cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wahi haraka eneo la tukio huenda nawee ukaonwa na kupewa airtime km mwenzio lokole,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una chuki na kijana Sana ingekuwa nimepost haihusiani na diamond using comment hivyo🤣🤣🤣 kwamba nakuonea wivu unavyosubiri tukio kubwa?
Mbona mdada una povu kiasi hicho diamond alikubaka Nini?Wahi haraka eneo la tukio huenda nawee ukaonwa na kupewa airtime km mwenzio lokole,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mimi nimecomment kuhusiana na wewe usiamishe magoli.Una chuki na kijana Sana ingekuwa nimepost haihusiani na diamond using comment hivyo
Mkurugenzi na CEO wa Wasafi media Diamond Platnumz amethibitisha leo kutakuwa na press pale Wasafi head quarter kwa kampeni inaitwa " Chuma kimeingia" .Tukio Hilo litarushwa kuanzia saa 5 Asubuhi wasafi tv, Wasafi FM na Channel yao ya YouTube Wasafi media haijulikani nikutambulisha mtangazaji mpya, kuzindua urushwaji wa Wasafi mikoani, kuzindua kipindi kipya au kuhusu wasafi tower.
Wengi wametabiri itakuwa Ni kumtambulisha mtangazaji ila kwa upande wangu naona itakuwa Ni kuzindua Wasafi FM mikoani cos diamond alishathibitisha wamepata leseni ya kurusha wasafi FM nchi nzima wiki mbili nyuma navyofikiri Mimi niivyo so watatangaza mikoa ipi wataanza kurushia vipindi Kama sehemu ya uzinduzi wa Wasafi FM nchi nzima.
Una comment kuhusu mimi kwani unanijua wewe unatakiwa ujikite kwenye mada kwasababu mada haikufurahishi ndo maana ukacomment hivyo alafu ulivyokuwa ajabu unasema niwe chai wakati muda huo huo na wewe unacommentHahaha mimi nimecomment kuhusiana na wewe usiamishe magoli.
Jamaa kiukwel Ni very fighter na anajua kujiongeza anajua kutumia vizuri umaarufu wake ataki kufanya makosa Kama Kaka zake waliofanya wakina Mr nice,juma nature and the likeMungu ambariki sana huyu dogo he has been such a good driver of his own life, usibweteke kila ufanyalo jione bado.
Kuhusu mada ya tukio kubwa ni habari njema mno,Una comment kuhusu mimi kwani unanijua wewe unatakiwa ujikite kwenye mada kwasababu mada haikufurahishi ndo maana ukacomment hivyo alafu ulivyokuwa ajabu unasema niwe chai wakati muda huo huo na wewe unacomment
Udingi unamsumbua huyoUna comment kuhusu mimi kwani unanijua wewe unatakiwa ujikite kwenye mada kwasababu mada haikufurahishi ndo maana ukacomment hivyo alafu ulivyokuwa ajabu unasema niwe chai wakati muda huo huo na wewe unacomment
Kweli kabisa Mungu ambariki Diamond.Jamaa kiukwel Ni very fighter na anajua kujiongeza anajua kutumia vizuri umaarufu wake ataki kufanya makosa Kama Kaka zake waliofanya wakina Mr nice,juma nature and the like
Katafute kazi ya kufanya.Mkurugenzi na CEO wa Wasafi media Diamond Platnumz amethibitisha leo kutakuwa na press pale Wasafi head quarter kwa kampeni inaitwa " Chuma kimeingia" .Tukio Hilo litarushwa kuanzia saa 5 Asubuhi wasafi tv, Wasafi FM na Channel yao ya YouTube Wasafi media haijulikani nikutambulisha mtangazaji mpya, kuzindua urushwaji wa Wasafi mikoani, kuzindua kipindi kipya au kuhusu wasafi tower.
Wengi wametabiri itakuwa Ni kumtambulisha mtangazaji ila kwa upande wangu naona itakuwa Ni kuzindua Wasafi FM mikoani cos diamond alishathibitisha wamepata leseni ya kurusha wasafi FM nchi nzima wiki mbili nyuma navyofikiri Mimi niivyo so watatangaza mikoa ipi wataanza kurushia vipindi Kama sehemu ya uzinduzi wa Wasafi FM nchi nzima.
Jamaa kiukwel Ni very fighter na anajua kujiongeza anajua kutumia vizuri umaarufu wake ataki kufanya makosa Kama Kaka zake waliofanya wakina Mr nice,juma nature and the like
kumtambulisha mtangazaji
Kwani sina kazi mpaka uniambie nitafuteKatafute kazi ya kufanya.
Brand nikitu muhimu Sana diamond inaweza ikawa ni kitu kidogo lakini akakifanya kwa uzito mkubwa hii inasaidia kuipa thamani media na hii anafanya kwenye mziki wake na faida yake unaona anapata madili makubwa.Ila kuhusu Hilo la pili nakuunga mkono kwa asilimia 💯 atakiwa alifanyie kazi.Kumtambulisha mtangazaji au kuzindua Wasafi Tower is rubbish news!
Diamond anatakiwa kuwekeza kwenye weledi na usomi wa kuchambua na ku present habari-kipaumbele za taifa. Babu Tale and Maulidi Kitenge types are woefully not up to the job.
Wewe ndio msukule a.k.a Mrs chuki me nipo kwenye majukwaa ya entertainment napost Sana hata Jana nilipost nipo kwenye jukwaa la Korea drama na wewe unajua na jukwaa hoja mchanganyiko na jukwaa la siasa hata Jana nilikuwa uko.Mwisho namaliza wewe unapenda kuja kwenye nyuzi zinahusiana na diamond ndo maana unasema hivyo.
Nilipost Uzi unahusiana na professor Jay kuhusu kupiga show na kujaza uwanja Congo nilimpongeza nakumbuka nikapata comment moja tu na like moja tu humu humu jamvini Wala sijaona comment yako hii inaonesha ampendi nyuzi za wasanii wengine hapa ndo naona unafiki wako.Huko kote unapita tu kukoment ila nyuzi unarundika hapa. Sasa msukule ukiweka uzi tusipojitokeza si utajinyonga jamani hivyo vumilia.tu uwepo wetu ulipo tupo kukupa sapoti wakutambue tambue kule wachafukoge klasik