Sawa, so ukiwa mwanamke ndiyo uruhusiwe kuleta mambo ya Uccm/Siasa kwenye burudani tena ukiwa nyuma ya cover ya mtu asiyependwa?wanaume kumrushia chupa mwanamke ni jambo la hovyo sana, Zuchu ni mwanamke zile reaction ni kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, so ukiwa mwanamke ndiyo uruhusiwe kuleta mambo ya Uccm/Siasa kwenye burudani tena ukiwa nyuma ya cover ya mtu asiyependwa?wanaume kumrushia chupa mwanamke ni jambo la hovyo sana, Zuchu ni mwanamke zile reaction ni kawaida
We zungumza tu Id zetu zenyewe tu ni fake sijui sasa hapo unaficha niniMkuu hiyo 'kodi' nilikupa lakini hauwezi kuifungua, basi.
Lakini ipo siku utakuja kuielewa pole pole, kisha utaunganisha dots.
Mimi ninavyojua Pdidy hana mkeMkuu kwani hujui kuwa hapa bongo kuna mke wa P didy? Au uko nyuma ya wakati mpaka mbeya wanajua ila wewe huna habari
Chawa kwenye moja na mbiliView attachment 3111623View attachment 3111623naona kwa sasa CHADEMA mmechanganyikiwa kabisa na kupoteza uwezo wa kufikiri kabisa.
Mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ndiye aliyefanikisha Ushindi wa Dkt Tulia Ackson Mwansasu kuwa RAIS wa umoja wa Mabunge Duniani.
Ni mama yetu Mpendwa na Nyota ya Matumaini na shujaa wetu Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan aliyefanikisha Ushindi wa Dkt Faustine Ndugulile kuwa mkurugenzi Mkuu wa shirika la Afya Duniani kanda ya Afrika. Bila Rais Samia hakuna ambaye angeshinda katika wagombea wote hao.
Rais Samia akikuwekea mkono wake na kukupatia baraka zake ni lazima upite tu.Mama anakubalika ndani na nje ya Nchi View attachment 3111625
View attachment 3111622
Angalia comment #245We zungumza tu Id zetu zenyewe tu ni fake sijui sasa hapo unaficha nini
Umewahi kwenda kwa Daktari akakwambia mitano tena? Yeye siyo mwanasiasa ndiyo maana hawezi kukwambia mambo ya Siasa. Lakini akiwa kapata ujio wa Rais hapo hana budi kumsifia Rais na ni sawa kwa sababu yukl kwenye siasa the same Zuchu akiwa kwenye kampeni za Siasa ni sawa kusema mitano tena lakini si sawa kama yuko kwenye tamasha la burudaniKwanini muwasukumizie mzigo wasanii wa kukemea? Wakulima, walimu, wanasheria, madaktari wao mbona hamuwasemi?
Na tulia ndiye kamkost bila yeye kujua.Alileta siasa ndiyo, haujamuona kuanzia mavazi, halafu invester Tulia Akson, kama siyo siasa ni nini?
Kama ukichunguza kwa makini watu wanaoenda kwenye hayo matamasha kiasi wanajitambua, so wanajua jinsi gani waliporwa haki zao na CCM kwenye uchaguzi uliopita. Maana wafuasi wa CCM wengi hawana ufahamu au kusema waende kwenye matamasha, sasa wengi ni upinzani then wewe unaleta habari za mitano tenaAlileta siasa ndiyo, haujamuona kuanzia mavazi, halafu invester Tulia Akson, kama siyo siasa ni nini?
Waambie hao ....Hizo ni akili za wajinga kukimbia tatizo lao la msingi CCM na kuangaika na Zuchu
Sawa, basi unavyojua kuna wanaojua zaidi.Mimi ninavyojua Pdidy hana mke
Mpaji Mungu acha kurushia chupa warembo.....😂😂😂Mtoto mzuri kama ZUCHU unampiga makopo unarudi nyumbani unajiona umeshiiinda
Kwahiyo diamond ndio mke wa Pdidy? mnajua mnachofanya si jambo zuri kumchafua mtu yeye mwenyewe anauwezo akafungua kesiAngalia comment #245
Lazima wawe na nidhamu.... huwezi kuniimbisha sukaaaaari🎶 shuga sukar🎶😂Mpaji Mungu acha kurushia chupa warembo.....😂😂😂
Wanaomchafua wapo akawafungulie kesi hao, af mkuu mbona unaonekana kama una elimu ya ngumbalu?Kwahiyo diamond ndio mke wa Pdidy? mnajua mnachofanya si jambo zuri kumchafua mtu yeye mwenyewe anauwezo akafungua kesi
Una uhakika na mfano ulioutoa?Umewahi kwenda kwa Daktari akakwambia mitano tena? Yeye siyo mwanasiasa ndiyo maana hawezi kukwambia mambo ya Siasa. Lakini akiwa kapata ujio wa Rais hapo hana budi kumsifia Rais na ni sawa kwa sababu yukl kwenye siasa the same Zuchu akiwa kwenye kampeni za Siasa ni sawa kusema mitano tena lakini si sawa kama yuko kwenye tamasha la burudani
Elimu ya ngumbalu ikoje?Wanaomchafua wapo akawafungulie kesi hao, af mkuu mbona unaonekana kama una elimu ya ngumbalu?
Code zingine ngumu sana kufunguka wallah; P Diddy ana mtu hapa? Watu mna siri sana, sijapendaMkuu kwani hujui kuwa hapa bongo kuna mke wa P didy? Au uko nyuma ya wakati mpaka mbeya wanajua ila wewe huna habari