Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Wa bongo kwa kupenda Mambo ya watu, kwanza kusaga sio mmiliki mwenza wa WCB,share holder mwenza ni mke wa kusaga, kama individual, hisa sio za ndoa!
Mind, ni CEO, Mambo ya Kodi, wapo CFO, na MD wanaweza kusimamia hayo Mambo,
Mkuu, na wewe unaweza kuandika hayo unayoyaona ndio sahihi.
 
107.3 UFM hii ni ya Bakhresa, vp Hana pesa za kununua 88.
Bakhresa sio mogul wa media kwamba atafanya kufa au kupona apate jambo lake kwenye frequency.
Wala hajaianzisha UFM ili impe faida ya kifedha direct, bali atangaze bidhaa/huduma zake na hasa kwa vile Azam ina mkataba ligi kuu. Ndio maana UFM imejikita zaidi kwenye michezo.

UFM kwa Bakhresa ni kama mkuu wa mkoa alime ekari moja ya mahindi, jua likiwaka usidhani atalia na kusaga meno kwamba sasa atakula wapi. Ukitaja wakulima wa mahindi, huyo mkuu wa mkoa mtoe.
 
Hivi swali hili pia nimejiuliza sorry lakini
Kwann TBC fm radio ya taifa

Band frequecy zipo mbali wakati wao wanamkono mrefu wakawaacha private wahold za mwanzo mwanzo frequency
 
Bakheresa chochote akitakacho simu moja kwa mkuu wa nchi kamaliza,hayupo Mogul wa kumzidi Bakheresa nchi hii hayupo kwa power.

Kwa hiyo kwa mtizamo wako UFM ipo ipo tu haingizi hela?
 
Nauliza tu hiyo pesa ndefu haina kikomo?
 
We
Mkuu kama nilivyosema hii sio field yangu, kwa kitu ninachokijua huwa natoa maelezo yaliyoshiba hata kilaza akisoma anaelewa.
Hapa nimejibu kwa general knowledge tu, wataalamu wenyewe ndio hawa hapa hamna kitu wanaelezea
WE jamaa ni kichwa upo njema unafanya mambo magumu kuwa mepesi

Halafu mnaojua mnajishusha....wasiojua ndio wanaandika vitu havieleweki vigumu kwa kichaka cha misamiati migumu
 
Mzee wewe sio mtaalamu wa aya mambo, sema ulisoma O level na A level na wataalamu. Hata mimi nilisoma nao.
Mlikuwa mnakunywa uji shule mnahadithiana madesa, ndio unaleta iwe reality.

Kama kila radio inatransmit kwenye path yake, na kila path inapewa gap ili kuondoa interference. Na tulishakubaliana frequencies za chini zinakimbiliwa na ni hot cake sababu zinaenda masafa ya mbali zaidi. Huoni logic hapo kwanini watu wahodhi hizo desirable frequencies?

Ukisikia kuna vigogo wamejimilikisha ardhi Dar unadhani ni ardhi ya Bonyokwa na Kitintale kule wanakotupa mizoga ya paka shume, au unadhani ardhi Dar imeisha kabisa? Ardhi itakuwepo, basi nenda Bonyokwa kajenge HQ za kampuni kubwa Afrika Mashariki.
 

Hata kama umesoma Telecom engineering, Electronics, IT hapo CoET uwe unaelewa.

Hii imekaa kibiashara acha makelele yako tunajua umesoma electronics, wave, electromagnetism na mengineyo..PCM 5& 6 ila jaribu kuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…