jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Tena ana aborder nchi 32Hata kiba ana kiba tv sema ndo vile hapendi kujionesha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ana aborder nchi 32Hata kiba ana kiba tv sema ndo vile hapendi kujionesha sana
Kwani wasafi ina nini cha zaidi sana mpaka inashabikiwa hivi?
Kwenye DSTV channel za kibongo zipo:
1.Tbc- taka taka
2. Safari channel - Alhamdulilah.
3.Clouds Plus- TAKA TAKAA
4.E Tv ( ya majizo) - taka taka kabisa
Nakuaminia Sana mzee wa facts, kiukwel diamond ameleta mapinduzi makubwa kwenye tansia ya habari baada ya kufanya mambo makubwa kwenye mziki.Baadae kidogo nikimaliza kazi zangu nitarudi na link au dstv bouquet channels list za nchi zingine africa.
Akununua badala yake akafungua label ya wasafi.Huyu huyu mond aliewahi sema kabla ya 2014 atakua amenunua private jet?
Safari channel namba ngapi kwenye orodha mkuuKwani wasafi ina nini cha zaidi sana mpaka inashabikiwa hivi?
Kwenye DSTV channel za kibongo zipo:
1.Tbc- taka taka
2. Safari channel - Alhamdulilah.
3.Clouds Plus- TAKA TAKAA
4.E Tv ( ya majizo) - taka taka kabisa
Hivi inakuwaje dstv haipatikani africa nzima halafu tv iliyopo kwenye dstv ipatikane africa nzima?Habari wakuu?,I hope you do good.
Diamond platnumz leo wakati wa kutambulisha watangazaji wapya wa vipindi vya michezo pale wasafi HQs.
Mbele ya wageni waalikwa na mgeni rasmi waziri wa michezo mh,dkt.mwakyembe.
Ametangaza kuwa ndani siku chache zijazo yaani 3,wasafi TV itakuwa Inaonekana africa nzima na sio tz tu au hapa EA tu,hii itakuwa ndio the first entertainment media from EA region to broadcast across all african countries,
Tofauti na nyingine ambazo zina cover tz au EA tu.
Hadi hapa diamond atakuwa kaleta mapinduzi makubwa hapa Tanzania na EA kwa ujumla katika entertainment media industry.
Hongera kwake na ndicho tulichokuwa tunataka,challenge ni muhimu katika ukuaji wa tasnia ya habari naamini na wengine watafuata,ili hata mbongo ukiwa ghana uweze kucheki media za bongo bila wasi wasi.
Pia TVE ya Majizo iko dstvMbona mnakuwa na sifa za uongo DSTv kuna Clouds Plus inaonyeshwa DSTv kwa zaidi ya miezi miwili sasa,pia kuna Safari Channel ya TBC au unadhani Entertainment ni muziki na mpira tu.
Yes zipo ila je zinaruhusiwa kuonekana katika afrika yote? Je mtu wa Nigeria anaweza kuiona? Maana vifurushi vya DSTV na providers wengine vipo restricted regional-wise.Mbona mnakuwa na sifa za uongo DSTv kuna Clouds Plus inaonyeshwa DSTv kwa zaidi ya miezi miwili sasa,pia kuna Safari Channel ya TBC au unadhani Entertainment ni muziki na mpira tu.
295Hiyo ya mwisho ni channel namba ngapi mkuu?
Dstv wa huu ushamba watakwambia wamekuweka kweny dstv kumbe unaonekana Tanzania pekee unafikili TV y majizo inaonekana east Africa nzimKwa iyo unataka niambia ukiwa misri/southafrica
Super brand haionekani?
Na ata mawingu tv pia?
Dstv wa huu ushamba watakwambia wamekuweka kweny dstv kumbe unaonekana Tanzania pekee unafikili TV y majizo inaonekana east Africa nzim
kumbuka huwa wanasema "super brand east Africa" na sio Africa!Kwa iyo unataka niambia ukiwa misri/southafrica
Super brand haionekani?
Na ata mawingu tv pia?
hakuna alisema ni ya kwanza kuingia dstv bali jamaa kasema TV ya kwanza kuonekana Africa Continent nzima!hata kma unasifia usijitoe akili yaani EA wasafi TV ndio entertainment television ya kwanza kuingia DStv? Switch TV ya Kenya hujawahi iona?
kwani Africa nzima ina nchi 40 tu??Clouds plus inashika nchi 40 africa
Bado kuna clouds tv rwanda ambayo inakamata maziwa makuu na afrika ya kati [emoji4][emoji4]
Pia kuna clouds tv Botswana na Zimbabwe
Umeongea point kubwa sana,Hivi inakuwaje dstv haipatikani africa nzima halafu tv iliyopo kwenye dstv ipatikane africa nzima?