwenye heshima zako huendi show za bure. Nilipita pembeni pale nilikua nmetoka kiwanja kingine, njiani nakutana na watu wamelewa kinoma wengine wameshika 'master', nyagi n.k we unategemea utapata nini?
Hamna mwenye ujasiri wa kurusha mawe mkutano wa CCMKuna dalili za watu kupigwa kwa hali hii ccm wasiende nao kwenye kampeni, na wasipoenda nao watoto wa shule watakoma
Unajichelewesha Kapeace.Labda uje tupige umbea hamjawahi kuwa na maajabu
Naona mnajusahaulisha kilichowapata 2015Hamna mwenye ujasiri wa kurusha mawe mkutano wa CCM
Yani hii comment ingeandikwa na dude la mbeya mbona ningefungua mlango chap ila sasa hata mshipa haujanishtukaUnajichelewesha Kapeace.
Ushawahi kupigwa shoo inaitwa mwana nkome?
Kama umegoma naomba nije mimi please.
Unaonekana umo umo kidogo.
Njoo mrembo mi nina misuli kuliko hilo dude la mbeya.Yani hii comment ingeandikwa na dude la mbeya mbona ningefungua mlango chap ila sasa hata mshipa haujanishtuka
Wanamtaka mke wa P Didy.Video inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.
Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa. Wanasikika wakisema wanamtaka mke wa P.Diddy. Hawa ni wendawazimu yaani mke wa P.Diddy aje kuperform Tanzania? tena Mbeya? hawapo serious. kesho na keshokutwa watakuja kudai apelekwe Mke wa Dr. Dre au wa Jay Z au hata mke wa Justin Timberlake.
View attachment 3110354
Pesa za viingilio zao hukulipa wewe unakuuma nini!? Unapangia matukiz watu??Swali ni je? Walienda kufanya nini kwenye hilo tamasha? Au walitegemea kuonana na mwamposa?