Wasafi imemkosea nini Joh Makini?

Wasafi imemkosea nini Joh Makini?

Anaitwa John Makini aka Mwamba Wa Kaskazini au Jay Z wa Arusha.

Huyu jamaa hataki kabisa kuwapa ushirikiano Wasafi Media. Daima anaikimbia mic ya Wasafi.

Akiitwa kwa ajili ya interview haendi.
Kufatwa hataki.

Alishakubarigi kwenda studio kwenye kipindi cha block 89 lakini dakika za mwisho akatoa udhulu.

Ni mtu anaeonekana hapendezwi na uwepo wa Wasafi.

Je ana shida gani na Wasafi?
Mkuu kuna tetesi kuwa wasanii wanaoshirikiana na wasafi wanabaniwa the giant media mawingu fm..
So kuna watu wanachagua upande sio falsafa za Mwalimu na NAM
 
Ila Kilimanjaro na Arusha tuna wasanii wengi sana tena international kwelikweli kweli

Vanesaa Mdee
Maua Sama
Navy Kenzo
Whozu
Bilnass
Malkia Karen
Shaa
Nikki wa pili
Nako2Nako
Chin bee
Etc etc etc

Nyinyi kisa daimond kwao Kigoma mkaja na Kigoma all [emoji93], Ukienda mwanza msanii wao Best Nasso, mbeya msanii wao ni mr. Xmass etc etc. Nyinyi mkijikusanya wala sio ukabila lakini sisi tukimind our own business inakuwa ukabila, kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.

Yeye daimond nyimbo zake sizisikii kwenye ITV, EATV etc sasa kwa nini na za Clous nazo zisikike huko kwa Daimond.
Hivi kwa nini huwa mnapenda kuunganisha Kilimanjaro na Arusha.Kama issue ni kaskazini mbona hata Tanga ni Kaskazini.

Best Nasso sio wa Mwanza ni wa Mara.Mwanza tuna best artistes Kama
Fid Q
Young Killer
Kala Jeremiah
Rado
Baraka da prince
Mo Music
H baba

Mziki wa youngkiller,Fid na kala hamna raper kutokea Kaskazini nzima anaweza ugusa.

Mbeya pia tuna wasanii Kama
Ay
Izzo bizness
Quick Rocka
Sugu
Shaa huyu sio wa huko Kaskazini
Rayvanny
 
Hivi kwa nini huwa mnapenda kuunganisha Kilimanjaro na Arusha.Kama issue ni kaskazini mbona hata Tanga ni Kaskazini.

Best Nasso sio wa Mwanza ni wa Mara.Mwanza tuna best artistes Kama
Fid Q
Young Killer
Kala Jeremiah
Rado
Baraka da prince
Mo Music
H baba

Mziki wa youngkiller,Fid na kala hamna raper kutokea Kaskazini nzima anaweza ugusa.

Mbeya pia tuna wasanii Kama
Ay
Izzo bizness
Quick Rocka
Sugu
Shaa huyu sio wa huko Kaskazini
Rayvanny
Usishangae kuiacha tanga hao ni wakabila Sana... Roma aliwaambia kaskazini Bila tanga ni msondo bila gurumo..
 
Hivi kwa nini huwa mnapenda kuunganisha Kilimanjaro na Arusha.Kama issue ni kaskazini mbona hata Tanga ni Kaskazini.

Best Nasso sio wa Mwanza ni wa Mara.Mwanza tuna best artistes Kama
Fid Q
Young Killer
Kala Jeremiah
Rado
Baraka da prince
Mo Music
H baba

Mziki wa youngkiller,Fid na kala hamna raper kutokea Kaskazini nzima anaweza ugusa.

Mbeya pia tuna wasanii Kama
Ay
Izzo bizness
Quick Rocka
Sugu
Shaa huyu sio wa huko Kaskazini
Rayvanny
Hawaitaji tanga kwasababu huko kilimanjaro na arusha ndipo wachaga walipo
 
Hawaitaji tanga kwasababu huko kilimanjaro na arusha ndipo wachaga walipo
Umesahau na Manyara nayo ipo kaskazini. Mimi nimetoa maoni yangu kwamba watu wakikujua wewe ni wa kaskazini basi mnaanza kutubagua mbona sisi fresh hatubagui mtu yoyote. Karibu Moshi ukiwa na hela hapo basi utakuwa billionaire ila kama ni kapuku hakuna atakaye kupapatikia
 
Hivi kwa nini huwa mnapenda kuunganisha Kilimanjaro na Arusha.Kama issue ni kaskazini mbona hata Tanga ni Kaskazini.

Best Nasso sio wa Mwanza ni wa Mara.Mwanza tuna best artistes Kama
Fid Q
Young Killer
Kala Jeremiah
Rado
Baraka da prince
Mo Music
H baba

Mziki wa youngkiller,Fid na kala hamna raper kutokea Kaskazini nzima anaweza ugusa.

Mbeya pia tuna wasanii Kama
Ay
Izzo bizness
Quick Rocka
Sugu
Shaa huyu sio wa huko Kaskazini
Rayvanny
Asante kwa kunirekebisha hapo kwa Sara Kaisi.

Manyara nayo ipo kaskazini alafu arusha sio kwa wachagaa ila hapo Machame na wilaya ya Arumeru kuna muingiliano mkubwa na wachagga hasa wamachame ndo wamepasogelea sana mpaka town
 
Crue yote ya Arusha haipatani na wasafi huo ndo ukweli, wasanii karbia wote from kaskazin hasa Arusha au wenye asili ya huko, majamaa wana ukabila sana, na ndo mana huwez kuona Mond au wasafi wanarunch show Arusha, labda atokee promota tokea pande hzo, na hii inachangizwa na Cloud Fm na wajinga wengine kama Efm,

Bdozen na Mchomvu wametokea chuga, ambao wana bifu kali Na Diamond, Bdozen na weusi +Joh Makini ni pete na kidole...

Mond kawakaba koo sana,
Kwenye Ukabila Nakupa 100%
Hawa watu basi tu
 
Crue yote ya Arusha haipatani na wasafi huo ndo ukweli, wasanii karbia wote from kaskazin hasa Arusha au wenye asili ya huko, majamaa wana ukabila sana, na ndo mana huwez kuona Mond au wasafi wanarunch show Arusha, labda atokee promota tokea pande hzo, na hii inachangizwa na Cloud Fm na wajinga wengine kama Efm,
Bdozen na Mchomvu wametokea chuga, ambao wana bifu kali Na Diamond, Bdozen na weusi +Joh Makini ni pete na kidole...
Mond kawakaba koo sana,
Umemaliza mzee...
 
Ila Kilimanjaro na Arusha tuna wasanii wengi sana tena international kwelikweli kweli

Vanesaa Mdee
Maua Sama
Navy Kenzo
Whozu
Bilnass
Malkia Karen
Shaa
Nikki wa pili
Nako2Nako
Chin bee
Etc etc etc

Nyinyi kisa daimond kwao Kigoma mkaja na Kigoma all [emoji93], Ukienda mwanza msanii wao Best Nasso, mbeya msanii wao ni mr. Xmass etc etc. Nyinyi mkijikusanya wala sio ukabila lakini sisi tukimind our own business inakuwa ukabila, kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.

Yeye daimond nyimbo zake sizisikii kwenye ITV, EATV etc sasa kwa nini na za Clous nazo zisikike huko kwa Daimond.
ONgezea hapo Barnaba, Neywamitego, Nice, Nandy etc
 
Tayari ninaye,see here
65671697_1328233387323914_1275674594331953489_n.jpg

Mie nimeona cha kutukana
Dada utakosa mume we haya jaribu kubehave Kama mwanamke mwenye heshima zake Wala sijaona sehemu yakukufanya utoke povu kiasi hicho.
 
Crue yote ya Arusha haipatani na wasafi huo ndo ukweli, wasanii karbia wote from kaskazin hasa Arusha au wenye asili ya huko, majamaa wana ukabila sana, na ndo mana huwez kuona Mond au wasafi wanarunch show Arusha, labda atokee promota tokea pande hzo, na hii inachangizwa na Cloud Fm na wajinga wengine kama Efm,

Bdozen na Mchomvu wametokea chuga, ambao wana bifu kali Na Diamond, Bdozen na weusi +Joh Makini ni pete na kidole...

Mond kawakaba koo sana,
Acha awakabe tu,,
 
Tayari ninaye,see hereView attachment 1155014
Mie nimeona cha kutukana
Sipo kwa ajili ya kushindana na wewe cos silipwi ila kwa busara ambazo mungu amenipa ninakushauri usipende kuifadhi chuki kwa mtu ambaye hujawahi kumuona uso kwa uso lakini hajawahi kukufanyia kitu kibaya katika maisha yako.Ukiwa mtu wa namna hi utaishi kwa amani lakini ukimchukia mtu ambaye hajawahi kukukosea huyu akipata zaidi mafanikio yatakuumiza ukichanganya na stress za maisha yako utazidi kuumia Mara mbili na itapelekea kuzeeka kabla ya wakati wako.Huu ni ushauri wa bure mpendwa either uuchukue au uuache is up to you.
 
Nakuona upo kazini. Umependeza
65654814_2282424675330567_5638171056245453660_n.jpg
Sipo kwa ajili ya kushindana na wewe cos silipwi ila kwa busara ambazo mungu amenipa ninakushauri usipende kuifadhi chuki kwa mtu ambaye hujawahi kumuona uso kwa uso lakini hajawahi kukufanyia kitu kibaya katika maisha yako.Ukiwa mtu wa namna hi utaishi kwa amani lakini ukimchukia mtu ambaye hajawahi kukukosea huyu akipata zaidi mafanikio yatakuumiza ukichanganya na stress za maisha yako utazidi kuumia Mara mbili na itapelekea kuzeeka kabla ya wakati wako.Huu ni ushauri wa bure mpendwa either uuchukue au uuache is up to you.
 
Ndio maana nikawaambia nyie ndo wabaguzi maana Harmonizer kwa vile kwao Mtwara basi kila mwanamtwara basi ni msanii wao hamuwaambii chochote. Kilimanjaro hatuna msanii wa kwetu njoo ukiza msanii gani wa nyumbani wanaompenda utawakosa ila nenda Mtwara-harmonizer
Mwanza-best naso
Mbeya-mr. Xmass
Morogoro-belle 9
Kilimanjaro- hamna hata mmoja


Wewe jamaa Best nasso siyo wa Mwanza ni msanii kutoka Musoma. Mwanza tunawakilishwa na Fid q + Young killer.
 
ONgezea hapo Barnaba, Neywamitego, Nice, Nandy etc
Barnaba jina lake ni nani kumbe naye ni kaskazini moja. Mr nice naye tena ni wa huku hivi na jina lake nani vile kumbe sisi tumejaaliwa ndo maana hatunaga msanii wa Kilimanjaro kama Kilimanjaro hao wengine wakiwa na mmoja basi watamsapoti mpaka basi
 
Back
Top Bottom