Wasafi media leo watafanya tukio kubwa

Wasafi media leo watafanya tukio kubwa

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Mkurugenzi na CEO wa Wasafi media Diamond Platnumz amethibitisha leo kutakuwa na press pale Wasafi head quarter kwa kampeni inaitwa " Chuma kimeingia" .Tukio Hilo litarushwa kuanzia saa 5 Asubuhi wasafi tv, Wasafi FM na Channel yao ya YouTube Wasafi media haijulikani nikutambulisha mtangazaji mpya, kuzindua urushwaji wa Wasafi mikoani, kuzindua kipindi kipya au kuhusu wasafi tower.

Wengi wametabiri itakuwa Ni kumtambulisha mtangazaji ila kwa upande wangu naona itakuwa Ni kuzindua Wasafi FM mikoani cos diamond alishathibitisha wamepata leseni ya kurusha wasafi FM nchi nzima wiki mbili nyuma navyofikiri Mimi niivyo so watatangaza mikoa ipi wataanza kurushia vipindi Kama sehemu ya uzinduzi wa Wasafi FM nchi nzima.
 
Ngoja tusubiri
Mkurugenzi na CEO wa Wasafi media Diamond Platnumz amethibitisha leo kutakuwa na press pale Wasafi head quarter kwa kampeni inaitwa " Chuma kimeingia" .Tukio Hilo litarushwa kuanzia saa 5 Asubuhi wasafi tv, Wasafi FM na Channel yao ya YouTube Wasafi media haijulikani nikutambulisha mtangazaji mpya, kuzindua urushwaji wa Wasafi mikoani, kuzindua kipindi kipya au kuhusu wasafi tower.

Wengi wametabiri itakuwa Ni kumtambulisha mtangazaji ila kwa upande wangu naona itakuwa Ni kuzindua Wasafi FM mikoani cos diamond alishathibitisha wamepata leseni ya kurusha wasafi FM nchi nzima wiki mbili nyuma navyofikiri Mimi niivyo so watatangaza mikoa ipi wataanza kurushia vipindi Kama sehemu ya uzinduzi wa Wasafi FM nchi nzima.
Ngoja tusubiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wewe ungejipenyeza ufike walau Mond akutambue na autambue mchango wako pengine unaweza kupata zali la kulipiwa kodi ya nyumba,

Just saying no hard feelings.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Aiseee bora mie shabiki maandazi kwenye comments ila wewe kijana umevuka mipaka kila kukicha ni nyuzi za domo. Huu uraibu ni hatari
Sio kwamba ninaleta kila siku nyuzi za diamond ila Ni kwamba wewe unapenda kuja kwenye nyuzi za diamond maana me napost nyuzi tofauti tofauti
 
Na wewe ungejipenyeza ufike walau Mond akutambue na autambue mchango wako pengine unaweza kupata zali la kulipiwa kodi ya nyumba,

Just saying no hard feelings.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Hiv kiba anasemaje?
 
Napita majukwaa yote hauna nyuzi zako huko zaidi ya hapa yaani unawazidi hata misukule wenzio
Wewe ndio msukule a.k.a Mrs chuki me nipo kwenye majukwaa ya entertainment napost Sana hata Jana nilipost nipo kwenye jukwaa la Korea drama na wewe unajua na jukwaa hoja mchanganyiko na jukwaa la siasa hata Jana nilikuwa uko.Mwisho namaliza wewe unapenda kuja kwenye nyuzi zinahusiana na diamond ndo maana unasema hivyo.
 
Na wewe ungejipenyeza ufike walau Mond akutambue na autambue mchango wako pengine unaweza kupata zali la kulipiwa kodi ya nyumba,

Just saying no hard feelings.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Pitia kwa mangi pata kubwa ile 1 baridiiii nakuja kulipa, unenkosha mnooooo lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom