Wasanii 10 wanaoongoza kwa pesa nchini India

Wasanii 10 wanaoongoza kwa pesa nchini India

Lllooh mi mgonjwa mpaka naumwa kwangu ni Chanel za wahindi tu!!
Mkuu wala sio wew peke yako mim kipind nimemaliza chuo nilipoenda nyumban nilikuwa nagombana na familia kisa muvi za kihindi hasa zinazorushwa kwenye chanel za kihindi maana nilikuwa nikiamka saa 11 nikifanya usafi basi nimemaliza.nikikaa nimekaa sinyanyuki nilianza kuumwa macho ila bado nikaona haitoshi sebule nikageuza chumba siku niliyoitwa kwenye interview mama yangu alikuww wa kwanza kunihangaikia suala la nauli na matumiz siku niliyokuwa naondoka tumefika stand akaniambia bora uende huko mbali maana ulikuwa unataka kutuharibia vitu vyetu nakutakia mafanikio mema katk kutafuta vyako vitakavyokuwa vinaharibika kila baada ya siku tatu
 
Mkuu wala sio wew peke yako mim kipind nimemaliza chuo nilipoenda nyumban nilikuwa nagombana na familia kisa muvi za kihindi hasa zinazorushwa kwenye chanel za kihindi maana nilikuwa nikiamka saa 11 nikifanya usafi basi nimemaliza.nikikaa nimekaa sinyanyuki nilianza kuumwa macho ila bado nikaona haitoshi sebule nikageuza chumba siku niliyoitwa kwenye interview mama yangu alikuww wa kwanza kunihangaikia suala la nauli na matumiz siku niliyokuwa naondoka tumefika stand akaniambia bora uende huko mbali maana ulikuwa unataka kutuharibia vitu vyetu nakutakia mafanikio mema katk kutafuta vyako vitakavyokuwa vinaharibika kila baada ya siku tatu
hahaaaahhhaaaa!mi nlijua peke angu kumbe tuko wengi!
 
Nimeshangaa Amitabh kuwa no. 2! Pia ungeleta list ya mademu wao nao wakali sana
1.Deepika Padukone
2.Katrina Kaif
3.Kareena Kapoor Khan
4.Priyanka Chopra
5.Kangana Ranault
6.Aishwarya Rai(hazeeki huyu Dada)
7.Sonakshi Sinha
8.Sonam Kapoor
9.Rani Mukhreji Chopra
10.Kajol Mukhreji Devgan
11.Anushka Sharma etc
Nawapenda sana hawa wadada
 
1.Deepika Padukone
2.Katrina Kaif
3.Kareena Kapoor Khan
4.Priyanka Chopra
5.Kangana Ranault
6.Aishwarya Rai(hazeeki huyu Dada)
7.Sonakshi Sinha
8.Sonam Kapoor
9.Rani Mukhreji Chopra
10.Kajol Mukhreji Devgan
11.Anushka Sharma etc
Nawapenda sana hawa wadada
Wakali sana hawa, lkn umemsahau shilpa shetty dear!!
 
1.Deepika Padukone
2.Katrina Kaif
3.Kareena Kapoor Khan
4.Priyanka Chopra
5.Kangana Ranault
6.Aishwarya Rai(hazeeki huyu Dada)
7.Sonakshi Sinha
8.Sonam Kapoor
9.Rani Mukhreji Chopra
10.Kajol Mukhreji Devgan
11.Anushka Sharma etc
Nawapenda sana hawa wadada
Safi kabisa mkuu.
Wadada wa kihindi wametoka mbali katika swala zima la kuvutia.
Zama hizo naanza kutazama filamu zao nilivutiwa zaidi na Jaya Bhaduri (ambaye baadae aliolewa na Amitah).
Kuna mwengine akiitwa Hema Malini aliniteka mno kwenye 'SHOLAY' akiigiza kama Bhasanti...
Kulikuwa na Zeenat Aman,kisha akaja Dimple Kapadia,akaja Juhi Chawla...
Halafu akaja Manisha Koirala...huyu kwa kweli nusura anitoe machozi kwenye "MANN" akiwa na Amir Khan.
Mtazame Neelam kwenye "HATYA" akiigiza na Govinda,kuna Sridevi...
Wengi sana mpaka wengine nawasahau.
Hawa ni kizazi cha nyuma kidogo kwa kizazi cha sasa hapo juu umemaliza kila kitu mkuu.
 
Safi kabisa mkuu.
Wadada wa kihindi wametoka mbali katika swala zima la kuvutia.
Zama hizo naanza kutazama filamu zao nilivutiwa zaidi na Jaya Bhaduri (ambaye baadae aliolewa na Amitah).
Kuna mwengine akiitwa Hema Malini aliniteka mno kwenye 'SHOLAY' akiigiza kama Bhasanti...
Kulikuwa na Zeenat Aman,kisha akaja Dimple Kapadia,akaja Juhi Chawla...
Halafu akaja Manisha Koirala...huyu kwa kweli nusura anitoe machozi kwenye "MANN" akiwa na Amir Khan.
Mtazame Neelam kwenye "HATYA" akiigiza na Govinda,kuna Sridevi...
Wengi sana mpaka wengine nawasahau.
Hawa ni kizazi cha nyuma kidogo kwa kizazi cha sasa hapo juu umemaliza kila kitu mkuu.
Uko vizure sana hao sasa hv ni wamama pia yuko Banurekha yule mama ambae alikua anatoka na Amitabh Batchan for 8yrs mpk akajivalisha Mangasustra,Raveena Tandoon,Madhuri Dixit na Yule Karesma Kapoor
 
Uko vizure sana hao sasa hv ni wamama pia yuko Banurekha yule mama ambae alikua anatoka na Amitabh Batchan for 8yrs mpk akajivalisha Mangasustra,Raveena Tandoon,Madhuri Dixit na Yule Karesma Kapoor
Daaah...unanikumbusha mbali sana mkuu na hapa narudia tena kusema hawa wapo wengi mno kiasi ni rahisi kuwasahau.
Ila najishangaa niliwezaje kumsahau Madhuri Dixit!!?...Kuna watu ukiwasahau kuwataja kwenye tasnia yao unakuwa hujaitendea haki tasnia husika.
Huyu mama alitingisha hasa zama hizo.
Ravena naye hayupo nyuma nafikiri kwenye "Mohra" alikuwa kwenye ubora wake...Karesma mimi huwa ananimaliza na kitu kimoja ukiondoa umahiri wake wa kuigiza...'macho' yake tu,yale macho yanasisimua balaa!!!.
Kwa sasa kwangu Sonam Kapoor na Katrina Kaif nadhani ndio best kwa waigizaji wadada.
 
Daaah...unanikumbusha mbali sana mkuu na hapa narudia tena kusema hawa wapo wengi mno kiasi ni rahisi kuwasahau.
Ila najishangaa niliwezaje kumsahau Madhuri Dixit!!?...Kuna watu ukiwasahau kuwataja kwenye tasnia yao unakuwa hujaitendea haki tasnia husika.
Huyu mama alitingisha hasa zama hizo.
Ravena naye hayupo nyuma nafikiri kwenye "Mohra" alikuwa kwenye ubora wake...Karesma mimi huwa ananimaliza na kitu kimoja ukiondoa umahiri wake wa kuigiza...'macho' yake tu,yale macho yanasisimua balaa!!!.
Kwa sasa kwangu Sonam Kapoor na Katrina Kaif nadhani ndio best kwa waigizaji wadada.
hahaaaaa!!!Acha tu karesma na aishwarya wana macho mnato mnoo!
Hawa madhurii dixit ametesa sana enzi zake na kuna mwingine nimekumbuka anaitwa Mohima Chaudhary!yupo kwenye Dulha tumhara na Pretty Zinta
 
Mkuu wala sio wew peke yako mim kipind nimemaliza chuo nilipoenda nyumban nilikuwa nagombana na familia kisa muvi za kihindi hasa zinazorushwa kwenye chanel za kihindi maana nilikuwa nikiamka saa 11 nikifanya usafi basi nimemaliza.nikikaa nimekaa sinyanyuki nilianza kuumwa macho ila bado nikaona haitoshi sebule nikageuza chumba siku niliyoitwa kwenye interview mama yangu alikuww wa kwanza kunihangaikia suala la nauli na matumiz siku niliyokuwa naondoka tumefika stand akaniambia bora uende huko mbali maana ulikuwa unataka kutuharibia vitu vyetu nakutakia mafanikio mema katk kutafuta vyako vitakavyokuwa vinaharibika kila baada ya siku tatu
Hahaha yani kumbe haka kaugonjwa tunako wengi. zile tamthilia za Kihindi zilivyo ndefu, afu kila siku hutaki kuzikosa dailu, me kuna muda hata taarifa ya habari siweki
 
Back
Top Bottom