Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,073
- 2,026
Лббн[emoji19]* 93,гг5п иыеефме 9егъ н7емуO ten
Mh Temba
Zay B
Na Sister P hawastahili kuwepo kwenye list yako, hao hawakua wasanii ni wabahatishaji tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Лббн[emoji19]* 93,гг5п иыеефме 9егъ н7емуO ten
Mh Temba
Zay B
Na Sister P hawastahili kuwepo kwenye list yako, hao hawakua wasanii ni wabahatishaji tu...
Acha kutaja marehemuZ.Anto
Ferooz
k.sal
Mr.Nice
S. Doggy
Mb Dogy
Roho saba
Papi Kochi
Babu seya
Ngwair
D.knob
.................
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said..Afande Sele tu hapo ndo msanii ambaye nakubaliana na wewe kwamba hapewi credits zakutosha; hao wengine ni aidha walipuyanga wenyewe kama TID na wengine simply weren't all that walikua very average huku Solo Thang pamoja na kwamba alikua mkali but he didn't push the envelope that far, alikua anaimba out of passion tu.
Mr. Blue, Byser ni msanii mwenye mchango mkubwa sana kwenye bongo fleva, kuna mikato alianzisha ambayo wasanii wanapitia hadi leo, ka-inspire wengi sana kuingia kwenye game, bishoo aliyekubalika na wagumu, rapa aliyekubalika na wabana pua, rapper and singer, very versatile, yupo kwenye game toka katoka, akipanda jukwaani anaamsha popo, believe me you huwezi kutana na mtu asiyemkubali Blue but hana tuzo hata moja, wakiongelewa legends wa bongo fleva na watu wenye mchango huwezi sikia jina lake hata siku moja. He is the most unsung hero of Bongo flavor ila mtaa unamuelewa.
ile ngoma ya B.L.U.E ni nomaWell said..
Juzi nilikua naskiza ngoma yake na nandy kuna jamaa nikawa namwambia blue tangu atoke hajawahi kuachia ngoma mbaya..
Haachii kila siku ila kila akiachia ni balaa..
Anaimba anachana ana kila kitu..
Na ana staili ya pekee ambayo hakuna anayeifanya..
Ana discipline huwezi mkuta kwenye skendo za kipuuzi..
Tatizo kama ulivyosema, hapewi ulegendary anaostahili..
Wako wapi alioanza nao mziki leo hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Unga umempenda zaidi acha kupuyanga.ferooz jembe sana ila mziki umemkataaa..
Umalaya na bangi sio skendo ??Well said..
Juzi nilikua naskiza ngoma yake na nandy kuna jamaa nikawa namwambia blue tangu atoke hajawahi kuachia ngoma mbaya..
Haachii kila siku ila kila akiachia ni balaa..
Anaimba anachana ana kila kitu..
Na ana staili ya pekee ambayo hakuna anayeifanya..
Ana discipline huwezi mkuta kwenye skendo za kipuuzi..
Tatizo kama ulivyosema, hapewi ulegendary anaostahili..
Wako wapi alioanza nao mziki leo hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Afande Sele tu hapo ndo msanii ambaye nakubaliana na wewe kwamba hapewi credits zakutosha; hao wengine ni aidha walipuyanga wenyewe kama TID na wengine simply weren't all that walikua very average huku Solo Thang pamoja na kwamba alikua mkali but he didn't push the envelope that far, alikua anaimba out of passion tu.
Mr. Blue, Byser ni msanii mwenye mchango mkubwa sana kwenye bongo fleva, kuna mikato alianzisha ambayo wasanii wanapitia hadi leo, ka-inspire wengi sana kuingia kwenye game, bishoo aliyekubalika na wagumu, rapa aliyekubalika na wabana pua, rapper and singer, very versatile, yupo kwenye game toka katoka, akipanda jukwaani anaamsha popo, believe me you huwezi kutana na mtu asiyemkubali Blue but hana tuzo hata moja, wakiongelewa legends wa bongo fleva na watu wenye mchango huwezi sikia jina lake hata siku moja. He is the most unsung hero of Bongo flavor ila mtaa unamuelewa.
Well said..
Juzi nilikua naskiza ngoma yake na nandy kuna jamaa nikawa namwambia blue tangu atoke hajawahi kuachia ngoma mbaya..
Haachii kila siku ila kila akiachia ni balaa..
Anaimba anachana ana kila kitu..
Na ana staili ya pekee ambayo hakuna anayeifanya..
Ana discipline huwezi mkuta kwenye skendo za kipuuzi..
Tatizo kama ulivyosema, hapewi ulegendary anaostahili..
Wako wapi alioanza nao mziki leo hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaje na wanyonyajiZ.Anto
Ferooz
k.sal
Mr.Nice
S. Doggy
Mb Dogy
Roho saba
Papi Kochi
Babu seya
Ngwair
D.knob
.................
Sent using Jamii Forums mobile app
Alijiita B. BoyKuna jamaa alitoa Singo moja tu ili hit hatari wimbo unaitwa 'Sina Demu' kama unavyoniona mpenzii ndp maana nimekuchagua weewe ukidhi yangu mahitaji...ila Mr Blue, Kabaiser, Byser, the Untouchable Byser, Kiss to the ladies, ni bishoo mmoja hatari sana kipenzi cha warembo..
Natafuta albamu ya DNob mwenye nayo analipwa! Au mwenye contact yake nimlipe kabisa!Z.Anto
Ferooz
k.sal
Mr.Nice
S. Doggy
Mb Dogy
Roho saba
Papi Kochi
Babu seya
Ngwair
D.knob
.................
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali langu dogo sana! Hivi Blue ameshawahi kutoa ngoma isiwe hit?! Halafu ana staili fulani hivi, that never gets old! Hawa wengine na ma-credit yote tunayowapa; wakileta ngoma tu hapo hapo mtu unajua huyu ni old school hata kama ulikuwa humjui hapo kabla! But Blue, damn it! Can only put him in the same league with Dully!Afande Sele tu hapo ndo msanii ambaye nakubaliana na wewe kwamba hapewi credits zakutosha; hao wengine ni aidha walipuyanga wenyewe kama TID na wengine simply weren't all that walikua very average huku Solo Thang pamoja na kwamba alikua mkali but he didn't push the envelope that far, alikua anaimba out of passion tu.
Mr. Blue, Byser ni msanii mwenye mchango mkubwa sana kwenye bongo fleva, kuna mikato alianzisha ambayo wasanii wanapitia hadi leo, ka-inspire wengi sana kuingia kwenye game, bishoo aliyekubalika na wagumu, rapa aliyekubalika na wabana pua, rapper and singer, very versatile, yupo kwenye game toka katoka, akipanda jukwaani anaamsha popo, believe me you huwezi kutana na mtu asiyemkubali Blue but hana tuzo hata moja, wakiongelewa legends wa bongo fleva na watu wenye mchango huwezi sikia jina lake hata siku moja. He is the most unsung hero of Bongo flavor ila mtaa unamuelewa.