Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lafudhi sio rafudhi. Hebu sahihisha hicho kichwa cha habari tafadhali.Wako kienyeji enyeji sana, kile kiswahili mnachokisikia cha watu wa tanga, ni Wabondei na wadogo, wasamba hamna kituView attachment 2442864
Mtoa mada mwenyewe Ni msambaa😅Ni lafudhi sio rafudhi. Hebu sahihisha hicho kichwa cha habari tafadhali.
Wewe mwenyewe hujui kitu ni lafudhi siyo rafudhi. Utakuwa Mhutu wewe si bure.Wako kienyeji enyeji sana, kile kiswahili mnachokisikia cha watu wa tanga, ni Wabondei na wadogo, wasamba hamna kituView attachment 2442864
Usiwakosoe wenzako wakati ww R NA L zinakupiga chenga umekuja kwa chuki sana ila sioni baya kwa majirani zangu wasambaaWako kienyeji enyeji sana, kile kiswahili mnachokisikia cha watu wa tanga, ni Wabondei na wadogo, wasamba hamna kituView attachment 2442864
Wee sanalii wewe unachowatafuta wagosi utakipataWako kienyeji enyeji sana, kile kiswahili mnachokisikia cha watu wa tanga, ni Wabondei na wadogo, wasamba hamna kituView attachment 2442864
Hatuna mbegu kama hiyoMtoa mada mwenyewe Ni msambaa[emoji28]
Mtoa mada anatuonea tu wivu na lugha yetu, kama yule mwenzake aliyetusema eti tukisafiri kwenye mabasi tunaongea Kisambaa tu!mshuza Abdallah
mshuza
Tate Mkuu
Kuna mtu analeta chokochoko huku. Hebu jipangeni apewe kisimo kikali au ashushwe busha.