inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Aulizwe kwa nini anasema hivyoAah ni maneno mazito ila kama amefikia kusema hivo asamehewe tu. Huenda hayuko sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aulizwe kwa nini anasema hivyoAah ni maneno mazito ila kama amefikia kusema hivo asamehewe tu. Huenda hayuko sawa
kwanza yeye mwenyewe alikuwa Mungu kwahyo alijipigania...lakini kuwatimua ndo kuwapiga? unajua maana ya kupigania(kupigana kwa niaba ya)Badala ya mungu wake kuwafukuza wafanyabiashara wasifanye biashara hekaluni,yesu akawatimua
Mbona umespecify quran tu? wakati nimetaja na hadithUna Aya ya qur'an inayoonesha simbaulanga alitakiwa kushughulikiwa!?
Wewe ndo umesema yeye alikua mungu,lakini yeye hakuwahi kusema yeye ni mungu,ndiyo maana pale msalamani alilalama mungu wangu mbona umeniacha..pia alinambia Maria Magdalena usinishike kwa maana sijapaa kwenda kwa baba,ambaye ni mungu wangu na ni mungu wenu piakwanza yeye mwenyewe alikuwa Mungu kwahyo alijipigania...lakini kuwatimua ndo kuwapiga? unajua maana ya kupigania(kupigana kwa niaba ya)
Unajua tofauti ya qur'an na hadithi?!!Mbona umespecify quran tu? wakati nimetaja na hadith
Kwani nimetaja Uislamu Mimi hapa?, Naona unatafuta Mwaume wa kukutuliza nyege sio bure.Sasa waislamu wana husika nini na Hilo tukio aliohoji ni mkristo aliohojiwa ni ni mkristo tena ni nabii ajabu Una zungumzia waislamu kama sio ushoga ni nini,
Nadhani ni kwasababu wanahusisha na team ya wasafi upumbavu wao kupost jambo kama hilo na inawezekana waliopo nyuma ya kamera ni watu wa imani nyingine therefore wamejitoa ufahamu.Wafuasi wa yesu Wana shida kichwani aliezingua ni mkristo mwenzao tena wanamuita nabii,vituko badala ya kumshambulia huyo nabii wao shila wanaushambulia uislamu kweli vituko haviishi [emoji23][emoji1787]
Alisema mimi na huyo baba ni kitu kimojaWewe ndo umesema yeye alikua mungu,lakini yeye hakuwahi kusema yeye ni mungu,ndiyo maana pale msalamani alilalama mungu wangu mbona umeniacha..pia alinambia Maria Magdalena usinishike kwa maana sijapaa kwenda kwa baba,ambaye ni mungu wangu na ni mungu wenu pia
Kutafuta popularity tu.Hivi alikuwa na akili kamili!!!?
mbona unajibu swali kwa swali?Unajua tofauti ya qur'an na hadithi?!!
Bashite na magu ni kitu kimoja pia,kapombe na mkude ni kitu kimoja,makamu wa rais na rais no kitu kimoja,yaani wapo kufanikisha Jambo Fulani kwa nafasi zaoAlisema mimi na huyo baba ni kitu kimoja
Ukiongeza fikra kidogo utaelewa, kazana!Yaani kutukana amtukane Yesu halafu radhi awaombe watu. Ama kweli watu wana masihara sana.
900Ad!!..Muhammad alikuwepo duniani Kati ya 570-630,haya lete Aya na hadithi zinazoonesha mtu akikashifu uislam adhuriwembona unajibu swali kwa swali?
Mimi najua zote ni story za waarabu zilizotrend miaka ya 900AD ambazo walizitenga makundi mawili...story zao za maneno ya muhammad waliziita hadith...hizi zingine ambazo walisema ni maneno ya muhammad ambaye anasema alitoa kwa Allah tuziite Quran
Maana Alichofanya ni uchafuzi wa dini na ammempiga vita mtume...kwahiyo hiki kifungu kingetumikaUna Aya ya qur'an inayoonesha simbaulanga alitakiwa kushughulikiwa!?
By the way qur'an sio porojo,imezungumzia nadharia ya Bing bang kipindi hicho,inanyambu uumbwaji ndani ya tumbo la mwanadammbona unajibu swali kwa swali?
Mimi najua zote ni story za waarabu zilizotrend miaka ya 900AD ambazo walizitenga makundi mawili...story zao za maneno ya muhammad waliziita hadith...hizi zingine ambazo walisema ni maneno ya muhammad ambaye anasema alitoa kwa Allah tuziite Quran
Hivyo vyote ulivyotaja ni vitu tofauti...mke wa bashite hawezi kwwenda kulala na magu eti kisa ni kitu kimojaBashite na magu ni kitu kimoja pia,kapombe na mkude ni kitu kimoja,makamu wa rais na rais no kitu kimoja,yaani wapo kufanikisha Jambo Fulani kwa nafasi zao