Yani mkuu ndio maana watu wanakufa wadogo mno tuna chuki inayosababishwa na roho mbaya inazaa depression watu wanakufa kwa kuumwa vichwa tu.Hii kama kweli... nimeanza kupoteza interest nacho slow slow nina miezi sijasikiliza xxl but nyuma nilipokua teen kilikua hakinipiti Abadan.
ALEX LUAMBANO VERY VERY PROFESSIONAL NA MCHOKOZA MADA MZURI, ASIPOKUWEPO YEYE SISIKIZI MICHEZO CLOUDS...kama Eddo maskin hanaga masauti ya kupayuka kama kitenge .me nilikua nataman niskilize michezo yao maana mitandaon wanajisfia ..kuja kuskia ni upuuzi mtupu wanatangaza kizamani sana mtu anakua kama anakimbizwa wajifunze kwa Alex lwambano jamaa huwezi kuta anachambua michezo ye anawapa.vitu nyie mchambue
Hawana.Kwani clouds hawana unazi?
We Ni Nani hapo clouds?Hawana.
Msikilizaji.We Ni Nani hapo clouds?
Hivi vipindi vyao kila mtu akiwepo studio ana control ya Mixer, yaani ni kelele na vurugu tu studio.
Warekebishe huu.
Mtu kipindi cha michezo yupo MWANAIDI SULEIMAN (Mtangazaji)
Paul Mkai (Mtangazaji)
Kawambwa (Mtangazaji)
Sasa who is the main controller hapo. Kila mmoja wao anaongea tu anaingilia mwenzake tu, mradi fujo tu.
Kwa mfano, muda huu kuna kelele zilikuwa studio. Sijui hawa wanapataje access ya kuingia studio na kufanya vurugu hivi?
Mbona Clouds sijawahi sikia.
HEBU WARUDI CHINI MANAGEMENT WATAFAKARI THEIR BASICS.
WATADHARAULIKA KWA KWELI.
Wewe kama unataka uzee Radio one, TBC na RFA huzijui frequency zake nikusaidie?
Sports Arena ya Wasafi Fm ina watangazaji ambao si wachambuzi wasiopungua watano
1. Paul Mkai (anakuwa kiongozi wa vipindi weekend)
2. Ahmed ni kiongozi wa kipindi baada ya Kitenge.
3. Kitenge ndiye boss wa hivyo vipindi vya sports.
4. Kawambwa ametoka UFM na alikuwa anaendesha kipindi cha michezo pale japo ana uwezo mkubwa wa kuchambua pia.
5. Mwanaidi huyu mnyaturu ni mtangazaji pia anafanya alichokuwa anakifanya EFM role yake ni ileile.
6. Mkule Aboubakari huyu naye ni mtangazaji anasaidiana na Mkai.
Unasema hakuna controller wa Vinasa hauko serious wewe, tizama YouTube channel yao uone ni nani anakaa upande wa control na sio unabwata tu.
Still bado mnaendelea kuwasikiliza!
still * bado, * is missing but * = naStill "inatosha",,, ondoa "bado",,,na bado
Muambie hao Clouds wanarekodi simu mchana halafu wanajifanya ndo zimepigwa kwenye vipindi vya usiku. Yaani wale jamaa bure kabisa.Wewe kama unataka uzee Radio one, TBC na RFA huzijui frequency zake nikusaidie?
Sports Arena ya Wasafi Fm ina watangazaji ambao si wachambuzi wasiopungua watano
1. Paul Mkai (anakuwa kiongozi wa vipindi weekend)
2. Ahmed ni kiongozi wa kipindi baada ya Kitenge.
3. Kitenge ndiye boss wa hivyo vipindi vya sports.
4. Kawambwa ametoka UFM na alikuwa anaendesha kipindi cha michezo pale japo ana uwezo mkubwa wa kuchambua pia.
5. Mwanaidi huyu mnyaturu ni mtangazaji pia anafanya alichokuwa anakifanya EFM role yake ni ileile.
6. Mkule Aboubakari huyu naye ni mtangazaji anasaidiana na Mkai.
Unasema hakuna controller wa Vinasa hauko serious wewe, tizama YouTube channel yao uone ni nani anakaa upande wa control na sio unabwata tu.
Kweli kabisa. Wanachukuana tu.....sasa King'wendu naye mtangazaji.All in all hata jamii inachangia wao kuwa hivyo...kwa maana ya watu walio wengi kupenda mambo ya kipuuzi, kiutopolo n.k... Kwa hiyo wanachofanya ni ku reflect kilichopo huku ground [emoji847][emoji847][emoji4]..ila pia professionalism haizingatiwi Sana kwenye hizi so called radio stations zinazochipuka
Utoto raha.Na we nawe ni great thinker.Oya tafuta hela anzisha chako alafu ajiri watangazaji wawili na wachambuzi wawili ili wafanye unavyotaka.
Pale kuna ma-master wa hicho unachokifikiri wanajua hadi wanakera na wameenda shule uje kuwakosoa wewe sijui bwana kilimo huko.
Kwahiyo mtu akitoa maoni au malamiko kuhusu jambo au kitu fulani inabidi aanze chake?Oya tafuta hela anzisha chako alafu ajiri watangazaji wawili na wachambuzi wawili ili wafanye unavyotaka.
Pale kuna ma-master wa hicho unachokifikiri wanajua hadi wanakera na wameenda shule uje kuwakosoa wewe sijui bwana kilimo huko.
Aisee kuna siku nilikua nasikiliza michezo radio East Africa mpaka unachukia hawapeani nafasi ya kuongea,Hawapeani muda wa kuongea...kama clouds tu. Radio nzuri kwa sports kwangu mimi ni EA radio....na ufm at least wametulia sana. Wasafi kipindi cha gosper wanajitahd sana masanja na team yake.