Wasanii ambao wameutendea haki mziki lakin mziki ukakataa kuwatendea haki bongo

Mmetaja wengi Sana ila mnamsahau King Kong mwenyew chuma chid Benz hakika nimekuwa nafuatilia game muda mrefu ila mpaka sasa sijapata mc anayejua na real talented Kama jamaa, anachana kwa hisia,sauti yake ya mamlaka hakika sidhan Kama kuna msanii anamfikia na naamini mziki bado anaudai Sana ishu za kuwa drug addict pia zimempotezea Sana uwezo wake na umaaruf but to be honest chid Benz is the best mc alive no one can battle with him seriously

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salute! Huwa nina chuki binafsi na Mr Blue ila huwa nakoshwa na muziki wake umemwelezea vizuri na kiungwana Sana.Heshima kwako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyo kajipoteza mwenyewe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
#mimi nakataa TID still strong labda hao wengine hasa O ten lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…