ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Kama wewe humpendi usilazimishe wengine wasimpende, hata shetani ana wafuasi wake, jambo la msingi huwezi kumtoa Mama Samia madarakani kwa kumrushia Zuchu chupa, huo ni usela maviSawa, so ukiwa mwanamke ndiyo uruhusiwe kuleta mambo ya Uccm/Siasa kwenye burudani tena ukiwa nyuma ya cover ya mtu asiyependwa?