Wasanii ambao wameutendea haki mziki lakin mziki ukakataa kuwatendea haki bongo

Wasanii ambao wameutendea haki mziki lakin mziki ukakataa kuwatendea haki bongo

Afande Sele tu hapo ndo msanii ambaye nakubaliana na wewe kwamba hapewi credits zakutosha; hao wengine ni aidha walipuyanga wenyewe kama TID na wengine simply weren't all that walikua very average huku Solo Thang pamoja na kwamba alikua mkali but he didn't push the envelope that far, alikua anaimba out of passion tu.

Mr. Blue, Byser ni msanii mwenye mchango mkubwa sana kwenye bongo fleva, kuna mikato alianzisha ambayo wasanii wanapitia hadi leo, ka-inspire wengi sana kuingia kwenye game, bishoo aliyekubalika na wagumu, rapa aliyekubalika na wabana pua, rapper and singer, very versatile, yupo kwenye game toka katoka, akipanda jukwaani anaamsha popo, believe me you huwezi kutana na mtu asiyemkubali Blue but hana tuzo hata moja, wakiongelewa legends wa bongo fleva na watu wenye mchango huwezi sikia jina lake hata siku moja. He is the most unsung hero of Bongo flavor ila mtaa unamuelewa.
Well said..

Juzi nilikua naskiza ngoma yake na nandy kuna jamaa nikawa namwambia blue tangu atoke hajawahi kuachia ngoma mbaya..

Haachii kila siku ila kila akiachia ni balaa..

Anaimba anachana ana kila kitu..

Na ana staili ya pekee ambayo hakuna anayeifanya..
Ana discipline huwezi mkuta kwenye skendo za kipuuzi..

Tatizo kama ulivyosema, hapewi ulegendary anaostahili..
Wako wapi alioanza nao mziki leo hii



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well said..

Juzi nilikua naskiza ngoma yake na nandy kuna jamaa nikawa namwambia blue tangu atoke hajawahi kuachia ngoma mbaya..

Haachii kila siku ila kila akiachia ni balaa..

Anaimba anachana ana kila kitu..

Na ana staili ya pekee ambayo hakuna anayeifanya..
Ana discipline huwezi mkuta kwenye skendo za kipuuzi..

Tatizo kama ulivyosema, hapewi ulegendary anaostahili..
Wako wapi alioanza nao mziki leo hii



Sent using Jamii Forums mobile app
ile ngoma ya B.L.U.E ni noma
 
Sasa Wapewe heshima gani? kila zama na fahari wake! unataka wapewe tuzo zama za diamond and the like? huwatendei haki! wapo wakali akina chege wanaendeleza game japo kwa kuchechemea! kila zama na mfalme wake
 
Well said..

Juzi nilikua naskiza ngoma yake na nandy kuna jamaa nikawa namwambia blue tangu atoke hajawahi kuachia ngoma mbaya..

Haachii kila siku ila kila akiachia ni balaa..

Anaimba anachana ana kila kitu..

Na ana staili ya pekee ambayo hakuna anayeifanya..
Ana discipline huwezi mkuta kwenye skendo za kipuuzi..

Tatizo kama ulivyosema, hapewi ulegendary anaostahili..
Wako wapi alioanza nao mziki leo hii



Sent using Jamii Forums mobile app
Umalaya na bangi sio skendo ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afande Sele tu hapo ndo msanii ambaye nakubaliana na wewe kwamba hapewi credits zakutosha; hao wengine ni aidha walipuyanga wenyewe kama TID na wengine simply weren't all that walikua very average huku Solo Thang pamoja na kwamba alikua mkali but he didn't push the envelope that far, alikua anaimba out of passion tu.

Mr. Blue, Byser ni msanii mwenye mchango mkubwa sana kwenye bongo fleva, kuna mikato alianzisha ambayo wasanii wanapitia hadi leo, ka-inspire wengi sana kuingia kwenye game, bishoo aliyekubalika na wagumu, rapa aliyekubalika na wabana pua, rapper and singer, very versatile, yupo kwenye game toka katoka, akipanda jukwaani anaamsha popo, believe me you huwezi kutana na mtu asiyemkubali Blue but hana tuzo hata moja, wakiongelewa legends wa bongo fleva na watu wenye mchango huwezi sikia jina lake hata siku moja. He is the most unsung hero of Bongo flavor ila mtaa unamuelewa.

Kwa kweli Mr Blue anajua na anakipaji. Ningeshangaa kama asingeelezewa vizuri hivi. Na huu ndio ukweli.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well said..

Juzi nilikua naskiza ngoma yake na nandy kuna jamaa nikawa namwambia blue tangu atoke hajawahi kuachia ngoma mbaya..

Haachii kila siku ila kila akiachia ni balaa..

Anaimba anachana ana kila kitu..

Na ana staili ya pekee ambayo hakuna anayeifanya..
Ana discipline huwezi mkuta kwenye skendo za kipuuzi..

Tatizo kama ulivyosema, hapewi ulegendary anaostahili..
Wako wapi alioanza nao mziki leo hii



Sent using Jamii Forums mobile app

Huyu kijana huwa ni kiboko


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa alitoa Singo moja tu ili hit hatari wimbo unaitwa 'Sina Demu' kama unavyoniona mpenzii ndp maana nimekuchagua weewe ukidhi yangu mahitaji...ila Mr Blue, Kabaiser, Byser, the Untouchable Byser, Kiss to the ladies, ni bishoo mmoja hatari sana kipenzi cha warembo..
Alijiita B. Boy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasanii pekee ambao bado wanaudai huu muziki ni;
1.Mr.Blue
2.JayMo
3.Afande Selle
4.Marehem Ngwair
5.Belle 9
6.Dully Sykes
7.Inspector Harun
8.Wagosi wakaya
9.Q.Chillah
Hao wengine ambao sijawataja wamepata walichostahili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afande Sele tu hapo ndo msanii ambaye nakubaliana na wewe kwamba hapewi credits zakutosha; hao wengine ni aidha walipuyanga wenyewe kama TID na wengine simply weren't all that walikua very average huku Solo Thang pamoja na kwamba alikua mkali but he didn't push the envelope that far, alikua anaimba out of passion tu.

Mr. Blue, Byser ni msanii mwenye mchango mkubwa sana kwenye bongo fleva, kuna mikato alianzisha ambayo wasanii wanapitia hadi leo, ka-inspire wengi sana kuingia kwenye game, bishoo aliyekubalika na wagumu, rapa aliyekubalika na wabana pua, rapper and singer, very versatile, yupo kwenye game toka katoka, akipanda jukwaani anaamsha popo, believe me you huwezi kutana na mtu asiyemkubali Blue but hana tuzo hata moja, wakiongelewa legends wa bongo fleva na watu wenye mchango huwezi sikia jina lake hata siku moja. He is the most unsung hero of Bongo flavor ila mtaa unamuelewa.
Swali langu dogo sana! Hivi Blue ameshawahi kutoa ngoma isiwe hit?! Halafu ana staili fulani hivi, that never gets old! Hawa wengine na ma-credit yote tunayowapa; wakileta ngoma tu hapo hapo mtu unajua huyu ni old school hata kama ulikuwa humjui hapo kabla! But Blue, damn it! Can only put him in the same league with Dully!
 
Back
Top Bottom