Hahahaha binamu wewe sio mzima.Yani yule mwenye kisauti kama demu sijui ndio anaitwaje yani ananikeraga kwa kuingiza maswali wakati mtu bado hajamaliza kueleza lenyewe unakuta limeishadandia kuuliza swali jingine
Miss gan? Labda miss neddy
BInamu salama sio mtu mzuri yule, wala usikae nae karibu, anakoboa na kusigina vintuntuni vya wanawake wenzie
Martin Kadinda pia pamoja na Kashfa ya.... ana mtoto pia yupo std 1 sasa.
davido je?
bora huyo fetty angalau alishaonekanaga na mabovu, salama sasa, ndio anaeumiza vichwa vya watu hapa.
bora huyo fetty angalau alishaonekanaga na mabovu, salama sasa, ndio anaeumiza vichwa vya watu hapa.
Salama nshawahi skia aligongwa na fid the don
mtangaze.., miss yupi huyo?
Kuna miss wa mwaka huu. Bahat mbaya nmemsahau jna. But hata instagram huyo demu alweka pic zao na akasema n mtu wake
jamani kwanini hakumpaga mimba tuuuu, huwezi amini natamani vipi kumuona salama mimba, heheheheee uuuwiiii!!!