ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
battle ya hizi pande mbili huwa nacheka sana 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TwendeWeka ushahidi,,,by the way twende kwenye hadith zinavosema kuhusu kumtusi muhamad na Allah wake au tutafanya siku nyingine?
Aya haitafsiriwi na mwanazuoni,Aya huwa ziko wazi,hakuna Aya inayosema mtu akitoka kwenye uislam auawe,hiyo Aya hujamalza kuinukuu na pia umepotoka kitafsiriNimesoma vizuri sana tu,,,na mashekhe waliosomea dini wamesoma vizuri pia na ndomaana ile sharia ya kuamuru mtu anayeacha uislam auliwe imetokana hapa na kwenye hadith...au twende facts kwa facts zaidi,,,weka na mwanazuoni unayemuamini alivyoitafsiri hii aya halafu mimi ntakuwekea tafsiri ya Ibn kathir
Hako katoto hua kanatapika tu humu ili mradi na kenyewe kaonekane kua kamo humu JF.Wewe achana na uislam mana unaonekana una chuki na uislam,, wewe pambana na nabii shillah na wasafi,, hayo mambo mengine fungulia uzi wako
Hivi kwanini wengi mnapenda kuhusisha uislam na sayansi?By the way qur'an sio porojo,imezungumzia nadharia ya Bing bang kipindi hicho,inanyambu uumbwaji ndani ya tumbo la mwanadam
Onyesha neno "Uislamu", Kwani Makanzu mnavaa ninyi tu?,Neno "Takbiriii", Kwani linatumika na ninyi tu?.Kafiri mkubwa wewe.Comment yako hii hapa=Umeona eenhh?!!.Tungewaona barabarani na vimakanzu vyao wakisema "Takbiriii" sasa halafu unakataa nini ndio ujue kuwa wewe ni nyumbu tena mchelemchele shwain
Aliyetukana nabii shillah na aliyemuhoji mkristo mwenzie lkn zigo la lawama wanatupiwa waislam,,, tunarudi pale pale fungulia uzi wako tujadili hicho unachokitaka ila hapa kwa sasa ni nabii shillah na wasafi kama uzi ulivyoletwa,, asee we jamaa sipati picha kama shekhe ndo angefanya hiyo hiyo interview sijui ingekuwawajeDah naona mpaka unanifukuza, yani navyuongelea uislam unaona kama naupiga vita na kuuchafua...ingekuwa karibu na nchi ya kiislam ungetumia aya hii kuniadhibu
![]()
33. Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi wowote katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa. 33
Na kweli mkuu wala sio uongoHako katoto hua kanatapika tu humu ili mradi na kenyewe kaonekane kua kamo humu JF.
Inamaanisha nini?Hivi kwanini wengi mnapenda kuhusisha uislam na sayansi?
Hivi unaelewa mechanism ya sayansi?
Sijaelewa unauliza nini yaaniHivi kwanini wengi mnapenda kuhusisha uislam na sayansi?
Hivi unaelewa mechanism ya sayansi?
Kwahiyo na wapagani mnavaa kanzu na mnatumia takbir? Ndio maana nabii shila akasema ukweli na Yuko sahihiOnyesha neno "Uislamu", Kwani Makanzu mnavaa ninyi tu?,Neno "Takbiriii", Kwani linatumika na ninyi tu?.Kafiri mkubwa wewe.
Kwanini mnapenda kuhusisha sayansi kwenye imani?Inamaanisha nini?
Hatuhusishi Ila kwenye Qur'an zipo Aya zinazoelezea baadhi ya Mambo ya kisayansi,Kama qu'ran 23:12-14 inazungumzia uumbwaji wa binaadam,21:30,51:47 inazungumzia uumbwaji wa ulinwengu,Sasa tusiseme ndugu yangu!!?Kwanini mnapenda kuhusisha sayansi kwenye imani?
John Lenon alitandikwa risasi na mtu mwenye itikadi kali ya kikristo, lakini upo sahihi ulichosema,leo hilo kundi tunalijua wachacheWajifunze kwa wanamuziki the beetles waliosema tu wao ni maarufu kuliko Yesu. Kuna orodha ndefu ya wasanii waliomkashifu Yesu waliyapata wasiotegemea.Wasafi wamwombe msamaha Yesu huko waliko.
Wewe kitumbua kuwa muelewa basi!!,Sio kuropoka km vile umekula kinyesi Cha walevi.Kanzu ni vazi tu wala halina ishu kuna wahuni kibao wanavaa kanzu, Kule Mbeya kuna dini ya Mizimu nao wanavaa kanzu,Nabii Tito anavaa kanzu,sasa kuna ishu hapo??. Kuhusu hicho kineno "Takbiriii",Kina asili ya kiarabu lkn wanaokitumia ni mobu wala sio Waislamu tu.Hebu tuliza mshono.Kwahiyo na wapagani mnavaa kanzu na mnatumia takbir? Ndio maana nabii shila akasema ukweli na Yuko sahihi
Kwasababu tunaijua vyema sayansi kua sio mara zote imekua iko perfect na ndio maana zipo record kibao ambazo zimekuwa proved wrong wakati zilikua zikiaminika kua ni validHatuhusishi Ila kwenye Qur'an zipo Aya zinazoelezea baadhi ya Mambo ya kisayansi,Kama qu'ran 23:12-14 inazungumzia uumbwaji wa binaadam,21:30,51:47 inazungumzia uumbwaji wa ulinwengu,Sasa tusiseme ndugu yangu!!?
Sayansi ni uelewa wa binadamu juu ya mazingira yanayomzunguka,simwamini Sana binaadam,naiamini zaidi Qur'an,so akija kusema nadharia ya big bang iko wrong najua binaadam ndo atakua wrong na so qur'an.lakini anapoenda sawa na Qur'an ntakua naeKwasababu tunaijua vyema sayansi kua sio mara zote imekua iko perfect na ndio maana zipo record kibao ambazo zimekuwa proved wrong wakati zilikua zikiaminika kua ni valid
Sasa leo unasema quran imeongea kuhusu bingbang, vipi siku sayansi ije ikanushe madai hayo kwa kupata wa kweli sahihi na kuonesha haikua sahihi kwenye bingbang?
Utaendelea kusema quran ipo sahihi kwenye bingbang?