SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hujamuelewa Mshana,Mpare ndiyo Kabila lakini Mgosi siyo kabila, Wasambaa,Wazigua,Wabondei na Wapare hawa wote ni Wagosi.Kabila la mtu huwa ni moja tu na huwa ni la baba mzazi tu. [emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujamuelewa Mshana,Mpare ndiyo Kabila lakini Mgosi siyo kabila, Wasambaa,Wazigua,Wabondei na Wapare hawa wote ni Wagosi.Kabila la mtu huwa ni moja tu na huwa ni la baba mzazi tu. [emoji4]
Mtoe zaiko azue shuke kabisang'etimtoe zongo ja goshi
😂😂😂hapa imebidi hata mimi nicheke kwanzaMtoe zaiko azue shuke kabisa
Akighenda via haita [emoji23]ng'etimtoe zongo ja goshi
Aavye mesho sa kiduu meshoMtoe zaiko azue shuke kabisa
Wazamja mpaka wazamuavya bawasiriWaajighwa iwe ni washai..
Ugali = ugaiHawanaga L na R ,
Watataja ile consonat husika.
Matharani: Korogwe = Koogwe
Burudani = Buudani
Lushoto = Ushoto
Arusha = Ausha
N.k.
Ugali ni ughaiUgali = ugai
Tano= shano
Mosie u dashi iweVyote mlivyosema wenyewe
Nh puuishi [emoji23]Mosie u dashi iwe
eidashukeMosie u dashi iwe
amesema "Maendeleo hayana Chama"Ameniambia nini hapo? Nisaidie kutafsiri
Aitoighwe kisimoeidashuke
Hata mimi!?[emoji16]View attachment 2480352
Wasambaa sio wa kuaamini
Tena ni kisimo cha kuiAitoighwe kisimo