MrsPablo1
JF-Expert Member
- Jun 9, 2013
- 1,073
- 1,941
Kuna mabinti watatu wanatafuta kazi
Umri ni miaka 21,20,18,
Elimu kidato cha nne,
Wanauzoefu wa kutosha na kazi zote za nyumbani.
Mimi nafahamia na binti mmoja huyo wa miaka 21, hao wengine ni wadogo zake.
Mshahara utategemea na ukubwa wa familia yako, kati ya 70,000/ mpaka 100,000/.
Wapo mkoa wa ruvuma kama utahitaji huna haja ya kutuma nauli atakuja kwa nauli yake .
Kama ni mwanaume na unaishi mwenyewe hawatopendelea kufanya kazi mazingira kama hayo.
Kama una hitaji dada wa kazi karibu pm kwa maelezo zaidi na kupata ya dada utayemuhitaji.🙏
Umri ni miaka 21,20,18,
Elimu kidato cha nne,
Wanauzoefu wa kutosha na kazi zote za nyumbani.
Mimi nafahamia na binti mmoja huyo wa miaka 21, hao wengine ni wadogo zake.
Mshahara utategemea na ukubwa wa familia yako, kati ya 70,000/ mpaka 100,000/.
Wapo mkoa wa ruvuma kama utahitaji huna haja ya kutuma nauli atakuja kwa nauli yake .
Kama ni mwanaume na unaishi mwenyewe hawatopendelea kufanya kazi mazingira kama hayo.
Kama una hitaji dada wa kazi karibu pm kwa maelezo zaidi na kupata ya dada utayemuhitaji.🙏