Wasafi TV ndani ya DSTV, katika nchi zote za Afrika

Wasafi TV ndani ya DSTV, katika nchi zote za Afrika

Wengi tunakuwa na matarajio makubwa sana kwa WasafiTV, quality ya picha na content za vipindi ni vigezo muhimu.... tuwape muda.
Kwa ubora wa picture,sound na graphics ni wako njema sana.
 
Hivi hata spellings hajui.
Kweli yupo timamu. Kuna kujua spellings na kujua spellings.

Angesema linceensing. Kidogo tungejua kweli hajui spelling ila huyu ni zezeta.
Yani anatuwekea r kwenye l hadi kwenye kingereza?
Once somebody is defeated and don't want to lose or learn and don't have facts anymore,can't surrender,instead start's to find errors from his/her opponents facts eg.spellings.
Wewe ni empty set.
 
Wengi tunakuwa na matarajio makubwa sana kwa WasafiTV, quality ya picha na content za vipindi ni vigezo muhimu.... tuwape muda.
Kwa wasafi upande wa qulity bado saana,angalia wasafi king'amuzi chochote halafu angalia TVE utaona tofauti zake
 
Umeshindwa hoja una anza matusi, hio Africa nzima inatoka wapi wakati DStv yenyewe haipo Africa nzima badirika basi kizazi cha BRN
Alienza matusi ni mimi au huyo niliemjibu?
Or your an** is irritating?
Be careful.
 
TV zote za Bongo zilizowekwa ni PayTV tu hivyo zinaonekana hata Kenya
Kenya sawa na hata EA yote but not across all african countries.
Tembea ukashuhudie sio kupinga tu mkuu.
 
Once somebody is defeated and don't want to lose or learn and don't have facts anymore,can't surrender,instead start's to find errors from his/her opponents facts eg.spellings.
Wewe ni empty set.
Hahaaa
 
Leo nimetune nikaiona dah hongera wasafi media
IMG_20191023_192954.jpg
 
hey wadau mbona naiona hapa wasafi tv hiv ilikuepo muda au leo ndio wameiachia dstv maana hapa nilikua naangalia tv kuangalia ndio naiona hapa sasa hivi najaribu kupitia kwenye page zao naona hakuna taarifa yoyote
 
Back
Top Bottom