Wasanii 10 wanaoongoza kwa pesa nchini India

Hahaha yani kumbe haka kaugonjwa tunako wengi. zile tamthilia za Kihindi zilivyo ndefu, afu kila siku hutaki kuzikosa dailu, me kuna muda hata taarifa ya habari siweki
Hahaha mkuu unazungumzia taarifa ya habar mi.nilikuwa naficha remote mda wa taarifa ya habar mama akitaka kuangalia taarifa ya habar namwambia leo wametangaza taarifa ya habari hazitakuwepo kwenye channel zote kuna marudio ya this week in persipective sasa mama angu haelew hayo ana nyanyuka anaingia chumbani
 
Hehehehe wewe ni tatizo
 
hahahhaaaahhhhaaa!!!!!
we ni nooomaaah!
 
ndo mchezo huo!toa upewe!hutaki nenda kaigize splendid hukoo!
au tamba theatre troop
Duh! Splendid umenikumbusha jamaa mmoja nadhani walimuita teacher ndo alikuwa muanzilishi wa kundi hilo Ilala bungoni enzi za DTV waqt umeenda wapi sijui!
 
PK-India highest grossing film of all time (US$120 million)................
Sequal yoyote ya Batman box office ikifanya hivyo ni flop....Anyway,I think most of those actors' wealthy is overrated.
Kuuza kwa movie ama kutokuuza siyo hasara kwa actor sana kama amelipwa hela yake siyo mbaya unajuaje kwenye hiyo hela malipo yake yalikuwa zaidi ya $20m?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…