Wasanii ambao hawajui kuimba kabisa lakini bado wanalazimisha kuimba

Wasanii ambao hawajui kuimba kabisa lakini bado wanalazimisha kuimba

Dudu baya, inspector Haroun, Baba level, Tunda man, Mbdog, Dulysex....
 
Wanamuziki wa kibongo fleva karibia ya wote hawajuwi kuimba ila hawa wafuatao wapigwe ban na BASATA as soon as possible kwani wanahaibisha fani ya muziki wa Tanzania:
1. Jux (huyu yanki ni bora angeachana kabisa na muziki, he's too fake na kuimba ziro kabisa....anafaa kuwa mwanamitindo tu)
2. Young Dee.....very fake na kuimba wala kurap hajuwi kabisa....ni mlazimishaji tu. Aache muziki akabugie unga.
3. Amber Lulu.....huyu ni bora akawa mcheza sinema za uchi tu, yaani hata sielewi kwanini alijiingiza kwenye muziki
4. Gigy Money....na haka nako wala sijuwi kwanini hata kalijiingiza kwenye muziki
5. Vanessa Mdee....anajitahidi ila analazimisha mno kumuiga Beyonce....angebakia tu kuwa a VJ
6. Jokate Mwegelo....nina haja ya kusema zaidi jamani, hata na nyie mnashindwa kuona kweli?
7. Chidi Benz....huyu alikosea tu kuja kwenye industry ya muziki, yuko very overrated for nothing
8. AY, anajiita Mze wa commercial ila hajuwi hata kurap
9. Roma Mkatoliki....niseme nini juu ya huyu jamaa, hajitambui na hajuwi hata kurap
0. Mr. Blue - bora asivyosikika...aachane kabisa na muziki, awe tu mwalimu wa madrassa
Nyongeza....wachezaji (mavideo Queen) wa kibongo fleva wote wapigwe ban maana hakuna hata mmoja anayejuwa kucheza kuendana na beats, they are so fake.
Daaaaah kuna watu hapo umewakosea saana heshima
Hv una level gani ya elimu kwanza
Alafu unaufahamu mziki kweli? Au unaongea tu kutafuta kiki?
 
Amber lulu,lulu diva,feza kessy,chege,temba,kinngwendu,mkaliwenu,gigy money,jokate,tunda man,..
 
Mtoa mada hujui muziki hujui ethics (miiko) ya muziki hujui lolote kuhusu muziki. Kwanini namesema hayo bebe

Tuanze na Lavalava ni bonge la mtunzi na mwimbaji mwenye vocals za international level

Young killer unahitaji akili iliyopanuka kumuelewa anachokiwasilisha ni real hip hop artist wengine ni wabaka fani na wengine wapo kimaslahi zaidi mfano WEUSI

Hujui muziki mleta mada
Kuna mziki wa international level? Wa wapi huo?

Eti international level!
 
Kama huyu anaejiita hemedi phd yani ni pumba kabisa' kwan hawajitambui kama hawawezi.
 
Mtoa mada japo mada ina ukweli asilimia kadhaa, ila kwa young killer umechemkaa sana, yaani umepwaya sana inaonesha bado hujui muziki wa bongo fleva vizuri
 
Narudia tena. Jua limeshazama hunaukijuacho kuhusu muziki. Na bahati mbaya upo na ambao hawajui muziki. Unataka watu waimbe kama miaka ya 70.? Jaribu kubadilisha fikra zako then ukamsikilize tena. Kuna kitu utakipata


usiwe na ushabiki wa kipumbavu, ungeujuwa muziki wala usingekurupuka kujibu hoja usiyoijuwa.
 
Daaaaah kuna watu hapo umewakosea saana heshima
Hv una level gani ya elimu kwanza
Alafu unaufahamu mziki kweli? Au unaongea tu kutafuta kiki?


Nafahamu muziki na nimeusomea pia na ndiyo maana nimewataja hao juu kwa sababu ni kweli kabisa si wanamuziki ila wamejiingiza tu kwenye muziki wa kuiga Nigerians ili kuganga njaa tu.
 
Wote niliowataja ni fake musicians, labda hujuwi tu muziki unashabikia kitu usichokijuwa. Jux anaimba nini, he's too fake hata kufollow beats aimbapo hajuwi....msikilize vizuri. Narudia, hakuna msanii wa bongo fleva ambaye anajuwa kweli kuimba, wanabangaiza tu na bahati mbaya wamepata watu wasiojuwa muziki kuwasupport.
Inawezekana hatujui muziki lakini tuna burudika vizuri tu mkuu..
 
mpaka jina limentoka, huyu naniiiiiii eeh NEY WA MITEGO
halafu mwingine ni TUNDAMAN
 
Acha kumfananisha msodoki na mambo ya kijinga kama kawaida yake pamabana na hali yako
 
Ebwana hasa HUYO LAVALAVA anaimba KAMA anakamuliwa JIPU,,,,YAANI ANAJIKAMUA SN kuliko HISIA ZENYEWE.... UTAKUTA nyimbo haina hisia YEYOTE yeye amekomaa kujikamua,,,,
Af yule dogo amekaa kama mkorosho vile...
 
Labda tungetafuta KWANZA tofauti kati ya MWANAMUZIKI, MSANII, NA MWIMBAJI. Tukiweza kutofautisha hiyo misamiati na maana zake nadhani tutakuwa tumeshaondoa huu utata unaochanganya watanznia hawa
 
Back
Top Bottom