Wasafi FM wana utoto na ujinga mwingi studio

Wasafi FM wana utoto na ujinga mwingi studio

Swali la kiboyer, dunia ya Internet unauliza swali la hivo ?!
WTF is that word Kiboyer mean?
Badilikeni, hasa wewe kitenge. Mm huwa nasikiliza Mawingu nikijichanganya EA radio.

Ila sio nyie wachambuz maandazi.
Swali hilo lilitoka kwenye huu upuuzi wako.
Husikilizi Wasafi wewe ni msikilizaji wa Clouds na EA radio basi ya Wasafi umeyajuaje?

Wabongo nyie wapumbavu sana unafiki umewajaa, uchawi na roho mbaya ndio zenu.
Tafuta hela wewe ukafungue chako ufanye unayoyataka masikini mkubwa wewe
 
WTF is that word Kiboyer mean?

Swali hilo lilitoka kwenye huu upuuzi wako.
Husikilizi Wasafi wewe ni msikilizaji wa Clouds na EA radio basi ya Wasafi umeyajuaje?

Wabongo nyie wapumbavu sana unafiki umewajaa, uchawi na roho mbaya ndio zenu.
Tafuta hela wewe ukafungue chako ufanye unayoyataka masikini mkubwa wewe
Tanzania tuna tabia ya unafiki Kama kitu upendezi nacho unafuatilia nini
 
Jamaa wanajitahid shida baba levo anazingua sana jamaa mbishi na anachobishia hakina maana, hataki kuwaachia wenzake nafasi ya kuongea kifupi baadhi ya siku anaboa sana
 
Jamaa wanajitahid shida baba levo anazingua sana jamaa mbishi na anachobishia hakina maana, hataki kuwaachia wenzake nafasi ya kuongea kifupi baadhi ya siku anaboa sana
Asipokuwepo baba levo kipindi kinakuwa kitamu mno...
 
Hivi vipindi vyao kila mtu akiwepo studio ana control ya Mixer, yaani ni kelele na vurugu tu studio.

Warekebishe huu.

Mtu kipindi cha michezo yupo MWANAIDI SULEIMAN (Mtangazaji)
Paul Mkai (Mtangazaji)
Kawambwa (Mtangazaji)

Sasa who is the main controller hapo. Kila mmoja wao anaongea tu anaingilia mwenzake tu, mradi fujo tu.

Kwa mfano, muda huu kuna kelele zilikuwa studio. Sijui hawa wanapataje access ya kuingia studio na kufanya vurugu hivi?

Mbona Clouds sijawahi sikia.

HEBU WARUDI CHINI MANAGEMENT WATAFAKARI THEIR BASICS.

WATADHARAULIKA KWA KWELI.
Kila mtangazaji anataka aonekane yeye ndio mchambuzi zaidi
 
Hivi mtangazaji wanalipwa sh ngapi kwa mfano hasahasa hawa wa michezo?
 
Redio ziko nyingi chaguo moja..nyingine za kishamba waachie walughalugha
 
Diamond jau sana yeye mwenyewe mtoto
 
WANGEACHA KWANZA WATU WENYE UZOEFU NA KAZI ZAO KUCONTROL MAZUNGUMZO...

AHMED ABDALLAH NDIO ANAJITAHIDI...ILA MAULID KITENGE NDIO UTUMBO TU...
Kitenge haendi na wakati tu, utamsikia eti akichambua magazeti akiwa USA mara SA. Hajui huko ni kujiinesha ulimbukeni wa kuwa sehemu hizo wakati wengi wanatembelea hizo sehemu kimya kimya.
 
Redio ziko nyingi chaguo moja..nyingine za kishamba waachie walughalugha
Tofauti ni muda mkuu.
Mie kabla ya kuwasiri Mzizima nilikuwa napenda kusikiliza Uhuru FM kipindi chao cha michezo kuanzia saa moja usiku. Nasikiliza mpaka moja na nusu tu basi kisha nahamia radio nyengine.
Nilipotinga Mzizima na kugundua E FM nao mida ya saa moja jioni wana kipindi cha michezo nikahamia huko tena nawasikiliza mpaka saa mbili.
Hivi majuzi wamebadili kipindi na wamewaachia Wasafi FM muda huo wa saa moja jioni.
 
Diamond jau sana yeye mwenyewe mtoto
Sasa ndio roho ikuume yeye kuanzisha stations zinazolenga vijana wadogo?

Una habari kipindi cha XXL kinalenga watu walio na umri wa miaka 16 - 28 tu? Aisee mauzee yenu pelekeni TBC Taifa
 
Hivi vipindi vyao kila mtu akiwepo studio ana control ya Mixer, yaani ni kelele na vurugu tu studio.

Warekebishe huu.

Mtu kipindi cha michezo yupo MWANAIDI SULEIMAN (Mtangazaji)
Paul Mkai (Mtangazaji)
Kawambwa (Mtangazaji)

Sasa who is the main controller hapo. Kila mmoja wao anaongea tu anaingilia mwenzake tu, mradi fujo tu.

Kwa mfano, muda huu kuna kelele zilikuwa studio. Sijui hawa wanapataje access ya kuingia studio na kufanya vurugu hivi?

Mbona Clouds sijawahi sikia.

HEBU WARUDI CHINI MANAGEMENT WATAFAKARI THEIR BASICS.

WATADHARAULIKA KWA KWELI.
kama Eddo maskin hanaga masauti ya kupayuka kama kitenge .me nilikua nataman niskilize michezo yao maana mitandaon wanajisfia ..kuja kuskia ni upuuzi mtupu wanatangaza kizamani sana mtu anakua kama anakimbizwa wajifunze kwa Alex lwambano jamaa huwezi kuta anachambua michezo ye anawapa.vitu nyie mchambue
 
Sasa ndio roho ikuume yeye kuanzisha stations zinazolenga vijana wadogo?

Una habari kipindi cha XXL kinalenga watu walio na umri wa miaka 16 - 28 tu? Aisee mauzee yenu pelekeni TBC Taifa
Hii kama kweli... nimeanza kupoteza interest nacho slow slow nina miezi sijasikiliza xxl but nyuma nilipokua teen kilikua hakinipiti Abadan.
 
Back
Top Bottom