tinkibiruka mhaya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 929
- 794
Hahaha mkuu unazungumzia taarifa ya habar mi.nilikuwa naficha remote mda wa taarifa ya habar mama akitaka kuangalia taarifa ya habar namwambia leo wametangaza taarifa ya habari hazitakuwepo kwenye channel zote kuna marudio ya this week in persipective sasa mama angu haelew hayo ana nyanyuka anaingia chumbaniHahaha yani kumbe haka kaugonjwa tunako wengi. zile tamthilia za Kihindi zilivyo ndefu, afu kila siku hutaki kuzikosa dailu, me kuna muda hata taarifa ya habari siweki
Duh! ndio interview hiyo?Hawa wa kwetu msingi chupi!
ndiyooo!!Duh! ndio interview hiyo?
Hehehehe wewe ni tatizoHahaha mkuu unazungumzia taarifa ya habar mi.nilikuwa naficha remote mda wa taarifa ya habar mama akitaka kuangalia taarifa ya habar namwambia leo wametangaza taarifa ya habari hazitakuwepo kwenye channel zote kuna marudio ya this week in persipective sasa mama angu haelew hayo ana nyanyuka anaingia chumbani
Basi tasnia hiyo sio tasnia tena ni upuuzi mkubwa.ndiyooo!!
na hua wanatafuta skendo ili wawe maarufu!
Tena binti yako ukiona ameigiza na yupo na kina jb jua kashavua nguo sana sketi!!Basi tasnia hiyo sio tasnia tena ni upuuzi mkubwa.
Khatari sana mambo hayo mungu apishilie mbali balaa hilo lisinikute nawe pia lisikukuteTena binti yako ukiona ameigiza na yupo na kina jb jua kashavua nguo sana sketi!!
Washazoea circle hiyoo!no wachafu balaaKhatari sana mambo hayo mungu apishilie mbali balaa hilo lisinikute nawe pia lisikukute
Style ni nipe nikupe?Washazoea circle hiyoo!no wachafu balaa
Ukijifanya unabana hutoki ng'oo
ndo mchezo huo!toa upewe!hutaki nenda kaigize splendid hukoo!Style ni nipe nikupe?
hahahhaaaahhhhaaa!!!!!Hahaha mkuu unazungumzia taarifa ya habar mi.nilikuwa naficha remote mda wa taarifa ya habar mama akitaka kuangalia taarifa ya habar namwambia leo wametangaza taarifa ya habari hazitakuwepo kwenye channel zote kuna marudio ya this week in persipective sasa mama angu haelew hayo ana nyanyuka anaingia chumbani
Duh! Splendid umenikumbusha jamaa mmoja nadhani walimuita teacher ndo alikuwa muanzilishi wa kundi hilo Ilala bungoni enzi za DTV waqt umeenda wapi sijui!ndo mchezo huo!toa upewe!hutaki nenda kaigize splendid hukoo!
au tamba theatre troop
Long time sasa hv ni chuo cha kozi mbalimbali!na sanaa pia!!Duh! Splendid umenikumbusha jamaa mmoja nadhani walimuita teacher ndo alikuwa muanzilishi wa kundi hilo Ilala bungoni enzi za DTV waqt umeenda wapi sijui!
Hapo kitambo kama wamepiga hatua amani kwaoLong time sasa hv ni chuo cha kozi mbalimbali!na sanaa pia!!
Teri meri baaniyah[emoji23][emoji23][emoji23]jack shroff hivi ile movie yuko na mbwa na nyoka inaitwaje
Dr.cheni na clouds wametokea hapo!!splendidHapo kitambo kama wamepiga hatua amani kwao
Kuuza kwa movie ama kutokuuza siyo hasara kwa actor sana kama amelipwa hela yake siyo mbaya unajuaje kwenye hiyo hela malipo yake yalikuwa zaidi ya $20m?PK-India highest grossing film of all time (US$120 million)................
Sequal yoyote ya Batman box office ikifanya hivyo ni flop....Anyway,I think most of those actors' wealthy is overrated.
Yaah nakumbuka na kuna yule jamaa aliitwa nadhani umauti ulimfika mlopelo kitu kama hicho alikuwa anacheza kama mganga wa kienyejiDr.cheni na clouds wametokea hapo!!splendid
hhhhaaaahh!kumbe nae alitoka splendid!!?Yaah nakumbuka na kuna yule jamaa aliitwa nadhani umauti ulimfika mlopelo kitu kama hicho alikuwa anacheza kama mganga wa kienyeji
Chuma kile kilipikwa hapo na kina migomba pia van damme ilikuwa mitaa yangu Washkaji kwa chat longtime hata dude ni product ya jamaa huyohhhhaaaahh!kumbe nae alitoka splendid!!?