Wasanii ambao wameutendea haki mziki lakin mziki ukakataa kuwatendea haki bongo

Wasanii ambao wameutendea haki mziki lakin mziki ukakataa kuwatendea haki bongo

ferooz jembe sana ila mziki umemkataaa..
Niliskia siku moja interview ya jamaa Nani sijui ila alikua anasema moja ya sababu ya kuvurugika kwa crew yao ilikua jamaa alikua na kujikweza na kuona wenzake Kama hakuna kitu nadhani itakua moja ya weakness kubwa iliyochangia kumwangusha mchizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa alitoa Singo moja tu ili hit hatari wimbo unaitwa 'Sina Demu' kama unavyoniona mpenzii ndp maana nimekuchagua weewe ukidhi yangu mahitaji...ila Mr Blue, Kabaiser, Byser, the Untouchable Byser, Kiss to the ladies, ni bishoo mmoja hatari sana kipenzi cha warembo..
 
Afande Sele tu hapo ndo msanii ambaye nakubaliana na wewe kwamba hapewi credits zakutosha; hao wengine ni aidha walipuyanga wenyewe kama TID na wengine simply weren't all that walikua very average huku Solo Thang pamoja na kwamba alikua mkali but he didn't push the envelope that far, alikua anaimba out of passion tu.

Mr. Blue, Byser ni msanii mwenye mchango mkubwa sana kwenye bongo fleva, kuna mikato alianzisha ambayo wasanii wanapitia hadi leo, ka-inspire wengi sana kuingia kwenye game, bishoo aliyekubalika na wagumu, rapa aliyekubalika na wabana pua, rapper and singer, very versatile, yupo kwenye game toka katoka, akipanda jukwaani anaamsha popo, believe me you huwezi kutana na mtu asiyemkubali Blue but hana tuzo hata moja, wakiongelewa legends wa bongo fleva na watu wenye mchango huwezi sikia jina lake hata siku moja. He is the most unsung hero of Bongo flavor ila mtaa unamuelewa.
I second you.
 
Kwasasa naona ni:-
Ruby
Mr Blue
Ben Pal
Mwasiti
Barnaba boy
 
Afande Sele tu hapo ndo msanii ambaye nakubaliana na wewe kwamba hapewi credits zakutosha; hao wengine ni aidha walipuyanga wenyewe kama TID na wengine simply weren't all that walikua very average huku Solo Thang pamoja na kwamba alikua mkali but he didn't push the envelope that far, alikua anaimba out of passion tu.

Mr. Blue, Byser ni msanii mwenye mchango mkubwa sana kwenye bongo fleva, kuna mikato alianzisha ambayo wasanii wanapitia hadi leo, ka-inspire wengi sana kuingia kwenye game, bishoo aliyekubalika na wagumu, rapa aliyekubalika na wabana pua, rapper and singer, very versatile, yupo kwenye game toka katoka, akipanda jukwaani anaamsha popo, believe me you huwezi kutana na mtu asiyemkubali Blue but hana tuzo hata moja, wakiongelewa legends wa bongo fleva na watu wenye mchango huwezi sikia jina lake hata siku moja. He is the most unsung hero of Bongo flavor ila mtaa unamuelewa.
Salute mkubwa...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa alitoa Singo moja tu ili hit hatari wimbo unaitwa 'Sina Demu' kama unavyoniona mpenzii ndp maana nimekuchagua weewe ukidhi yangu mahitaji...ila Mr Blue, Kabaiser, Byser, the Untouchable Byser, Kiss to the ladies, ni bishoo mmoja hatari sana kipenzi cha warembo..
B-Boy huyo mkuu...
Dahhh ni bonge ya ngoma hiyo sina demu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliskia siku moja interview ya jamaa Nani sijui ila alikua anasema moja ya sababu ya kuvurugika kwa crew yao ilikua jamaa alikua na kujikweza na kuona wenzake Kama hakuna kitu nadhani itakua moja ya weakness kubwa iliyochangia kumwangusha mchizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ukweli hata ujio wa Daz baba na album ya Elimu hakutarajia kama itahit vile...
Hiyo ikawa mwanzo wa beef ya chini chini na Daz baba... Kuna kipindi wakamuimbia mpaka wimbo eti "Kijana Mteja"
 
KATIKA COMMENTS ZOTE SIJAMUONA JAY MO MZEE WA MAISHA YA BOARDING. MVUA NA JUA BORA NINI?. KIUFUPI JAY MORE AU MO TECHNIC NI MC WA KARNE KWANI HAJATOKEA MC MWENGINE MWENYE TUNGO TATA KAMA YEYE. ALIKUWA ANAJUA KUCHEZA NA VINA, ANACHANA BILA KUELEWA AMEKUSUDIA NINI? HAKUWA MUZA SURA ILA BAHATI YAKE NADHANI SIO KWENYE MUZIKI
Jay Moe hapewi heshima inayostahili... Na yote kayasema kwenye famous, kifupi nakubaliana na ww Mo ni. Mc wa karne
 
Utakubaliana nami kuwa kuna wasanii ambao wameutoa mziki sehemu na kuupeleka sehemu hapa bongo lakin hawana heshima wanayostahili.. Mziki umekataa kabisa kuwatendea haki.. Mimi naanza na hawa..

1.Afande sele
2.Daz baba
3.O ten
4.Solo thang
5.Wagosi
6.Mh. Temba
7.Sister P
8.Juma nature
9.Zay b
10.TID

Endeleza...


Sent using Jamii Forums mobile app


Wasanii wengi wa bongo fleva hawana issue, kama si kuhonga ili wapewe air time basi kusingekuwa na Bongo fleva hapa nchini.
 
Utakubaliana nami kuwa kuna wasanii ambao wameutoa mziki sehemu na kuupeleka sehemu hapa bongo lakin hawana heshima wanayostahili.. Mziki umekataa kabisa kuwatendea haki.. Mimi naanza na hawa..

1.Afande sele
2.Daz baba
3.O ten
4.Solo thang
5.Wagosi
6.Mh. Temba
7.Sister P
8.Juma nature
9.Zay b
10.TID

Endeleza...


Sent using Jamii Forums mobile app
O ten
Mh Temba
Zay B
Na Sister P hawastahili kuwepo kwenye list yako, hao hawakua wasanii ni wabahatishaji tu...
 
Back
Top Bottom