Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao leseni yao ya kitaifa unataka wafanyaje?ITV wanafeli wapi
Wafanyaje kivipi mzee umelishwa tango pori nawe ukalimeza, ina maana hakuna suluhu juu ya hili kweli!, hata ziongezwe chanell gani sijui Etv,wasafi nk bila ITV kwenye dstv bado nyumbani hakuja noga,Hao leseni yao ya kitaifa unataka wafanyaje?
Yes of course but nyingi ni local,available only in Tanzania because most are local,and not international,ni tbc tu ndio international nadhani,
Then ndio hao wasafi TV wanaodai wanataka sio kuwa local bali international,
Across Africa.
Umeshindwa hoja una anza matusi, hio Africa nzima inatoka wapi wakati DStv yenyewe haipo Africa nzima badirika basi kizazi cha BRNSuch a pathetic bastard,leta point sio kuleta taarabu.
Sikukuelewa samahani,dstv wabadiri leseni wapate yanye local mbona azam kapewa hiyo leseni? Bila kubadiri ni ngumu pia zile ni FTA sio pay sasa wao walikua wanauza ni kinyume cha sheria.Wafanyaje kivipi mzee umelishwa tango pori nawe ukalimeza, ina maana hakuna suluhu juu ya hili kweli!, hata ziongezwe chanell gani sijui Etv,wasafi nk bila ITV kwenye dstv bado nyumbani hakuja noga,
Mbona haionyeshi sasaTayari wasafi TV ipo DSTV channel number 296
Bado hawaja ilounge rasmi.Mbona haionyeshi sasa
Kwani wasafi ina nini cha zaidi sana mpaka inashabikiwa hivi?
Kwenye DSTV channel za kibongo zipo:
1.Tbc- taka taka
2. Safari channel - Alhamdulilah.
3.Clouds Plus- TAKA TAKAA
4.E Tv ( ya majizo) - taka taka kabisa
Safi mkuu mueleweshe maana watu hawaelewi masuala ya ricensing ya coverage yakoje......
Si Mond alisema leo imekuwaje tena wasiiloungeBado hawaja ilounge rasmi.
Huku ninaona mkuuMbona haionyeshi sasa
Inaonyesha saiz nimeweka ipo on mkuu 296Mbona haionyeshi sasa
Asante kwa masahihisho.POC:
ETV ni tofauti na TVE
TVE ndio ya Majizo- TAKATAKA kabisa [emoji736]
Hivi hata spellings hajui.ricensing > licensing
Asante kwa masahihisho.
Ila naona hata wewe umekubali kuwa ni taka taka.
Naona Wasafi Tv ipo tayari dstv.
Ngoja tuone kama ipo vizuri ama nayo ni taka taka