Zipi hizo na ukiwa ndani ya nchi gani?Mbona niliwai ziona
Unaweza ukazitaja TCRA registered entertainment media kubwa za Tanzania?
Ukitaja tbc,startv na kina itv utakuwa ni kopo tu wewe,
Pia hiyo clouds + ni hapaTz au EA tu,check acha kulopoka na amesema entertainment media sio hizo za habari kama tbc na itv hizo uenda zinaonekana kama alivyojieleza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee yeeh baba
ushamba unakutesa sana..... WHOLE AFRICA hakuna chanel kutoka east africa.Mbona mnakuwa na sifa za uongo DSTv kuna Clouds Plus inaonyeshwa DSTv kwa zaidi ya miezi miwili sasa,pia kuna Safari Channel ya TBC au unadhani Entertainment ni muziki na mpira tu.
hata kma unasifia usijitoe akili yaani EA wasafi TV ndio entertainment television ya kwanza kuingia DStv? Switch TV ya Kenya hujawahi iona?Habari wakuu?,I hope you do good.
Diamond platnumz leo wakati wa kutambulisha watangazaji wapya wa vipindi vya michezo pale wasafi HQs.
Mbele ya wageni waalikwa na mgeni rasmi waziri wa michezo mh,dkt.mwakyembe.
Ametangaza kuwa ndani siku chache zijazo yaani 3,wasafi TV itakuwa Inaonekana africa nzima na sio tz tu au hapa EA tu,hii itakuwa ndio the first entertainment media from EA region to broadcast across all african countries,
Tofauti na nyingine ambazo zina cover tz au EA tu.
Hadi hapa diamond atakuwa kaleta mapinduzi makubwa hapa Tanzania na EA kwa ujumla katika entertainment media industry.
Hongera kwake na ndicho tulichokuwa tunataka,challenge ni muhimu katika ukuaji wa tasnia ya habari naamini na wengine watafuata,ili hata mbongo ukiwa ghana uweze kucheki media za bongo bila wasi wasi.
Unaweza ukazitaja TCRA registered entertainment media kubwa za Tanzania?
Ukitaja tbc,startv na kina itv utakuwa ni kopo tu wewe,
Pia hiyo clouds + ni hapaTz au EA tu,check acha kulopoka na amesema entertainment media sio hizo za habari kama tbc na itv hizo uenda zinaonekana kama alivyojieleza.
Lead each line carefully before you comment! Who said that no other EA entertainment TV in dstv?hata kma unasifia usijitoe akili yaani EA wasafi TV ndio entertainment television ya kwanza kuingia DStv? Switch TV ya Kenya hujawahi iona?
You know nothing.
Acha uongo huo wewe,check multichoice/dstv Africa uone uongo wako,acha mahaba yako hayo mkuu.Clouds plus inashika nchi 40 africa
Bado kuna clouds tv rwanda ambayo inakamata maziwa makuu na afrika ya kati [emoji4][emoji4]
Pia kuna clouds tv Botswana na Zimbabwe
Acha uongo huo wewe,check multichoice/dstv Africa uone uongo wako,acha mahaba yako hayo mkuu.
Exclusively in EA only if Not Tz,not across Africa.Kwani wasafi ina nini cha zaidi sana mpaka inashabikiwa hivi?
Kwenye DSTV channel za kibongo zipo:
1.Tbc- taka taka
2. Safari channel - Alhamdulilah.
3.Clouds Plus- TAKA TAKAA
4.E Tv ( ya majizo) - taka taka kabisa
Hao mwisho UgandaKwa iyo unataka niambia ukiwa misri/southafrica
Super brand haionekani?
Na ata mawingu tv pia?
Tena ana aborder nchi 32Hata kiba ana kiba tv sema ndo vile hapendi kujionesha sana