Wasanii ambao wameutendea haki mziki lakin mziki ukakataa kuwatendea haki bongo

Wasanii ambao wameutendea haki mziki lakin mziki ukakataa kuwatendea haki bongo

Kuna mdogo wangu wa kuzaliwa anaitwa yasini Mtoto wa IGOGO mrungushi wengi wanamjua Kama y. Dash
 
Afande Sele tu hapo ndo msanii ambaye nakubaliana na wewe kwamba hapewi credits zakutosha; hao wengine ni aidha walipuyanga wenyewe kama TID na wengine simply weren't all that walikua very average huku Solo Thang pamoja na kwamba alikua mkali but he didn't push the envelope that far, alikua anaimba out of passion tu.

Mr. Blue, Byser ni msanii mwenye mchango mkubwa sana kwenye bongo fleva, kuna mikato alianzisha ambayo wasanii wanapitia hadi leo, ka-inspire wengi sana kuingia kwenye game, bishoo aliyekubalika na wagumu, rapa aliyekubalika na wabana pua, rapper and singer, very versatile, yupo kwenye game toka katoka, akipanda jukwaani anaamsha popo, believe me you huwezi kutana na mtu asiyemkubali Blue but hana tuzo hata moja, wakiongelewa legends wa bongo fleva na watu wenye mchango huwezi sikia jina lake hata siku moja. He is the most unsung hero of Bongo flavor ila mtaa unamuelewa.
Ila Joh makini anakwara tuzo kibao kama drake lakini sio msanii.
 
Swali langu dogo sana! Hivi Blue ameshawahi kutoa ngoma isiwe hit?! Halafu ana staili fulani hivi, that never gets old! Hawa wengine na ma-credit yote tunayowapa; wakileta ngoma tu hapo hapo mtu unajua huyu ni old school hata kama ulikuwa humjui hapo kabla! But Blue, damn it! Can only put him in the same league with Dully!
Mr Blue ni msanii ambaye ana kipaji halisi ila Muziki na wadau wa muziki wanamchukulia poa tu. ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well said..

Juzi nilikua naskiza ngoma yake na nandy kuna jamaa nikawa namwambia blue tangu atoke hajawahi kuachia ngoma mbaya..

Haachii kila siku ila kila akiachia ni balaa..

Anaimba anachana ana kila kitu..

Na ana staili ya pekee ambayo hakuna anayeifanya..
Ana discipline huwezi mkuta kwenye skendo za kipuuzi..

Tatizo kama ulivyosema, hapewi ulegendary anaostahili..
Wako wapi alioanza nao mziki leo hii



Sent using Jamii Forums mobile app
Mr Blue huyu Jamaa anajua sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom