NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Sawa Mama Diamond,nimekuelewa.Oya tafuta hela anzisha chako alafu ajiri watangazaji wawili na wachambuzi wawili ili wafanye unavyotaka.
Pale kuna ma-master wa hicho unachokifikiri wanajua hadi wanakera na wameenda shule uje kuwakosoa wewe sijui bwana kilimo huko.
It's not your job to like me, it's mineKuna mtu kakulazimisha uisikilize?
Hii media ni for youth tu huielewi kaa kushoto
Innocent Dependent akisoma huu uzi atakasirika balaaInnocent inaitwa huku
Badilikeni, hasa wewe kitenge. Mm huwa nasikiliza Mawingu nikijichanganya EA radio.Sikiliza RFA
Pale watu wanamfuata Ambangile tu...Radio ya wasafi ni ya kipuuzi mno....ni ya kitoto sana na ndiyo maana wengi wanaoisikiliza ni watoto na vijana ambao hawajabalehe.
Ety kila kitu anachoongea Baba levo...wanajichekesha wala hakichekeshi...Hii radio imenishinda watangazaji hawapeani nafasi ya kuzungumza hasa kipindi cha kina Baba levo ni makelele tu
Controller nae anashindwa kufuata ethics za kucontrol dialogue kwny studio...anayejitahidi ni AHMED SUL EIMANKitenge unahasira, pale hamna kipindi ni vurugu tu
Hao Efm tatizo singeli nyingi....kuliko michezo yenyewe .....zaidi ya hapo wapo vizuri tu.Karibu efm mkuu hutojuta !
Kina geof, Oscar, maestro n.k ! Mpira unachambulika kwa staha, bila unazi Wala ushabiki maandazi !
Hao wengine wapiga ramli tu
Kwani clouds hawana unazi?Ninejaribu kutafuta radio yenye fleva tofauti na clouds nimekosa, nimeamua kubaki chama la wana clouds, naenda wasafi one time kwenye sport arena, bt now wameshaanza kuniboa. Watangazaji wa sports arena wana unazi na timu zao, uchambuzi wao una favour pande wanazozipenda. Hii kitu itanikimbiza mazima.
Sasa kama huwa ni msikilizaji wa radio stations zingine ya Wasafi umeyajuaje? 😳Badilikeni, hasa wewe kitenge. Mm huwa nasikiliza Mawingu nikijichanganya EA radio.
Ila sio nyie wachambuz maandazi.
Swali la kiboyer, dunia ya Internet unauliza swali la hivo ?!Sasa kama huwa ni msikilizaji wa radio stations zingine ya Wasafi umeyajuaje? 😳
LOL! who liked you?It's not your job to like me, it's mine
Haya Prisca KishambaSawa Mama Diamond,nimekuelewa.