The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Tatizo la mleta mada,hataki challenge,yeye anataka watu wameze tu wasihoji,hii ni JF sio Shule ya Chekechea,kama hataki kuhojiwa awe anawaandikia watu wa kwao huko.Wanakwambia kuna watu wamezimaliza,kwa jinsi technologies zilivyo sophisticated yaani umalize frequency.Bora ww umeiweka kielectronics zaidi.
Kukosea kila mtu anakosea ila respond yako kwangu ilikua ni ya kipumbavu,ungekubali kua umekosea na sio kuanza kujitutumua,Kwani wewe hujawahi kukosea? Yani mimi kuandika Diamond badala ya Kusaga ndio unanikomalia hivi?
Mimi ni nani hadi nisikosee? Au unaniona malaika nini mwenzetu?
Huyu dada kwenye frequency kayatimba. Pia hata hio partnership kufa kayatimba.Pale mwenye tetesi anapo "chalenjiwa" na wabobevu wa kazi. 😂.
Huu ndio uzuri wa Jamii forum
Halafu hii sio habari mpya Mkuu. Kuna kipindi 2017 jamaa zangu fulani walitaka kufungua radio kufuatilia wakaambiwa hakuna frequency Dar, kama wanataka wanunue kwa watu wenye nazo ambapo ni ghali sana.Humu JF kuna Vichaa wengi sana😂 ajui kitu anajifanya mjuaji msamehe bure
Na uzinduzi wa Kings media utadokezewa leo saa 12 jioni pale Hyatt Regency kila kitu kipo wazi!!Ila kings haijaanzwa kuzungumzwa Leo mkuu!!
Account ni ya Nifah ila muandiko ni wa habibuView attachment 2929146Wakurugenzi wa Wasafi Media, Joseph Kusaga na Nassib Abdul ‘Diamond Platinumz’ wanaripotiwa kukosa maelewano kati yao juu ya uendeshaji wa media hiyo inayomilikiwa na wawili hao.
Chanzo ni TRA…
Diamond ambaye amekuwa akitafutwa na maafisa kodi kwa muda mrefu, huku yeye akitumia 'janja janja' kuwakwepa, maafisa kodi hao wamehamishia majeshi kwa Joseph Kusaga.
Joseph Kusaga ambaye majukumu ya uendeshaji amemwachia Diamond, amekuwa akimpigia simu mara nyingi Diamond bila mafanikio.
Hivyo Diamond anawakwepa maafisa kodi, na huku simu za Kusaga pia hapokei.
Kusaga achoshwa na mabifu ya Diamond!
Inaarifiwa kuwa Kusaga amekuwa akilalamika mara nyingi juu ya mabifu ya Diamond na watu wengi ambayo yanaikwamisha Wasafi Media kukua.
Wakati anaanzisha media hiyo 2016, alikuwa na malengo makubwa ya kuikuza kuwa kubwa pengine kuizidi Clouds Media ambayo ni mali ya familia yao. Hivyo kupitia umaarufu wa Diamond alitegemea kuvuna wasikilizaji kutoka kila pembe ya nchi jambo ambalo kwa kiasi kikubwa limefanikiwa ila kikwazo kikiwa ugomvi wa Diamond na watu wengi ambao wengi hutumia mabifu hayo kama fursa ya kuikwamisha Wasafi Media.
Kusaga Amgeukia Ali Kiba…
Habari za uhakika ni kwamba mastermind huyo wa biashara za vyombo vya habari na nyinginezo lukuki, ameelekeza nguvu zake kwa hasimu wa Diamond, Ali Kiba.
Wawili hao (Kusaga na Ali) wapo kwenye hatua za mwisho kukamilisha masuala muhimu likiwemo jina rasmi la kutumika kuitambulisha Media hiyo.
Kupitia chanzo changu makini nimefanikiwa kunasa jina linalopewa kipaumbele, Kings Media (Kings TV & Kings FM)
Pia watangazaji ambao tayari wameshawekwa kwenye list ni Abdallah Ambua ‘Dullah Planet’ aliyeng’oka EATV na EA Radio hivi karibuni, pamoja na Khalid Mohamed ‘TID’.
Kusaga na utajiri wa frequencies!
Kwa wafuatiliaji wa masuala ya media hasa radio, watakuwa wanafahamu ya kwamba hivi sasa hakuna frequency mpya hapa jijini Dar Es Salaam.
Yaani kwamba ukitaka kuanzisha redio huwezi kupata mawimbi ya kukuwezesha kusikilizwa Dar, labda ununue (frequency) ambayo inamilikiwa na wengine kisha uibadilishe kuwa redio yako.
Wajanja wa mjini wamezihodhi, akiwemo Joseph Kusaga ambaye anaarifiwa kuwa nazo kwa idadi ambayo haifahamiki.
Kupitia chanzo changu nyeti,
Nifah.
Ndio maana nikasema usikute watu wanataka tu kupita na upepo wa KingsNa uzinduzi wa Kings media utadokezewa leo saa 12 jioni pale Hyatt Regency kila kitu kipo wazi!!
Wenyewe wataalamu wanakuambia Bandwidth ni bidhaa adimu na ina limit. Kwa hiyo unapoambiwa Kwa hapa Dar watu tayari wameshanunua na Wana hold Sio ujinga..Wanakwambia kuna watu wamezimaliza,kwa jinsi technologies zilivyo sophisticated yaani umalize frequency.Bora ww umeiweka kielectronics zaidi.
Subiri muda utaongea Mkuu, Media yenyewe haiko mbali kuzinduliwa.Usikute ni kiba masikin anajipambania kimpango wake halaf wadau wanataka kupita na upepo wake.
Najiuliza tu. Kwan ni kusaga tu ndio wa kufanya biashara ya media bongo hii??
Hakuna sehemu nimesema ww sio au ni insider.Jamani sijasema partnership imekufa.
Unajuaje kama na mimi sio insider? Teh
Naomba elimu. Kununua frequencies na kuhodhi bila kutumia hii haiwi kinyume na Sheria ya Fair competition?Halafu hii sio habari mpya Mkuu. Kuna kipindi 2017 jamaa zangu fulani walitaka kufungua radio kufuatilia wakaambiwa hakuna frequency Dar, kama wanataka wanunue kwa watu wenye nazo ambapo ni ghali sana.
Wakaachana na wazo lenyewe la radio.
Mimi napenda sana mijadala, wala sina tatizo na hilo.Tatizo la mleta mada,hataki challenge,yeye anataka watu wameze tu wasihoji,hii ni JF sio Shule ya Chekechea,kama hataki kuhojiwa awe anawaandikia watu wa kwao huko.
Umenipa kitu kipya ambacho sikukiona kabla, una upeo mkubwa sana.Very interesting.
Sidhani kama kusaga alianzisha Wasafi Media ili iwe kubwa kuliko Clouds, it could be a stupid move to destroy a family business, bali isiwepo Ent Media Kubwa kuliko Clouds. Kama ni kweli kuna Kings Media, its a strategy ya kuipunguza nguvu Wasafi Media and in the long run inaendelea kuilinda Clouds Media. He is genious!
Eneo kama hili tunakutana watu wambalimbali, tunachofahamu mimi na wewe sicho wanachofahamu wengine.Wenyewe wataalamu wanakuambia Bandwidth ni bidhaa adimu na ina limit. Kwa hiyo unapoambiwa Kwa hapa Dar watu tayari wameshanunua na Wana hold Sio ujinga..
Sawa insider!Hakuna sehemu nimesema ww sio au ni insider.
Na unajua naongelea insider wa nn? Sabab hapo kuna TRA, Kusaga, Diamond na Wasafi media.
Inshort hii story ya leo nadhan una outdated info, sababu issue za TRA mond alishasolve kitambo, kama unakumbuka kuna kipindi walimvamia hadi ofisini kwake ikawa vurugu na mambo yakatatuliwa na wakuu.
Re-check with your source.
BTW naongea tena kama insider